Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Kwa maelezo yako tu naona we ndiye kilaza.."manesi na wauguzi"...kuna tofauti gani!Halafu unaita chuo uchwara! unakifahamu au unahisi hisi tu?Kwa taarifa yako,ukiacha Bugando,hiki ndiyo chuo bora kabisa cha Afya kwa kanda ya ziwa.Na ni chuo bora zaidi kuliko vyuo vingi unavyovijua.Tatizo lako ni dogo sana,akili inazidiwa nguvu na hisia..lakini bahati mbaya kama hivi vitu tungevifananisha na viungo vya mwili,akili ingekuwa macho,na hisia ingekuwa sehemu ya haja kubwa.
 
Kwa maelezo yako tu naona we ndiye kilaza.."manesi na wauguzi"...kuna tofauti gani!Halafu unaita chuo uchwara! unakifahamu au unahisi hisi tu?Kwa taarifa yako,ukiacha Bugando,hiki ndiyo chuo bora kabisa cha Afya kwa kanda ya ziwa.Na ni chuo bora zaidi kuliko vyuo vingi unavyovijua.Tatizo lako ni dogo sana,akili inazidiwa nguvu na hisia..lakini bahati mbaya kama hivi vitu tungevifananisha na viungo vya mwili,akili ingekuwa macho,na hisia ingekuwa sehemu ya haja kubwa.
Mkuu ebu mpuuze tu huyo mtu,hajui labda maana na chuo.kwa utawala huu hakuna chuo uchwara maana vyuo vyote vya non-degree program vipo chini ya NACTE wanasoma kwa mtaala.

Aliopo mhimbili na huko wote wanasoma mtaala mmoja maybe watofautiane ktk practicals tu lakin still wakienda field wanakutana na wanawekana wanakuwa sana,

Kwanza mtu anaitwa dr halafu ukute yeye ni hawa ma h-kunani anasema anasikitika [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ur destination matters.... He was born lucky since day one....anarudishiwa alichokipoteza
 
Duh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Mijitu yenye roho za kiganga, uchawiuchawi, uchoyouchoyo,ubinafsi, kujiona linajua sana, roho za visasi, jitu lisilo penda mwingine afanikiwe. Mtoto wa shetani/ ibilisi wewe pumbaf zako.
 
Ratiba ya Dr Shika:

23-11-2017- atakuwa Shinyanga kikazi lakini amegoma kuonana na family ndugu zake.

26-11-2017- atakuwa Mwanza kikazi kuzindua miradi mbalimbali na matangazo ya makampuni mbalimbali

30-11-2017- atakuwa Dsm kwa ajiri ya matangazo ya vodacom

6-12-2017- atakuwa na Erick Shigongo kwenye Global Publishers kwa kusaini mikataba mbalimbali.

15-12-2017- atakuwa Nairobi kwa ajiri ya matangazo ya bia ya Tusker

20-20-2017- atarudi Dsm kwa ajiri ya kuendesha arambee ktk kanisa flani..

Mtajua maana ya udaktari wake.

INAPENDEZA
 
Ratiba ya Dr Shika:

23-11-2017- atakuwa Shinyanga kikazi lakini amegoma kuonana na family ndugu zake.

26-11-2017- atakuwa Mwanza kikazi kuzindua miradi mbalimbali na matangazo ya makampuni mbalimbali

30-11-2017- atakuwa Dsm kwa ajiri ya matangazo ya vodacom

6-12-2017- atakuwa na Erick Shigongo kwenye Global Publishers kwa kusaini mikataba mbalimbali.

15-12-2017- atakuwa Nairobi kwa ajiri ya matangazo ya bia ya Tusker

20-20-2017- atarudi Dsm kwa ajiri ya kuendesha arambee ktk kanisa flani..

Mtajua maana ya udaktari wake.

INAPENDEZA
Kila kitu ni fursa, falsafa yake ya mabilioni naanza kuielewa sasa!
 
daaaah jamaa anastahili heshima kwa PHD yake ya udaktari ila kiki aliyoingia nayo inamfanya aonekane kama comedian flan iv
 
Nipo mkuu natafuta pozi la kula selfie na Dr shika hapa.
Mkuu wa wilaya anampaisha .....
Za sakafuni ni kwamba Dr Shika ameshuka na precision air amelipiwa go and return na pesa za kitanzania tshs million NNE... Ila sandals kama kawaida na anabonga kisukuma ile mbaya.

Sandals za Urusi
 
Back
Top Bottom