Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Unateseka sana!Yaani wewe ukizeeka utakuwa mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka sana!Yaani wewe ukizeeka utakuwa mchawi
Hilo kanisa ghafra limekua dogo, walilipanua kidogo sanaKuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Sasa wewe mara unamfuatilia Rais wetu...unateseka SanaUnateseka sana!
Unajua maana ya kushindwa?Mleta mada bado stress za kushindwa hazijaisha
Kinachokuonesha kajipiga picha ni kipi.Shida ipo yeye sikawajataza wenziwe kujirekodi mbona yeye anafanya??
Uzuri anafanya na watu wa imani Yake.Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
JPM ni zao la Seminari na jasiri aachi asili!Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Wasi wasi wetu kwake ni kwamba huenda anapiga chabo makusanyo. Yakimvutia ataanzisha indirect taxes kwenye makusanyo ya Sadaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli.Interesting
Hata hivyo kila jambo na zama zake!
Akimaliza #MitanoTena aongeze #MitanoZaidi.
Karibu Ufipa tukuandike wewe Mkuu. Au unafikiri tumesahau ile tabia yako??Mkuu Salary vyakuandika havipo kwa sasa hapo ufipa.