Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mmejiandaa kushinda kwa mbinu ovu? Amini nakwambia huu ni wakati wa Mungu kwa Lissu, no weapon formed against him will prosper in Jesus Name. Mark my words!Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara. Ngoja niwape hints basi...
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu?, Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo?
Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?,kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana.
Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
%99 ya hao jamaa kichwani ni mabox tupu.Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara. Ngoja niwape hints basi...
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu?, Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo?
Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?,kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana.
Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Mkuu! Kwanza tu hapo kwa wapiga kura, wakati tume imetangza watu kwenda kuhakiki taarifa zao ili kama umehama eneo upewe kitambulisho kingine chadema wa humu jf walihamasihmshana wasiende wakisema ni kupoteza muda.Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara. Ngoja niwape hints basi...
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu?, Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo?
Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?,kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana.
Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Wale wanafunzi waliopitia somo lake umewahi kukutana na hata mmoja wao? Mwalimu anapimwa kwa ubora wa wanafunzi wake! au ulitaka ajenga daraja? Acha dharau, kwa definition yenu ya matusi hapa umetukana!!Haka kazeee ni kanafiki kweli,
Atueleze kwanza hapo alipofikia amefanya kitu gani cha kuishangaza dunia au nchi yake kama siyo unafiki wa kujipendekeza kwa wazungu
Fanya yako mkuu ya Chadema hayakuhusu. Wewe kampigie kura Magufuli.Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara. Ngoja niwape hints basi...
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu?, Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo?
Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?,kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana.
Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Ndg hujui lwaitama yupo dsm hajui chochote mtaani.Bernard Membe atapunguza kura za CCM Mpya na Siyo zile za CHADEMA.- Mwalimu A. Lwaitama.
Wazungu gani unao wazungumzia wewe wazungu wa unga au wazungu wazungu tufafanulie......Haka kazeee ni kanafiki kweli,
Atueleze kwanza hapo alipofikia amefanya kitu gani cha kuishangaza dunia au nchi yake kama siyo unafiki wa kujipendekeza kwa wazungu
Sijaelewa kabisa. Utakuta na wewe una familia na ni mwanachama hai wa kijanj%99 ya hao jamaa kichwani ni mabox tupu.
Wamekomaa kwenye vyombo vya habari na mitandao kazi kubwabwaja tuu bila uhalisia.
Wenzenu kijani wanafanya vitu vinavyoonekana wao kazi kubwata,kulialia mara nimepigwa,fomu sijui kufanyeje ooohhh nitaibiwa kurablaaa blaaa wananchi wataingi road khaaa hawa pipoo wanajitambua kweli hawa we nani umpeleke road akaandamane nanii hataki kuufaidi uchumi wa kati akiwa huru.
Wangezungumzia seraza namna gani watatengeneza ajira hata mm ningewaelewa.
Ni ishara mbaya sanaa mwanaume kulia lia dakika za awali kwenye mpambano.
Ndg hujui lwaitama yupo dsm hajui chochote mtaani.
Take my note. Kwa katiba hii CCM watatawala miaka nenda rudi.
Nilitamani nimsikie akisema wadai tume huru kumbe anawapa matumaini ya bure tu.
Haisaidii kama anaapishwa Magufuli na wewe unajigamba nilishinda ni bure.kwa Katiba sawa CCM watashinda ila kwa kura Chadema wanashinda