900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Lissu akishinda dunia imeshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ndio kiboko ya Mabeberu, piga kura kizalendoCcm wasenge tu wote
Serikali ya awamu ya tano imekunifaisha we we, familiya yako na ukoo mzima kupitia Elimu bure, huduma bora za afya, mikopo elimu ya juu, usafiri bora, ulinzi, usalama na amani n.k. chagua Magufuli, Chagua MaendeleoWalioshinda ni watawala na familia zao wanaomiliki mabilion ya pesa na Mali zenye thamani ya matrion katika nchi maskini.
Ndio maana kila MTU anajipendekeza ili apate uteuzi.
Pato la taifa linawanufaisha moja kwa moja watawala mifukoni mwao huku wakishika miradi mikubwa kwa fedha keshi ili kuwanufaisha watu wao wa Karibu.
Wao wanakuambia kuwa watanufaika wajukuu zako lakini wao na watoto wao na wake zao na wajomba zao wananufaika Leo.
Tafakari !!
Majaribio zaidi ya 13,000 kuizima JF yameshindwa mlamu, mamlaka zimenyoosha mikono na kukubali matusi ya uchwara.
Hiyo Kura yako imeharibika. PoleeeView attachment 1614373
Tayari nimewachinja maccm ✌️✌️
Huo ndio uzalendo, big up. Magufuli Akishinda, Afrika imeshindaHe must win View attachment 1614388
Afrika nzima inamhitaji, kiongozi shupavu, imara na makini. Usiharibu kura yako, piga Kizalrndo. JPM akishinda, Afrika imeshindaMagufuli is a country bumpkin, labda kushinda njaa tu.
Amsterdam na vibaraka wake tunawapiga chini. JPM mitano tena, kazi iendeleeNi siku ya kumuaibisha Amsterdam
JPM ni jembe LA Afrika, Ulaya wanatambua Afrika INA Rais mmoja tu, JPMAcha kufananisha Africa na vitu vya kijinga
Unawajua mabeberu lakini. Wakituwekea sanctions ya mwezi mmoja tu inatosha kutuadhibu. Nenda Zimbabwe ukawaangalie wanavyoteseka kwa ajili ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi. ZANU PF wao wapo tu wakitumia dola kubaki madarakani lakini raia wa kawaida awe wa chama gani wanateseka sana. Hii pia ya rais wetu kutokuwana na uhusiano mzuri nao na kuendelea kuwaita mabeberu wanaweza wakatufanyia figsu na uchumi wetu ukaporomoka. Zimbabwe baada ya kuwekewa vikwazo waliangalia China kama option B. Kumbe China ni zaidi ya mabeberu. Wamepewa migodi ya dhahabu na wanachofanya ni kuondosha mali tu na kuwafunga macho viongozi wakubwa. Hii ndiyo maana anamwambia USA wasiingilie uchaguzi wanajua wanachofanya. Wanajua mambo yakishakuwa magumu tutawageukia wao kuwaomba misaada na hapo ndiyo kuanza kugawana nchi na wao.
JPM akishinda Rasilimali zipo salamaakishinda udikteta umeshinda
Wachumia tumbo vibaraka wa mabeberu na wakala wa ushoga lazima wapigwe tuWachumia tumbo,lazima wapigwe
Hiyo laana na ikurudie wewe mwenyewe wala isiguse vizazi vyako, mpaka useme poo ktk jina la Yesu amen🙏!Humu JF kuna team ya wanafiki mmejaa humu kujibu kila Comment.... vijana tuache kuendekeza njaa!
Hivi kama kweli anajiamini kwanini atuzimie mitandao ya kijamii?? Au mnaamini kila mtu ni mpenda siasa?
Kilaaniwe kizazi chenu wote mnaoendeleza haya yote.
Huu upuuzi wenu unaanza kutugusa hadi sisi ambao tumejiweka kando na vichwa panzi nyie
Akili yako ndio imeishia hapo tu😂😂😂😂😂😂😂!Kwanza kwanini MATAGA wako online??? Inamaana waliamini maneno ya kaka kigogo wakadownload na wao??? Wanafiki sana madogo hawa
Ameen, kilaaniwe kabisa.Humu JF kuna team ya wanafiki mmejaa humu kujibu kila Comment.... vijana tuache kuendekeza njaa!
Hivi kama kweli anajiamini kwanini atuzimie mitandao ya kijamii?? Au mnaamini kila mtu ni mpenda siasa?
Kilaaniwe kizazi chenu wote mnaoendeleza haya yote.
Huu upuuzi wenu unaanza kutugusa hadi sisi ambao tumejiweka kando na vichwa panzi nyie