Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Apewe ukuu wa chuo kabisa!
Kwahili haito wezekana kwasababu ya mshahara aiseeeeee.......
Kama leo tu, jamaa amelambishwa milioni 4 plus full accommodation...[emoji4]

Labda anaweza akawa board member wa Chuo
 
hii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki

leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami

nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo

na watu wanapongeza kabsa
Pole sana
 
Hivi ni vichwa vya Mwalimu Nyerere vy enzi hizo,msimchukulie poa.Hicho chuo wakimchukua afundishe wameramba dume,
Yani kichwa mchungwa afundishe chuo ?

Wewe una matatizo sana
 
hii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki

leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami

nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo

na watu wanapongeza kabsa
Dogo acha kuonea mwanaume mwanzako wivu.
 
Umaarufu ni frusa haijalishi umeupataje!!...hata kama ni wakushika shikaaaa!!!

1.Dr.Ambilikile Mwasapile a.k.a babu wa Loliondo Mzee wa 500/500(watanzania wengi walishikwa)

2.Dr Mwaka Mzee wa Tiba ya uzazi(wamama wengi walishikwa)

2.Dr Isack Ndodi mzee wa Tiba mbadala(wengi walishikwa)

3.Dr Shika Mzee wa 900 itapendeza (Yono walishikwa,na wengi wanazidi kushikwa)

Ushauri wangu kwa Dr.Shika hii ni frusa ishikilie kwelikweli usiiache ipite bure!

Binafsi umenitia moyo,kwa ujasiri wa ku-bargain 3bn kwa 900 hii ndio imani itendayo miujiza!!

Nikweli umesoma urus,na yawezekana ulikuwa billionea kweli,ni miaka mingi imepita lakini hakuna aliyekujua.

Mpaka siku ulipothubutu kuushinda uoga na udhaifu wako.

Historia yako imejaa utata mwingi,kuanzia kwenye Elimu,Familia hadi ubilionea!

Lakini usjali...this is a new beginning.. Keep it real...
Be a real doctor... Be the real billionaire..!!

Kila la kher Dr.Shika!
May God bless u in a special way!
So touching! Nice words
 
Dr. Luis Shika Awa Gumzo Shinyanga, Kahama Kwenye Mahafali Chuo
Matukio kwa Picha....
Dr Shika Mzee wa 900 itapendeza alivyoingia na msafara Mkubwa kama Raisi Ndani ya Kahama[emoji23][emoji23][emoji23] Kama umeipenda, mpe neno!!
Hapa alikuwa kaingia kwa namna Hii
 
Kweli alikuwa kwenye hali ngumu sasa ameweza hata kwenda maeneo ya kwao;
hahaha, wasukuma walikua hawataki Dr. shika aonekana ni msukuma, soon wataanza kumtangaza kuwa ni msukuma. binafsi nilivyosikiliza speech zake hasa akieleza issue yake ya Russia, tangu siku ya kwanza nilisema huyu dr sio chini, ana akili timamu tena ana akili nyingi sana sana, yuko very consistent and coherence kwenye narration zake. namtakia yote mema, anaweza kuwa ameumia moyo sana kwa upweke na matatizo mengi, Mungu ndio ameamua kumtokea ampe furaha...huwezi jua maombi yake akiwa peke yake chumbani kule tabasa sijui alikuwa anaomba nini kwa Mungu (though I hope atakuwa anaamini kuna Mungu kwasababu warusi au watu waliosoma urusi wengi huwa ni ma atheist). namwombea kwa Mungu amsaidie ampe hela afurahie maisha hadi waliomdharau wakome.
 
Back
Top Bottom