Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah wabongo nuksi.Dr Shika kipindi hiki yuko busy sana, ila namkumbusha asiwasahau wale akina mama lishe waliomsitiri enzi zile
Acha uzee weewe ukitaka aitwe nani ili uone kama wako serious.? Umeshazoea maafari kuhudhuriwa na wanasiasa. Mr.Shika Lous ni Doctor by professional si mchimba chumvi hata kidogoDuh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Hongera aisee naona ka Tecno H5 Umekatunza balaaaaa...
Manesi na wauguzi yaani hao ni watu wawili tofauti ama?Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Acha roho mbaya ya kishetani hiyo, ulitaka Baba yako apewe mwalikoDuh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Chuki haijengi ,utaishiaa kuwa mtu wa kulaumu siku zote , mtu yoyote anaweza kuwa mgeni rasmi mahali yoyote [HASHTAG]#punguzachuki[/HASHTAG]Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Mbona unadharau na elimu yako mbovu.Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Mkataba ulimtaka aje kama alivyokwenda kwenye mnada wa maghorofa ya Lugumi.VIP amevaa viatu au bado anachange juu tu chini sendo za urusi
Yaani wewe pamoja na kudhani hujachanganyikiwa,siamini hata shule ya msingi ya kijiji inaweza kukulipa hata usafiri wa bodaboda ili uhudhurie mahafali yao.Sina uhakika hata kama kuna raia yoyote duniani atakuwa na haja ya kukusikia,hivyo jitahidi tu upunguze wivu na husda maana vitu hivyo vitakuua upesi sanahii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki
leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo
na watu wanapongeza kabsa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aache kuingiza pesa apumzike??
Mkuu......Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Blessing in disguised inaitwa hiyo...Sijui kwa nini ila Dr. Shika ana kitu fulani nyuma yake...he is so lovable and simple...ila sijui tu
Tutakukuta cocobeach umefungwa jiwe kubwa ndani ya kiroba jaribu uonedah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani