Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Nimecheka hadi machozi, huyu mzee aanze kulipwa na serikali, katupunguzia sana stress aiseeee, yani anatembea kwenye gari ya wazi huku anapunga mkono,,,,, Ila nilikua najizuia kucheka kutokana na sehemu na watu nilionao, nimejikuta kicheko na ushuzi vimetoka kwa pamoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dr Shika kipindi hiki yuko busy sana, ila namkumbusha asiwasahau wale akina mama lishe waliomsitiri enzi zile
Unataka akachapwe viboko....!Apitie na Mwanza kwao akasalimie ndugu
Ndio mzee,,,kwa babu Wilson,,,,nimeishi gombe kule moscow,momela,saadani,,,,,Heheh umesoma st.Patrick mzee?
Umesoma hapo mkuu?Heheh umesoma st.Patrick mzee?
Bora ukae kimya mkuu maana ungepata kuona na kusikia aliyoyalonga ungekimbia kujificha ukaona elimu yako si lolote.hii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki
leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo
na watu wanapongeza kabsa
Akijibu usisite kunijuza mkuuWivu humuua mmiliki mkuu,.
Huenda dokta hata hakujui lakini unavyomuonea wivu sasa
Mwenzio ana digrii 4 wewe una nini?? Tuanzie hapo kwanza
Ahaaaaaaa uwiii , naona upotevu unakunyemeleadah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Wa kike au wa kiume? mkuuNaunga mkono hoja.
Pia nimemuona mtoto wa Job Ndungai pale chuoni.
Akitia mguu KOLOMIJE viboko 12 vitamuhusu. Ila zile suti za jana walimpora baada ya kupima Tezi dume nini, MUNGU anawaona kama aliporwa. Waweza kuta zimerejeshwa dukanai kuuzwaKweli alikuwa kwenye hali ngumu sasa ameweza hata kwenda maeneo ya kwao;
Ameahasema hataki tena habari na mambo ya Lugumi....[emoji2] [emoji2]Kimasihara tuu unakuta kapata mabilioni humu humu Tanzania na anaenda kuyajenga na Lugumi wake.
Yaani..cha msingi hapa ngoja na mimi nitafute namna nzuri ya kutoka kama Dk,maana kwa vyuma hivi hakuna namna tena.Ameahasema hataki tena habari na mambo ya Lugumi....[emoji2] [emoji2]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yaani..cha msingi hapa ngoja na mimi nitafute namna nzuri ya kutoka kama Dk,maana kwa vyuma hivi hakuna namna tena.