Sasa hiyo kura yako moja na wachumia tumbo wenzako itamsaidia nini?Kura yangu tayari anayo bwashee!
Huku Kanda ya ziwa awamu hii tumejipanga kumshughurikia huyo aliyetutapeli 2015 na sasa hali ngumu kila mtu analia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hiyo kura yako moja na wachumia tumbo wenzako itamsaidia nini?Kura yangu tayari anayo bwashee!
Lazima achukiwe na wajinga ambao wengi wao kazi zao ni kuosha vibibi vya kizungu hasa USA kama Bubu Ataka Kusema (BAK). Majority walikimbia/kutoroka baada ya kushindwa kujiendeleza ki-elimu.Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Na bado lazima awafokee wapuuzi kama wewe. Tanzania sio ya kuchezewa chezewa mlimwonea JMK sasa Chuma kipo Ikulu safi sana.Magu aache kufokea fokea watu , anajikweeeza kama Mfalme Herod , fokafoka tukana watu stupid kama mkoloni kila kukicha fokafoka tu kudhalilisha wanawake mara mwanamke mweupe ndo nitamsikiliza kuliko mweusi cheee
Wazalendo wa kweli wa nchi hii ukiwemo wewe tutamchagua JPM.Sema atapigiwa kura na wachumia tumbo wasiojitambua.wao matumbo yao ni zaidi ya taifa
Mkuu Mag3 , rukhsa kujiplease na nyomi na kura za Twitter, Instagram, WhatsApp na mitandaoni, ila 28th October, mtashangaa na hamtaamini!.Anazo labda mbili...ya kwako johnthebaptist na ya Pascal Mayalla. Ya kwangu aliikosa toka 2015 mara tu baada ya kuapishwa!
Tushangae nini ndugu yangu, tumeshaambiwa kuwa CCM haihitaji kura zetu wananchi na kwamba hata kura zetu Watanzania tukizipiga huko kwingine mshindi ni CCM.Mkuu Mag3 , rukhsa kujiplease na nyomi na kura za Twitter, Instagram, WhatsApp na mitandaoni, ila 28th October, mtashangaa na hamtaamini!.
P
Sasa hiyo kura yako moja na wachumia tumbo wenzako itamsaidia nini?
Huku Kanda ya ziwa awamu hii tumejipanga kumshughurikia huyo aliyetutapeli 2015 na sasa hali ngumu kila mtu analia
Sisi tunajumlisha na wao NecCCM nao wajumlishe haibiwi mtu safari hii
Wamemaliza wapi? Acha uongo,sema tu kujisifu wanachama wa ccm mpo vizuri but hamna lolote, mpaka Sasa mmepigwa chembe za moyo ,mwafaaaaaKampeni walishamaliza ndio maana hawajibizani sana.
MAGUFULI4LIFE.
Unatakiwa kuwa na kichaaa cha highest degree kuamini Tundu lisu anashida uchaguzi huuAtapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Na mtashindwa ,Sasa msije anza mlalamikia mwenyekiti wenu kapigana vya kutosha na ole wenu tuwaone mwakimbilia chama kitakachokua madarakani,hakuna njia yoyote kwisha habari yenu, jpm Hana Cha kupoteza ila kwisha habari yenu ,sio Mimi asemae BaliKampeni walishamaliza ndio maana hawajibizani sana.
MAGUFULI4LIFE.
He Bora nikatunza iyo nauri vipi wewe uliekuwa wategemea mteremko, yahani bahada ya kumchangia mgombea wako hata Mia mbili unataka uchangiwe,wafaaaaa , mbona wakina Trump pamoja na utajiri wao bado huchangiwa,? Wafaaa nasemaWe tunza nauli Ubelgiji mbali.
MAGUFULI4LIFE.
Kwani sisi mabasha!? Huko hatuji ondoa shaka kabisa.Na mtashindwa ,Sasa msije anza mlalamikia mwenyekiti wenu kapigana vya kutosha na ole wenu tuwaone mwakimbilia chama kitakachokua madarakani,hakuna njia yoyote kwisha habari yenu, jpm Hana Cha kupoteza ila kwisha habari yenu ,sio Mimi asemae Bali
No Yule alieumba mbingu na nchi,
Aliwakataza msichangie ujenzi wa maabara ya shule leo anawaambia mumchangie yeye! Wajinga hawatoisha dunia hii.He Bora nikatunza iyo nauri vipi wewe uliekuwa wategemea mteremko, yahani bahada ya kumchangia mgombea wako hata Mia mbili unataka uchangiwe,wafaaaaa , mbona wakina Trump pamoja na utajiri wao bado huchangiwa,? Wafaaa nasema
He mungu anakuona ,naona waanza matusi ,da jamani heb punguzeni matusi kada, na kwa mpeni zinazoendelea pesa uzipatazo weka kibubu mkuu si mda Mambo yako yatakua magum,hacha matusi Mara mojaKwani sisi mabasha!? Huko hatuji ondoa shaka kabisa.
MAGUFULI4LIFE.