Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kama hakuwahi kwani ni kosa/dhambi kufanya hivyo leo?Kuna clip inatembea mitandaoni ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
InterestingKuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi.
Shida ipo yeye sikawajataza wenziwe kujirekodi mbona yeye anafanya??
Mawaziri Wamezuiwa kupiga picha na kuzisambaza Kwenye Masuala ya KAZI tuu Sio vitu Social kama hivyoJiulize ni kwanini wamepmiga picha(video) na kuzisambaza wakati alizuia mawaziri kujipiga picha na kuisambaza?
Sasa mkuu, ya kanisani yanakupasa yakufae Wewe, ukiyaleta hapa tunaanza kukushangaa Kwa sababu Mungu sio mbea!!Ndio natoka kanisani mkuu.
Kwa kanisa Katoliki la Mitume, hiyo ni kawaida.Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Tatizo wale waandishi wake wa habari na waopiga picha ndii wanampaishaShida ipo yeye sikawajataza wenziwe kujirekodi mbona yeye anafanya??
Unafiki mbaya.Interesting
Hata hivyo kila jambo na zama zake!
Akimaliza #MitanoTena aongeze #MitanoZaidi.
Wewe hujatengeneza kiki na igizo uchwara ili utimukie ugaibuni?Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Umefeliska kihoja!Wewe hujatengeneza kiki na igizo uchwara ili utimukie ugaibuni?
Kwani ni dhambi?Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Petty issues. Matatizo ya kujadili Tanzania yamekwisha? Ina maana unayoyafanya leo hii uliyafanya tangu zamani.Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Kanisa Katoliki linadhalilishwa sanaKuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Nimekuuuliza tuuu. Au wewe hupendi kwenda kukaa CANADA??Umefeliska kihoja!
Yaani wewe ukizeeka utakuwa mchawiKuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857