4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mkuu sayansi ya siasa, muulize mh bashiru si nasikia ana PhD ya Mambo ya siasa japo haifanyi vizuri , maana kwa mwaka huu Moto mkali pande zote za tzAliwakataza msichangie ujenzi wa maabara ya shule leo anawaambia mumchangie yeye! Wajinga hawatoisha dunia hii.
MAGUFULI4LIFE.
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Tatizo lake moja tu, anatumia madaraka yake ya Urais vibaya kutesa na kuumiza raia wake na pia ni MUUAJI..Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
He mungu anakuona ,naona waanza matusi ,da jamani heb punguzeni matusi kada, na kwa mpeni zinazoendelea pesa uzipatazo weka kibubu mkuu si mda Mambo yako yatakua magum,hacha matusi Mara moja
Ukiondoa chuki utaweza kuona.Tatizo lake moja tu, anatumia madaraka yake ya Urais vibaya kutesa na kuumiza raia wake na pia ni MUUAJI..
Hatuna tatizo jingine na yeye kama binadamu mwenzetu. Lakini hili la kudhulumu uhai wa watu, hapana. Lazima ATUBU kwanza...
Damu za watu alioagiza wauwawe zinamhukumu toka ardhini na zinamshtaki mbele ya Mungu muumba!!
838"Kama uritegemea fidia hakuna Mwafwaa"
Jiongeze. Hata aibu huna!Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mwenye aibu zako tunakuomba pamoja na hizo aibu October 28th jura yako mpe JPM kwa MAENDELEO ya TanzaniaJiongeze. Hata aibu huna!
Bro waliozembea Maghala ya Mbagala na Gongo la Mboto unajidai kujisahaulisha ama? Ni endelee kujibu ama niache basi imetosha. Pale hawakufa wapiganaji wetu?
Wewe ni mnufaika wa ile miradi ya wakati wa uchaguzi kuagiza magari kibao mpaka mengine mabofu yaliyo pigwa renovation kwa mkono wa brush za rangi za ukutani.
Kwa hili nakuunga mkono,askari yake mafunzo sio kubangua korosho au kubeba koroshoAcha kujaribu kuhamisha hoja nyepesi kwa hoja nzito
JPM kashindwa kulinda nchi ; vifaa Havina matunzo ; Askari hawana mafunzo ya kutosha na hata wanaoenda wanakatwa mshahara “ada” ; kupigwa na kudhalilishwa huko kusini ni matokeo
Wewe Unajua matokeo ya matunzo hafifu mwezi uliopita ndege vita imeanguka moro na kuuwa askari wawili mara tu baada ya kupaaa kutokana na kukaaa muda mrefu bila kuruka
Hata marubani wanalazimika kuruka mara nyingi ili wawe fit na wanashindwa kwa kuwa baba yenu hatumi hata pesa za mafuta
Acha kujaribu kuhamisha hoja nyepesi kwa hoja nzito
JPM kashindwa kulinda nchi ; vifaa Havina matunzo ; Askari hawana mafunzo ya kutosha na hata wanaoenda wanakatwa mshahara “ada” ; kupigwa na kudhalilishwa huko kusini ni matokeo
Wewe Unajua matokeo ya matunzo hafifu mwezi uliopita ndege vita imeanguka moro na kuuwa askari wawili mara tu baada ya kupaaa kutokana na kukaaa muda mrefu bila kuruka
Hata marubani wanalazimika kuruka mara nyingi ili wawe fit na wanashindwa kwa kuwa baba yenu hatumi hata pesa za mafuta
Ndege vita ya mafunzo iliyodondokea Msata barabarani ilitunzwa au haikutunzwa? Wewe unazungumzia yaliyotokea kusini kwa nini usianzie tatizo lilipo lelewa. Hujui awamu iliyopita watu wenye mrengo wa kidini waliachiwa wafanye mafunzo misituni na serikali ikijidai haioni? Wengine walipokamatwa huko handeni nafikiri tena watoto wakaombewa wachukuliwe na vyombo vya ulinzi na usalama walelewe maana ni vipaji. Pumbafu kabisa nyie. Mtengeneze tatizo mue wanajeshi wazalendo ikipindivhiki cha uchaguzi ili mlitumie kama mitaji yenu ya propoganda za kisiasa na mazingira ya kujiingizia vipato visivyo halali. Mashetani wakubwa.
Hata hiyo ndege kudondoka kama kuna ukweli si ajabu ni mamluki wenu na ndio maana unaitumia hapa kama propoganda za kiipuuzi
Ushasema ya mafunzo ... yaaani ni maalum kwa waanafunzi ....
Na kuweka record Sawa haikuaanguka ilifanya emergency landing barabarani kutokana na mwanafunzi kukorofisha kitu walifanikiwa kutua bahati mbaya FUSO ikatokea ikawagonga
Usitake kuhamishia matatizo Serious kulaumu wengine ; wao sio waliowambia mkate askari posho za mafunzo; muwakate ration ; muwaondolee maduka yao ; mkate hata bia zao za kupooza koo zilikua zinawapa faraja Sana na duniani kote askari hutendewa hivyo wanasafiiri na wanaona wenzao ; hata sare mnashindwa kuwapa
KUBALI TATIZO LIPO
GWAJIMA ambaye juzi kuna mtu analia aletewe ni kamanda wa kundi la wanamgambo wa “interahamwe “ wanaodai ni walinzi wa Magu walio msituni ambao kuna ushahidi wa kipolisi upo kwa DPP ... jaribu kufikiria ikitokea hakushinda au Kashinda mwaka 2025 kaingia mtu hamtaki; silitakua kundi la waasi
Ugaidi ni tatizo la dunia na sio la nchi moja .; ndio maana tulienda kuwapiga M23
Usishiriki dhambi za kuteswa kwa watzMwenye aibu zako tunakuomba pamoja na hizo aibu October 28th jura yako mpe JPM kwa MAENDELEO ya Tanzania
October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Nani kateswa wewee hebu October 28th mapema tuu nenda kampe kura ya ndio JPM.Usishiriki dhambi za kuteswa kwa watz
Ukiwa kula kulala huwezi juaNani kateswa wewee hebu October 28th mapema tuu nenda kampe kura ya ndio JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kumpigia kura usiye na faida nae ni matumizi mabaya ya akiliNani kateswa wewee hebu October 28th mapema tuu nenda kampe kura ya ndio JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA