Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Mna akili za kubebena..hata choice ya meneno inaonyesha role model wako nani?Km hadi kutangaza nia hujaona kwamba magufuli anamiss sana solution ya issues ambazo hazijawahi tokea na zinazohitaji busara na uwezo wa kiakili kuja na jibu .Ni ngumu sana kusaidia hata pale alipojisema kwamba yeye atafuta ya ila iliyofail ya CCM .mbaya hakuna mmojawapo ya waliyoitengeneza.Mnalewa kirahisi sana CCM na umaarufu wa muda.Weka akiba ya maneno. Huyu mtu ni presidential material. Ataushangaza umma wa Watanzania. Kuwa makini sana kutumia maneno hasa kwa mtu ambaye ni rais mtarajiwa.