Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


 
Kama hakuwahi kwani ni kosa/dhambi kufanya hivyo leo?
 
Interesting

Hata hivyo kila jambo na zama zake!

Akimaliza #MitanoTena aongeze #MitanoZaidi.
 
Kwa kanisa Katoliki la Mitume, hiyo ni kawaida.
 
Wewe hujatengeneza kiki na igizo uchwara ili utimukie ugaibuni?
 
Kwani ni dhambi?
Logic ya Waziri kutokukusanya sadaka na kukusanya sadaka akiwa Rais inahusiana na kitu kipi unachotaka kujustify?
 
Petty issues. Matatizo ya kujadili Tanzania yamekwisha? Ina maana unayoyafanya leo hii uliyafanya tangu zamani.

Rais na yeye ni raia. Anahitaji hapo unakuwa unamuonea!
 
Kanisa Katoliki linadhalilishwa sana
 
Yaani wewe ukizeeka utakuwa mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…