binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I feel you hun.Hii nchi hiii
Basi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I feel you hun.Hii nchi hiii
Basi tu.
Tupia picha yko ya peke ako, j5 nitapita apo tukae ka kamati.Nabonga mawili matatu na Dr hapa hightable
dah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Kwahili haito wezekana kwasababu ya mshahara aiseeeeee.......Apewe ukuu wa chuo kabisa!
Kweli alikuwa kwenye hali ngumu sasa ameweza hata kwenda maeneo ya kwao;
Nafikiri ana maintain ile status ambayo ilimfanya tumjue ...(kwa maoni yangu lakini)Dah! Kila mtu na bahati yake.ila nashangaa hajanunua viatu.
No,Feza Nilitaka kuja bi mdash akazinguaUmesoma hapo mkuu?
Pole sanahii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki
leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo
na watu wanapongeza kabsa
Yani kichwa mchungwa afundishe chuo ?Hivi ni vichwa vya Mwalimu Nyerere vy enzi hizo,msimchukulie poa.Hicho chuo wakimchukua afundishe wameramba dume,
Dogo acha kuonea mwanaume mwanzako wivu.hii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki
leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo
na watu wanapongeza kabsa
So touching! Nice wordsUmaarufu ni frusa haijalishi umeupataje!!...hata kama ni wakushika shikaaaa!!!
1.Dr.Ambilikile Mwasapile a.k.a babu wa Loliondo Mzee wa 500/500(watanzania wengi walishikwa)
2.Dr Mwaka Mzee wa Tiba ya uzazi(wamama wengi walishikwa)
2.Dr Isack Ndodi mzee wa Tiba mbadala(wengi walishikwa)
3.Dr Shika Mzee wa 900 itapendeza (Yono walishikwa,na wengi wanazidi kushikwa)
Ushauri wangu kwa Dr.Shika hii ni frusa ishikilie kwelikweli usiiache ipite bure!
Binafsi umenitia moyo,kwa ujasiri wa ku-bargain 3bn kwa 900 hii ndio imani itendayo miujiza!!
Nikweli umesoma urus,na yawezekana ulikuwa billionea kweli,ni miaka mingi imepita lakini hakuna aliyekujua.
Mpaka siku ulipothubutu kuushinda uoga na udhaifu wako.
Historia yako imejaa utata mwingi,kuanzia kwenye Elimu,Familia hadi ubilionea!
Lakini usjali...this is a new beginning.. Keep it real...
Be a real doctor... Be the real billionaire..!!
Kila la kher Dr.Shika!
May God bless u in a special way!
hahaha, wasukuma walikua hawataki Dr. shika aonekana ni msukuma, soon wataanza kumtangaza kuwa ni msukuma. binafsi nilivyosikiliza speech zake hasa akieleza issue yake ya Russia, tangu siku ya kwanza nilisema huyu dr sio chini, ana akili timamu tena ana akili nyingi sana sana, yuko very consistent and coherence kwenye narration zake. namtakia yote mema, anaweza kuwa ameumia moyo sana kwa upweke na matatizo mengi, Mungu ndio ameamua kumtokea ampe furaha...huwezi jua maombi yake akiwa peke yake chumbani kule tabasa sijui alikuwa anaomba nini kwa Mungu (though I hope atakuwa anaamini kuna Mungu kwasababu warusi au watu waliosoma urusi wengi huwa ni ma atheist). namwombea kwa Mungu amsaidie ampe hela afurahie maisha hadi waliomdharau wakome.Kweli alikuwa kwenye hali ngumu sasa ameweza hata kwenda maeneo ya kwao;
Dr. Luis Shika Awa Gumzo Shinyanga, Kahama Kwenye Mahafali Chuo
Hapa alikuwa kaingia kwa namna Hii