Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,097
Namuona Yona hapo pembeni anachekelea tu....[emoji13] [emoji13]Kavaa sendo subiri nije nimvute karibu nitume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuona Yona hapo pembeni anachekelea tu....[emoji13] [emoji13]Kavaa sendo subiri nije nimvute karibu nitume
Hakika itapendeza....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Namuombea afanikiwe akifanikiwa itapendeza zaidi
Kie kie Kie Kie Kie Kie Kie dah. Hatari sanaDr Shika kipindi hiki yuko busy sana, ila namkumbusha asiwasahau wale akina mama lishe waliomsitiri enzi zile
Mkuu.....Ndio ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kahama college of health sciences.
Apitie na Mwanza kwao akasalimie nduguWanajamii forum habari za mchana,
Yule Daktari bilionea maarufu nchini kwa sasa ameonekana wilayani Kahama akiwa ni mgeni maalumu katika uzinduzi wa chuo hicho ambao unafanyika leo..
Picha zaidi nitatupia .
![]()
![]()
![]()
Time yake hii kuna muda zita mkimbia [emoji1] [emoji1][emoji3][emoji3][emoji3] huyu bwana Ana cheo gani Tanzania?
alaf hajui kukataa mwaliko.
Nipo mkuu natafuta pozi la kula selfie na Dr shika hapa.Mkuu.....
Nawewe upo hapa kwenye mahafali...[emoji15] [emoji15]
Mkuu, ukijamba usiwashe na feni.Pray 4 TL
Hahhaaaahaaaaaa.....[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nipo mkuu natafuta pozi la kula selfie na Dr shika hapa.
Mkuu wa wilaya anampaisha .....
Za sakafuni ni kwamba Dr Shika ameshuka na precision air amelipiwa go and return na pesa za kitanzania tshs million NNE... Ila sandals kama kawaida na anabonga kisukuma ile mbaya.
Umekaa upande gani mkuu???Nipo mkuu natafuta pozi la kula selfie na Dr shika hapa.
Mkuu wa wilaya anampaisha .....
Za sakafuni ni kwamba Dr Shika ameshuka na precision air amelipiwa go and return na pesa za kitanzania tshs million NNE... Ila sandals kama kawaida na anabonga kisukuma ile mbaya.
Mdada alikuwa wa kwanza kusogea mbele na kisimu chake akimpiga picha Dr shika...amevaa gauni la blue ndio mie hapa afisa masoko mwenyewe[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]Umekaa upande gani mkuu???