Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Kura yangu tayari anayo bwashee!
Sasa hiyo kura yako moja na wachumia tumbo wenzako itamsaidia nini?
Huku Kanda ya ziwa awamu hii tumejipanga kumshughurikia huyo aliyetutapeli 2015 na sasa hali ngumu kila mtu analia
 
Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.

View attachment 1601637
Lazima achukiwe na wajinga ambao wengi wao kazi zao ni kuosha vibibi vya kizungu hasa USA kama Bubu Ataka Kusema (BAK). Majority walikimbia/kutoroka baada ya kushindwa kujiendeleza ki-elimu.
 
Magu aache kufokea fokea watu , anajikweeeza kama Mfalme Herod , fokafoka tukana watu stupid kama mkoloni kila kukicha fokafoka tu kudhalilisha wanawake mara mwanamke mweupe ndo nitamsikiliza kuliko mweusi cheee
Na bado lazima awafokee wapuuzi kama wewe. Tanzania sio ya kuchezewa chezewa mlimwonea JMK sasa Chuma kipo Ikulu safi sana.

1602868261887.png



1602868308732.png


Hapa kazi tu!​
 
Sema atapigiwa kura na wachumia tumbo wasiojitambua.wao matumbo yao ni zaidi ya taifa
Wazalendo wa kweli wa nchi hii ukiwemo wewe tutamchagua JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Bajeti za Madawa kutoka Billion 34 mpaka sasa Billion 270

80% vijiji vyote vimepata Umeme

Tatizo la Umeme linakwenda kuwa historia kupitia mradi kubwa wa Stigles pale Rufiji ambao utatoa Megewati 2015

SGR itakwenda kuwa mkombozi kwa Nchi zaidi ya nane ambao baadhi yao miaka ya nyuma walitukimbia kwasababu ya ubabaishaji mkubwa Bandarini

Wafanyakazi hewa sasa ni Historia na Serikali kupitia Dr John Pombe Magufuli imekoa billion za kutosha ambazo sasa zinaingia sehemu nyingine


Ubasharifu wa pesa za umma na matumizi mabovu kwa watendaji sasa hakuna tena

Sector ambayo tuliumizwa vibaya ya Madini sasa hivi tumeanza kunufaika nayo na majuzi tu tumepokea Gawio la billion 100 kupitia win win situation


Miundombinu kama barabara sasa hivi Tanzania kunafikika kila eneo

Maji watu wengi wanapata maji safi na salama ingawa kuna changamoto ambazo ziaenda kuisha muda si mrefu

Serikali iko mbioni kupeleka muswada Bungeni ila sasa kila Mtanzania aweze kuwa na Bima ya afya

Elimu bure inaendelea kutolewa na zaidi sasa ni maboresho kama vifaa na stahiki za Walimu ndodondogo ambazo Serikali inazifanyia kazi na zingine tayari zimepatiwa ufumbuzi


Vituo vya afya vinajengwa kwa kasi kubwa kila kijiji na kata ili kumuondolea Mtanzania adha ya kusafiri mbali kutafuta huduma hasa mama zetu


Yako mengine mengi sana ya kumuelezea Dr John Pombe Magufuli kuwa anastahili kuchaguliwa tena na zaidi kupata kura za kishindo tarehe 28 October 2020




Alex Fredrick
FB_IMG_1602824048384.jpeg
 
Mkuu Mag3 , rukhsa kujiplease na nyomi na kura za Twitter, Instagram, WhatsApp na mitandaoni, ila 28th October, mtashangaa na hamtaamini!.
P
Tushangae nini ndugu yangu, tumeshaambiwa kuwa CCM haihitaji kura zetu wananchi na kwamba hata kura zetu Watanzania tukizipiga huko kwingine mshindi ni CCM.

Mwana mama naye kagonga msumari penyewe kwa kuapa kuwa kupiga kura huko kwingineko ni sawa na kumwaga sukari ziwani kwa kuamini maji yake yatakuwa matamu, duh!


CCM Mabango.jpg
CCM ni ile ileee!​
 
Sasa hiyo kura yako moja na wachumia tumbo wenzako itamsaidia nini?
Huku Kanda ya ziwa awamu hii tumejipanga kumshughurikia huyo aliyetutapeli 2015 na sasa hali ngumu kila mtu analia

Ndio mbinu yenu hii nyie mlioshindwa kabla ya uchaguzi. Mkamuambia Lissu arudi kanda ya ziwa ili mpatepo tupicha twa kutapelia mitandaoni. You miserable loosers!
Sisi tunajumlisha na wao NecCCM nao wajumlishe haibiwi mtu safari hii

Mjazeni Lissu ujinga, na kakubali kweli kuwa zuzu, kajaa tele. Eti nitaingiza nchi nzima barabarani. Pumbafu zake atamuandamanisha nani mjinga akawe brison! anafikiri Watanzania ni wajinga wa kuswagwa kama makondoo.
 
Kampeni walishamaliza ndio maana hawajibizani sana.



MAGUFULI4LIFE.
Na mtashindwa ,Sasa msije anza mlalamikia mwenyekiti wenu kapigana vya kutosha na ole wenu tuwaone mwakimbilia chama kitakachokua madarakani,hakuna njia yoyote kwisha habari yenu, jpm Hana Cha kupoteza ila kwisha habari yenu ,sio Mimi asemae Bali
No Yule alieumba mbingu na nchi,
 
We tunza nauli Ubelgiji mbali.



MAGUFULI4LIFE.
He Bora nikatunza iyo nauri vipi wewe uliekuwa wategemea mteremko, yahani bahada ya kumchangia mgombea wako hata Mia mbili unataka uchangiwe,wafaaaaa , mbona wakina Trump pamoja na utajiri wao bado huchangiwa,? Wafaaa nasema
 
Japo atashinda, ila bila kummnya maneno,jamaa kawafanyia uhuni sana watumishi wa umma,,miaka mitano hakuna increment na wengine they started a job at once ila mmoja yuko daraja lingine na mwingine nyuma ya mwingine kisa watumishi hewa utandhani ndo waliowachomeka hao watumishhi hewa,Magufuri Mungu anakuona
 
Na mtashindwa ,Sasa msije anza mlalamikia mwenyekiti wenu kapigana vya kutosha na ole wenu tuwaone mwakimbilia chama kitakachokua madarakani,hakuna njia yoyote kwisha habari yenu, jpm Hana Cha kupoteza ila kwisha habari yenu ,sio Mimi asemae Bali
No Yule alieumba mbingu na nchi,
Kwani sisi mabasha!? Huko hatuji ondoa shaka kabisa.



MAGUFULI4LIFE.
 
He Bora nikatunza iyo nauri vipi wewe uliekuwa wategemea mteremko, yahani bahada ya kumchangia mgombea wako hata Mia mbili unataka uchangiwe,wafaaaaa , mbona wakina Trump pamoja na utajiri wao bado huchangiwa,? Wafaaa nasema
Aliwakataza msichangie ujenzi wa maabara ya shule leo anawaambia mumchangie yeye! Wajinga hawatoisha dunia hii.



MAGUFULI4LIFE.
 
Ukishaona mtu analia lia tu majukwaani na muda wote anazungumzia kuibiwa kura, KISAYANSI mtu huyo ameshashindwa vibaya mno hata kabla ya Uchaguzi.
Amini, Amini nawaambia, katika Uchaguzi huu, JPM atashinda kwa kishindo cha pekee ambacho hakijawahi kuwepo tangu tupate uhuru.
 
Kwani sisi mabasha!? Huko hatuji ondoa shaka kabisa.



MAGUFULI4LIFE.
He mungu anakuona ,naona waanza matusi ,da jamani heb punguzeni matusi kada, na kwa mpeni zinazoendelea pesa uzipatazo weka kibubu mkuu si mda Mambo yako yatakua magum,hacha matusi Mara moja
 
Back
Top Bottom