Hoja zile zile za kukaririshana. Anunue ndege kwa mkopo halafu tulipe pesa nyingi kwenye riba.
Baada ya yeye kumaliza urais uwanja unatumiwa na watu wa Geita. Uwanja wa KIA upo Hai kwa Mbowe na hakuna anayeuhusisha na siasa za vyama kwani upo ulikuwepo na utakuwepo.
Tukumbuke kuwa uwanja wa Mwanza umepanuliwa na unakuwa ni hub ya Tanzania na unapokuwa na hub ni lazima uwe na strategic aerodrome yaani uwanja wa akiba ambao haupo mbali nao. Mfano uwanja wa Dar unayo akiba ya Zanzibar uwanja wa KIA unayo akiba ya uwanja wa Arusha.
Sekta ya anga inatazamwa kisiasa badala ya kuangaliwa kama ni fursa kubwa huko tuendako.
Hoja nyingi ni za kisiasa zisizo na maono ya mbali.
Atateseka sana mpaka umuti umfike hakuna kosa duniani atalijutia kwa tendo lile huoni hamtaji jina anasema yule alikuja na bajaji ni mateso anapataTena zinamuumiza vibaya sana.
Hahah katika aina ya Reporting nitajie ni report ipi inayoweza ku-compile report ya miaka 3 kwa pamoja (2016-2017,2017-2018,2018-2019).Hujui kusoma kamanda,ilikuwa imecompile 2016-2019. Ila ni uthibitisho Atcl inakaguliwa. Mnaiabisha Chadema kwa ushabiki wa kijinga.
Na bado mnachukua Kodi kwao mnenepeshe mivitambi yane na ya baba zenuWatu masikini utawajua tu
Why do you generalize that we do not need a national carrier? I think we need it. What is supposed to be done is to cut down losses, and make people accountable.
Kwenye uzalishaji wa mazao na uongezaji thamani, Sokoine's ideas, if they were upheld, we would be leading in the area in the region. By now we would be so advanced on terms of technology and appropriate capabilities.
Ina maana baada ya hii mess up ya privatisation, tunahitaji muda tena wa kuweka kurudi kwenye mstari
Una wajengea choo cha kuflash wkati cha shimo tu wameshindwa kukitumia hayaYaani unafanya mambo ki selfish afu bado unatetea,unatuchosha Magufuli...Chato ingekua sio kwa mambo kede kede yanayoelekezwa huko Chato wala tusingepiga kelele, wewe uwanja wa michezo,hospitali,kila kitu Chato,watanzania tunataka equal share of resources!..watanzania hawapatikani Chato pekee..umetukosea watanzania kwa miaka mitano,its time to step down.
Chato ni sehemu ya Uganda au ni Burundi?.1.Uwanja wa ndege
2.Bandari
3.Hospitali ya rufaa ya kuhudumia Kanda
Jamani kunani chato?Hivi Magufuli angekuwa anatokea Shinyanga,hivyo vyote vingeenda Chato?Ni kwamba ni coincedence tu kuwa mipango ya maendeleo mikubwa kama hiyo inaangukia Chato na yeye kuwa Rais ambaye kwao ni Chato?
Niambie tu toka moyoni kwako,hii ni coincedence?
Umeandika hisia tupu ambazo ukiombwa uweke ushahidi mezani huwezi kufanya hivyo.Hoja kwamba uwanja umejengwa bila kufuata sheria ya manunuzi ina usiasa gani?
Hoja kwamba MAGUFULI alimuita mtengeneza ndege wakakaa chumbani huku amekalia sheria ya manunuzi makalion ina usiasa gani? Sheria zimewekwa ili kudhibiti matendo ya binadam wenye hulka kama MAGUFULI.kwann mnaamini kwamba huwezi kuchukua 10% ya hiyo midubwasha/ mindege?
Kama uwanja umejengwa kimkakati kwann usijengwe Bukoba au mara ambayo ni karibu na mwanza?
Ameshindwa kujibu hoja anawatuma mje mbwabwaje tu hapa unadhani mpo kariakoo sokoni.jibu hoja acha kuweka miswada
Hoja ni kwanini chato? Kwanini sheria ya manunuzi ya umma haijafuatwa?
Ndege zinashambuliwa kisiasa ingawa zenyewe ni za kuinua uchumi wa nchi.Kaka hapa ni kama unafua shati jeupe na maziwa ili liwe jeupe zaidi!
Ni ubaguzi ule ule hata Ulimwengu walihoji uraia wake.Kwani kuhoji raiya wa kakobe ilikuwa nini? Kuhoji uraiya wa kabendera ilikuwa nini? Mondo he au umesahau?
Chato kuna uzuri gani pa ovyo tu ile sio mbuga ni zoo uwanja angejenga geita basiDuuu unasikitisha sana kufikiri kuwa mpaka wewe upande hizo ndege ndiyo itakuwa sawa kujenga uwanja wa Chato! Uwanja huu na ndege zilizonunuliwa zinakuja kukuza biashara ya utalii na madini katika kanda hii. Watalii wengi watapenda kuja kuona Hifadhi mpya k.m. Chato Burigi, n.k. Wameshaona Serengeti, Manyara, n.k. Huu ni mkakati wa kukuza pato la Taifa. Halafu mimi nawashangaa sana hivi Wana-Chato ni dhambi uchumi wao kuongezeka? Vilevile ukiona Chato kuzuri nenda tuu ukaanzishe bishara zako huko, ruksa.
Hoja kwamba uwanja umejengwa bila kufuata sheria ya manunuzi ina usiasa gani?
Hoja kwamba MAGUFULI alimuita mtengeneza ndege wakakaa chumbani huku amekalia sheria ya manunuzi makalion ina usiasa gani? Sheria zimewekwa ili kudhibiti matendo ya binadam wenye hulka kama MAGUFULI.kwann mnaamini kwamba huwezi kuchukua 10% ya hiyo midubwasha/ mindege?
Kama uwanja umejengwa kimkakati kwann usijengwe Bukoba au mara ambayo ni karibu na mwanza?
Ameshindwa kujibu hoja anawatuma mje mbwabwaje tu hapa unadhani mpo kariakoo sokoni.jibu hoja acha kuweka miswada
Hoja ni kwanini chato? Kwanini sheria ya manunuzi ya umma haijafuatwa?
Una wajengea choo cha kuflash wkati cha shimo tu wameshindwa kukitumia haya
Na mlivyomatahaahira mkapiga chizi risasi.yaani wewe ndiyo ile miafrika mijinga iliyonangwa na Putin. Ipe pesa kidogo ipe risasi iambie uwa wafrika wezako na unauwa. Bure kabisa weweAndika kiswahili kinachoeleweka, Lissu hana hadhi ya kufanya mdahalo na Rais wa nchi, anaweza akagombea naye na kupiga makelele majukwaani kama chizi mwisho wa siku atabaki kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Hata uenyekiti wa CHADEMA Lissu hawezi pewa.
Mayanga construction kampuni ya mkuuPia mmiliki wa kampuni ya ujenzi huo uwanja Ni Nani.
Je kila raisi ajae nae ajenge uwanja kwao
Yamekuwa hayo Kamanda mwenzangu!Toka lini ole sabaya ukawa kamanda?
Swali zuri sana. Huu uwanja utakuwa hauna kazi tena, tutaubadilisha utakuwa wa kuchezea mpira. Kawaida mtu aliyejenga uwanja wa ndege, akishamaliza muda wake wa urais, viwanja vya ndege vyote alivyojenga huwa vinabadilishwa na kuwa viwanja vya mpira!5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Halafu anapenda huku akiogopa kuzipanda...Sasa sjui anazipendea nini?Jamaa anapenda ndege! Hebu afanye utafiti ni watanzania wangapi Wana uwezo WA kupanda ndege ,anakera.