Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

Wewe hujatengeneza kiki na igizo uchwara ili utimukie ugaibuni?
Juhudi za kuonwa na Robert bin Amsterdam kupiti JF hazikuzaa matunda! Lakini, bado hajakata tamaa...mdogo mdogo anaanza kuibuka na nyuzi za 'mshangao' kutoka kwa 'akili kubwa' kama wanavyojinasibu akiwa na wenzake!

Alitakiwa, atulie kama Mshana Jr ili a reset mafaili yake! Hii ingemuepusha kuibuka na nyuzi za 'mshangao'!
 
Nimekuuliza unaelewa "Separation of Church and State" ni nini.

Hujajibu.

Huyo Mwalimu Nyerere uliyemtaja alikuwa anakwenda kanisani kila siku akiwa Dar.

Karibu kila siku, alikuwa akisali St. Peters.Si mpaka Jumapili na Christmas.

Na hakutoza sadaka hata siku moja maisha yake yote. Hakuna rekodi hiyo.

Alijua maana ya "Mpeni Kaizari cha Kaizari, na Mungu cha Mungu".

Alijua akisimama kutoza watu sadaka, watu wengine watajiuliza sasa hizi hela tunazompa Julius Kaizari huyu ni sadaka za kwenda kwa Mungu au tunaunga mkono juhudi za utawala wake?

Watu wengine watatoa sadaka kwa sababu anayetoza ni rais, si kwa sababu wanataka kutoa sadaka kanisani.

Yani suala zima la kwenda kanisani kutoa sadaka kidini linagubikwa wingu la siasa.

Ndiyo maana Nyerere na Mkapa hawakufanya maigizo haya.
Kwani sadaka inatozwa mkuu? Mie nijuavyo SADAKA ni hiari
 
Kwani sadaka inatozwa mkuu? Mie nijuavyo SADAKA ni hiari
Kwani kutozwa maana yake ni nini?

Kwani huwezi kutozwa mchango wa hiyari?

Unapomuona Magufuli kakusimamia anakutaka utoe sadaka unaweza kubabaika na kufikiri ni lazima na si hiyari.
 
Kwani kutozwa maana yake ni nini?

Kwani huwezi kutozwa mchango wa hiyari?

Unapomuona Magufuli kakusimamia anakutaka utoe sadaka unaweza kubabaika na kufikiri ni lazima na si hiyari.
Sadaka hupaswi kumuonyesha mtu ni siri yako ila ukitoa kwa kuogopa mtu hicho ni kiherehere chako, sadaka hainaga kiwango
 
Sadaka hupaswi kumuonyesha mtu ni siri yako ila ukitoa kwa kuogopa mtu hicho ni kiherehere chako, sadaka hainaga kiwango
Sadaka inafaa kuingizwa kwenye lindi la siasa?
 
hajajirekodi mkuu,halafu ujue yule ni Rais eeh!!!ni namba moja,ni public figure
Kwani hao mawaziri si public figures?

Magufuli hajui au hajali kanuni za "Separation of Church and State".
 
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


View attachment 1658857
Sio mbaya,wala sio ajabu ujue?,,vitu vingine sio hata vya kulalamikia
 
Kwenye nyumba za ibada Rais ni muumini kama waumini wengine hana nafasi maalumu katika utaratibu wa ibada Kwa kanisa Katoliki utoaji wa sadaka upo ndani ya ratiba ya misa na katika makanisa mengi utoaji wa sadaka husimiwa na jumuia ya zamu jumuia ya zamu husimamia mambo mengi mfano usomaji wa masomo utulivu ndani ya kanisa wakati wa ibada n.k
 
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


View attachment 1658857

Kwa Mungu hakuna kamera bali ni moyo, hakuna uraisi wala nini . Mungu anaangalia matendo sio maigizo
 
Huyo kada wa Lumumba, anauhesabu huo "uchafuzi" uliopita kuwa ni miongoni ya chaguzi Huru na Haki?

Hivi uchaguzi gani ambao Jiwe anawaamrisha Wasimamizi wote wa uchaguzi kuwa vibarua vyao vitaota nyasi, iwapo atatokea msimamizi yeyote atakayethubutu kumtangaza mpinzani kwenye eneo lake kuwa ameshinda?
Ushahidi wa hii hekaya upo kweli?
 
Mwacheni rais wetu amtumikie Mungu wake
 
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


View attachment 1658857
Kosa lake ni lipi hapo, UA ulitaka afanye nini?.
 
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


View attachment 1658857
Mara moja moja siyo mbaya
 
Back
Top Bottom