Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Nawapingeza waliomualika.. Wameonesha dhahiri hawana ubaguzi wa walemavu wa viungo na akili.. Sote tu watu wamoja despite mapungufu yetu.
Una maana kwamba Dr. Shika ana hayo mapungufu au Mimi ndio sijakuelewa?
 
Nimecheka hadi machozi, huyu mzee aanze kulipwa na serikali, katupunguzia sana stress aiseeee, yani anatembea kwenye gari ya wazi huku anapunga mkono,,,,, Ila nilikua najizuia kucheka kutokana na sehemu na watu nilionao, nimejikuta kicheko na ushuzi vimetoka kwa pamoja
hivi inawezekana mtu kucheka hadi ukajamba[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ?
 
ONLY IN TANZANIA , a person who has suffered sycologically, and has no money , can gain popularity and be God Worshiped.

A billionaire who cannot even afford the daily basics and lives like a pauper
 
Habari zenu wapendwa?

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika.

Tangu kuibuka kwa mtu anayejiita Dr.L.Shika na kujinadi kuwa yeye ni bilionea ameweza kuwateka watu na pengine kuwaamisha kuwa yeye ni bilionea

Ukweli ni kwamba mtu huyo hana lolote Bali ni mtu aliyesongwa na dhiki pamoja na msongo wa mawazo ambao umepelekea kurukwa akili

Kwa mtu aliyesoma japo ka sehemu kadogo tu ka saikolojia hawezi amini kuwa ndugu yetu shika ni mzima

Kwa waliokuwepo Leo kwenye mahafali ya chuo cha tiba kahama wataamini kuwa jamaa yetu dishi limeyumba kwani baada ya kupewa muda wa kutoa nasaha kwa wahitimu jamaa alienda nje ya maada mpaka MC akaingilia kati na kumnyanganya mic

Wito wangu kwa jeshi la polisi naomba wamkamate mkuu wa chuo kwa kuiaibisha taaluma ya utabibu kwa kualika mtu mwemye matatizo ya akili ambapo mtu huyo ameshindwa kufanya lolote na kupelekea kuanza maigizo mbele ya mkuu wa wilaya


Konyo wewe....[emoji34] [emoji34]
 
Weka hiyo video, na mlimualika kutoa nasaha yeye akiwa kama nani? Kwani mlikuwa mnafanya tangazo la biashara?
Video ipi unayo itaka mkuu...[emoji15] [emoji15]

Kwani kuna sheria iliwahi kushinisha aina ya mgeni mualikwa kwenye mahafali ya wanafunzi wa chuo cha Afya ...[emoji34] [emoji34]

Kwani kufanya tangazo la biashara ni kuvunja katiba/sheria....[emoji45] [emoji45]
 
Acha Mungu amrudishie miaka na yote yaliyoliwa na parare, madumadu, na nzige maishani mwake.

Dr. Shika, piga hela mjomba.

Awamu hii ni ya kanda ya ziwa hakiya nani!!!
 
ONLY IN TANZANIA , a person who has suffered sycologically, and has no money , can gain popularity and be God Worshiped.

A billionaire who cannot even afford the daily basics and lives like a pauper
Andika kiswahili maana hii lugha unayotumia ni kama unaibaka tu..sycologically badala ya psychologically.. Jitathmini kwanza uwezo wako kabla ya kujidai mchambuzi wa madhaifu ya wengine
 
Back
Top Bottom