Uchaguzi 2020 Dkt. Lwaitama atabiri mshindi Uchaguzi Mkuu 2020

Bernard Membe atapunguza kura za CCM Mpya na Siyo zile za CHADEMA.- Mwalimu A. Lwaitama.
Huu ni ukweli usio na mashaka. Hakuna mpinzani wa kumpa kura BM lakini wale maccm aliotoka nao kule wapo watakaompa hadharani na hata mafichoni.
 
25 Agosti 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Live : Ofisi ya Mkurugenzi kurudisha fomu, wafuasi wa CHADEMA na CCM watambiana

Wafuasi wa vyama hivyo viwili wakutana wakati wa kurudisha fomu na hali imechangamka kwa tambo zao
 
Huyu mzee hana lolote ana tabia ya kujitekenya mwenyewe na anacheka
 
Haka kazeee ni kanafiki kweli,
Atueleze kwanza hapo alipofikia amefanya kitu gani cha kuishangaza dunia au nchi yake kama siyo unafiki wa kujipendekeza kwa wazungu
Amekuwa mpigania haki wa kweli ambae amejitolea kwa kila kitu pamoja na maisha yake.
 
AMEN
 
Bernard Membe atapunguza kura za CCM Mpya na Siyo zile za CHADEMA.- Mwl. A. Lwaitama.

ukiskiliza hii video utajua mshindi ni nan na atashinda kwa asilimia ngap

lakini pia ukiongeza na hizi video utajua asilimia ztachezea ngap

ongeza na hizi

lalafu fuatilia coments kwenye live talks za magufuli na lissu, then mwisho kabisa nenda mtaani fanya research apo sasa utajua mshindi nan,
 
25 Agosti 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Live : Ofisi ya Mkurugenzi kurudisha fomu, wafuasi wa CHADEMA na CCM watambiana

Wafuasi wa vyama hivyo viwili wakutana wakati wa kurudisha fomu na hali imechangamka kwa tambo zao
Hapo hakuna vyombo dola wala maelekezo hali ni shwari.
 
Hivi mlezi wa Chama ulitaka atoe tathmini gani? Mbona mnajidanganya namna hii?
 
Staki kukuharibia jioni yako. Lissu hawezi kuwa rais kwa NEC hii mbona hamtaki kuelewa?
 
Hivi mlezi wa Chama ulitaka atoe tathmini gani? Mbona mnajidanganya namna hii?

Hapa alikuwa anatoa maoni kama mwanazuoni , hivyo ulezi aliuweka pembeni ni kawaida ya wasomi kutoa tathmini kwa kujitoa ktk ushabiki.
 
Hapa alikuwa anatoa maoni kama mwanazuoni , hivyo ulezi aliuweka pembeni ni kawaida ya wasomi kutoa tathmini kwa kujitoa ktk ushabiki.
Acha kuwa na akili kama ya mtoto. Hizi siasa za partisanship za Tanzania wanazuoni wamegeuka kama mizoga. Huyu jamaa kawa partisan muda mrefu kama wenzake kina Kabudi. Danganya wenzio wa CDM ama CCM wenye mawazo kama ya kina Lwaitama na Kabudi siyo sisi tunaojielewa na hatukufunikwa na u chama
 
Historia katika Sayansi ya Siasa ( Political Science) inaonesha vyama vinavyofungiwa kufanya siasa vina uwezekano wa kuibuka washindi kushika dola kupitia uchaguzi huru na wa haki.
 

Huyu ame declare kabisa kuwa anachambua facts na historia, siyo mawazo ya kikamanda au kikada.

Kubali kusikiliza facts, data na historia weka uchama pembeni utamuelewa anachoongea.
 
Twende LISSU, twende baba, vijana tupo na wewe.

Naona kila Mtanzania taratiiibu wameanza kuonyesha nyuso za furaha kwa kukukubali.
Wadau mpaka sasa nasikia| mpaka sasa CCM imeshachukua majimbo nane, namaanisha wamepita bila kupingwa. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua labda wagombea waage dunia.

1.Misungwi,
2.Ruangwa,
3.Ushetu,
4.Morogoro Mjini,
5.Mvomero,
6.Kilosa,
7.Mtama,
8. Gairo

Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.
 
Mbio za kuwania urais 2020 utakuwa baina ya farasi wawili, wengine watakuwa wasindikizaji.
 
25 Agosti 2020
Dodoma, Tanzania

RAIS MAGUFULI ARUDISHA FOMU NEC, APITISHWA KUGOMBEA 2020


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, amerudisha fomu ya kugombea Urais katika Ofisi NEC Jijini Dodoma, Ambapo baada ya kukabidhi fomu hizo Tume ya Uchaguzi NEC imeelezwa kuridhishwa na Nae yeye pamoja na Mgombea Mwenzake ambaye ni Mama Samia Suluhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…