Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

mimi ntadamkia jimbo lakorogwe vijijin ntamchagua timotheo mzava mbunge ccm ,paulo chikira diwan ccm kata ya mazinde na Magufuli ,#ccm mbele kwa mbele, 5 mitano tena
 
Magu aache kufokea fokea watu , anajikweeeza kama Mfalme Herod , fokafoka tukana watu stupid kama mkoloni kila kukicha fokafoka tu kudhalilisha wanawake mara mwanamke mweupe ndo nitamsikiliza kuliko mweusi cheee
 
MATAGA mkuje mtuambie tangu lini kwenye mitandao kumekuwa na wapiga kura? Kila siku mnasema JF, Tweeter, Fb hakuna wapiga kura kuna wapiga kelele!?
Huoni mnaojibu na kujibu ni nyie nyie!
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Nilichogundua wanachama wa ccm mnampenda jpm kwenye raha kwenye shida hamko nae ,hata kumjibia mapigo kwenye mitandao ya kijamii mnashindwa, siku za mbele ccm itaibidi kusajili upya ,na jpm analo la kujifunza kwa wanaccm,that niliwai andika hum jpm hakutakiwa kugombea mwaka huu pitia ccm ingetosha kuja na kauli mbiu ya NIMEOKOKA TOKA CCM na kwa kupitia chama chochote Cha upinzani asingepata tabu Sana,watu wangemuelewa haraka Sana ,ila wakati natoa wazo hili wenda nilionekana Kama kichaa,na ndo kipindi wanaccm wanasema ushindi nje nje na wakati huo niliwambia uchaguzi mkuu sio Jambo dogo mtapigwa mtiti mpaka mtafutane.
Namtukuza mungu nimemaliza mfungo wangu salama kwa taifa langu,ila kufunga si Jambo jepesi ,ndugu zangu Islamic nimewaeshim Sana mungu awabariki, na mungu ibariki nchi yangu
 
Ndiyo sababu Twitter inazidi kuwa maarufu sana kwa Watanzania kwani uhuru wa kule hakuna tena. Yule kigogo serikali ilimchomea afungiwe na akafungiwa lakini wabongo hawakukubali wakaiandikia Twitter kwa wingi kwamba hajatenda kosa lolote na Twitter wakawaelewa Wabongo hivyo Kigogo akafunguliwa. Sikuwa kufikiria kwamba kuna mtandao utakuwa kipenzi cha Watanzania kama JamiiForums lakini kwa uhuru uliokuwepo kule Twitter nadhani kwa kasi hii Twitter inaweza kuwa maarufu zaidi kuliko JamiiForums.
JamiiForums sasa hivi hata uki-post uzi hauonekani kwa members wengine mpaka kwanza upitiwe na moderator.Hili jambo linatia uvivu hata kuanzisha mada.Sijui wametishwa!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nyomi la Meatu limefanya Wanaccm waanze kutafuta mchawii😁😂🤣
 
Kilichobakia ni kuandaa Tallying Center ambayo itakuwa na ulinzi mkali ifikapo saa sita usiku tunakuwa na hesabu ya kura zetu za Chadema
 
yaam ushba mzigo kwan trump hatweet? imekuwaje ajabu mtu kutumia social network ku reach follows ers? mim cdm.ila.naona kama unepotezana vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Sasa kama anapendwa kuliko mgombea yeyote Tz kwa nini uamini kuna wanaomchukia? Akili za mbuzi buana[emoji16][emoji16]
 
Nakubaliana nawe Mkuu, baadhi ya maamuzi yao ni kujitia kitanzi wenyewe na kuwakimbiza watu kule Twitter.
JamiiForums sasa hivi hata uki-post uzi hauonekani kwa members wengine mpaka kwanza upitiwe na moderator.Hili jambo linatia uvivu hata kuanzisha mada.Sijui wametishwa
 
Poyoyo mbona unapopoma sana? Tulia wacha kupaniki, Sasa Hutaki akaombe kura Mtwara?

Mh Makamu wa Rais Mama Samia na Mh PM Majaliwa huko kote wanakozunguka kumbe wanaenda kufanya nini? Au hujui Mh Majaliwa ni Mbunge wa Ruwangwa kwa nini aende Arusha na Kilimanjaro?

Rsis alipoacha kampeni akafanya shughuli nyingine hukuelewa lolote kumbe. Uchaguzi na Kampeni 2020 is a project done.
 
Usipanik Bro..
Hata Gobershov alijenga viwanda , lakini huku akizorotesha nguvu za USSR Kijeshi, Usalama na Umoja kama taifa ....so hivyo vitu sio substitute ya uhai na uimara wetu kama taifa hasa UMOJA ...sasa ukishapanda ubaguzi kwenye nchi hivyo vitu ..vina msaada gani .
ALAFU BRO UMEJIBU MOJA TU...Hayo muhimu ya kuzembea makusudi kugharamia utunzaji wa mifumo yetu ...nadhani pia umeona lakini kwakua unajua nini kinaendelea umeamua hilo usiongelee kwakua ndio ukweli .
MSICHEZE NA HUKO BRO , WAZALENDO WANA UCHUNGU .....
kweli sisi ni wa kuchinjwa kama kuku na watoto wadogo ....wakati vifaa vipo lakini havina msaada kwakua havina matunzo ......
BRO utapata wapi uweledi na utimamu kama vijana wakienda KOZI wanalipishwa 'ADA" hakuna nchi inafanya hivyo hata wakati mgumu sana kwenye nchi yetu baada ya mwalimu kutoka akaingia mwinyi haijawaji kutokea Askari wanalipishwa kwenda mafunzoni ...tena sana wanalipwa ..
Mnategemea hao ndio mtakaowaamini kukabiliana na jambo lolote .....hamasa iko chini sana ....umeona lini uchaguzi unafanyika hawana vifaa na magari mapya ....msicheze na usalama wa nchi .

Bro waliozembea Maghala ya Mbagala na Gongo la Mboto unajidai kujisahaulisha ama? Ni endelee kujibu ama niache basi imetosha. Pale hawakufa wapiganaji wetu?

Wewe ni mnufaika wa ile miradi ya wakati wa uchaguzi kuagiza magari kibao mpaka mengine mabofu yaliyo pigwa renovation kwa mkono wa brush za rangi za ukutani.
 
Magufuli will win this election with very many votes because Tundu Lissu supports gays we are not ready to have a president like Tundu Lissu maybe he can go to to be president maybe in Belgium but not here


Your English is as broken as Jiwe's, is he your father or Uncle??
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.

October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Sema atapigiwa kura na wachumia tumbo wasiojitambua.wao matumbo yao ni zaidi ya taifa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom