Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Swali zuri sana. Huu uwanja utakuwa hauna kazi tena, tutaubadilisha utakuwa wa kuchezea mpira. Kawaida mtu aliyejenga uwanja wa ndege, akishamaliza muda wake wa urais, viwanja vya ndege vyote alivyojenga huwa vinabadilishwa na kuwa viwanja vya mpira!
Hizi ndizo zinaitwa akili za kimaskini. Viwanja vyote vya ndege vinakarabatiwa kwanini huo wa Chato ndio ufe baada ya rais kuondoka?.

Kwani akiondoka rais mahitaji ya viwanja vya ndege yatatoweka?.
 
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli


Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...

1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Nimecheka sana hapo 'kwa ustadi mkubwa'.
 
Hoja kwamba uwanja umejengwa bila kufuata sheria ya manunuzi ina usiasa gani?
Hoja kwamba MAGUFULI alimuita mtengeneza ndege wakakaa chumbani huku amekalia sheria ya manunuzi makalion ina usiasa gani? Sheria zimewekwa ili kudhibiti matendo ya binadam wenye hulka kama MAGUFULI.kwann mnaamini kwamba huwezi kuchukua 10% ya hiyo midubwasha/ mindege?
Kama uwanja umejengwa kimkakati kwann usijengwe Bukoba au mara ambayo ni karibu na mwanza?
Ameshindwa kujibu hoja anawatuma mje mbwabwaje tu hapa unadhani mpo kariakoo sokoni.jibu hoja acha kuweka miswada
Hoja ni kwanini chato? Kwanini sheria ya manunuzi ya umma haijafuatwa?
Kuna upigaji
 
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Tunataka ripoti ya gharama za uendeshaji ndege kabla ya kipindi cha corona.

Zilitokaga mara moja tena zilikuwa leaked, ripoti ni kwamba zilikuwa na hasara nzuri tu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Duhh.... Nimekustukia mzee baba
 
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli


Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...

1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Huko Makambako sasa hivi, petroli zaidi imemwagwa motoni!!
 
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli


Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...

1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?

Ndiyo maana wapambe hawataki atokee kwenye midahalo. Kumbe tatizo ni kuwa ana ufundi mkubwa wa kupangua hoja kuliko kaseja!
 
Nadhani kila mvuta kamba huivutia kwake, hivyo ubinafsi ni silka ya wanadamu wote.
faida ya kununua ndege itachukua muda mrefu kupata faida, tena na hii corona ndo kabisaa hasara inaongezeka
Magufuli sio rais wa Kwanza. Tuambie mwingine aliyevutia kwake kwa mtindo huu
 
Mheshimiwa lakini mchezo wa siasa hauhitaji hasira! Tena Mheshimiwa lissu ameshaomba open meeting ya mdahalo, sasa kama kweli ccm ina hoja za kujenga uwanja huo wa kimataifa kwa ajili ya kuhudumia ndege moja ya rais ambvaye baada ya miaka 5 anaiacha ikulu, haya toka mje mtufafanulie! hoja na ijibiwe kwa hoja!

Na hapa ieleweke vema, shida sio kujenga uwanja chato, bali shida ni aina ya uwanja na gharama zilizotumika ukilinganisha uwekezaji wake au return of the project (Profit Analysis).

Kama anajijua akiondoka hakuna ndege itatua huko kwa nini kaupeleka ujengwe huko? Huyu hana mpango wa kung’atuka. Kashajiwekea uwanja wake wa mpaka kifo, midege ya serikali iwe inatua huko.

Bashiru anajitahidi kumuelewesha kiaina mara kwa mara juu ya ukomo wa Urais ila wanampigia mbuzi gitaa. Jamaa yao hawatamuweza akirudi tena kwenye hii ngwee inayofata. Wakina Bashiru na wenzie wanatakiwa wajiandae kumtoa tu sasa hivi, la sivyo nchi itaingia kwenye ukurasa mbaya sana zaidi ya hapa.
 
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Hoja si kujenga uwanja bali faidi ya huo uwanja maana ata Mabotu alifanya aya aya.
 
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Hoja si kujenga uwanja bali faidi ya huo uwanja maana ata Mabotu alifanya aya aya.
 
Back
Top Bottom