Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Dr. Shika hata kama alikuwa hana hela ila sasa anaanza kupiga hela kwenye age ya 50+ to 60+ kweli hela na utajiri hauna formula maishani.

Life starts at 40s inatimia kwa Dr. Shika.
Nilikua najaribu kunyapia ili nijue amelipwa pesa ngapi alipoitwa kwenye ule mualiko.....
Soon nitarejea na mrejesho, ingawa za chini ya jamvi inasemekana amehesabiwa wekundu aka shuka za kimasai 4,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…