Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Hujielewi we we ata kidogooo. Mwl. Nyerere aliponunua ndege kipindi hicho watanzania walikuwa wanauwezo wa kupanda wotee??Vyote vimejengwa huko kwa sababu la uhitaji wa huko.Je Wana Chato ambao wanaomudu kupanda ndege hata watano awafiki je uwanja Ni muhimu kuliko schemes za umwagiliaji,vyuo vya ufundi na maendeleo, maghala ya mazao, viwanda vya mifugo,uvuvi na mazao ya kilimo?
Thus akupitisha bungeni kuogopa kupingwa,
Mimi nasubiri akienda Geita kama Lissu atauliza swali hilo!Ajibu swali. Hiyo ndege ya Chato huwa inambeba Nani!? Zaidi ya Magufuli, M7 na Uhuru, hatujaona ndege nyingine ikitelemsha abiria Charo International Airport.
Magu tayari anamaadui wengi, na hajui biashara.KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
KWAHYO HUO UWANJA HAKUNA MTANZANIA WALA NDEGE YOYOTE ITAKAYO RUKA HAPO?Hoja si kujenga uwanja bali faidi ya huo uwanja maana ata Mabotu alifanya aya aya.
Mtafute Mkurugenzi wa atcl atakupa figures.
Sekta ya anga inachagiza ukuaji wa sekta nyingine, yenyewe unaweza usiione faida yake leo au kesho lakini fuatilia zile sekta nyingine zinazozaliwa na kukua kupitia sekta ya anga utagundua ni nyingi.
Kwani umehapata mapato na matumizi ya uwanja huo mpaka uulizie faida na hasaraa??Swali ni kuna faida ipi kujenga uwanja Chato? Atuambie baada ya kuwekeza karibu Bil 40, umeingiza faida zipi kwa taifa?
Chato wenyewe hawazitaki hizo ndege. Wale masikini wa Chato hizo ndege wanapanda kwenda wapi?Mimi nasubiri akienda Geita kama Lissu atauliza swali hilo!
HUNAHISTORIA YA RAIS MOBUTU WEWE KAA KIMYAAAA.Hoja si kujenga uwanja bali faidi ya huo uwanja maana ata Mabotu alifanya aya aya.
Magu tayari anamaadui wengi, na hajui biashara.
Kwahiyo anajijenga kiuchumi hivo kwa mabilioni ya watanzania, kwa kujenga vitu na kujipa madaraka navyo binafsi.
[/QUOTE
KWANI HUU UWANJA NI MALI YA MAGUFULI??
JIBUNI HILO SWALII
Hawa wenyewe wanaomkosoa leo ilikuwa ni ajenda yao, hawakuwahi kuwaza ka.a itawezekana kutekelezwa. Sasa kimekuja chuma na kutekeleza sera hiyo imeisha imekuwa lawama tenaSio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Tena umevurugwa haswaaaa, umesikia huyu nae leo anavyopotosha eti uwanja wa ndege wa Mpanda ni malisho ya mbuziHUNA HISTORIA YA
HUNAHISTORIA YA RAIS MOBUTU WEWE KAA KIMYAAAA.
MOBUTU ALITUMIA FEDHA YA UMA KWAKUJENGA MIRADI NA MALI ZAKE BINAFSI.
JEE UMESIKIA UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULI??
UPINZANI MUMEVURUGWAA
..I am not generalizing that we do not need a national carrier.
..We managed to increase the number of tourists visiting our country without having a national carrier.
..You said we need it for national pride, I suggested we better thrive in seeking national pride from crops, goods, arts, etc which are produced within our country, by our own ppl.
..There is no pride in owning 15 or 30 airplanes while there are countries that are buying 150 planes at a go. And can atcl really compete in a market that is so saturated and dominated by big players such as Emirates, Qatar, Turkey, etc ?
Ukipata akili ukatoka kwa shemeji hapo utaelewa.KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Kwani hizo sehemu nyingine anakwendaje? Na kuna kura kibao atapata wewe unafikiri watu wote wa kanda hiyo hawajitambui kama wewe?Huyu Lisu tunamsubiri ataenda kuombaje kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla
Spana za Lissu siyo za kitotoKapaniki
Mdahalo wagombea wasachiwe wasiingie na silaha.Mheshimiwa lakini mchezo wa siasa hauhitaji hasira! Tena Mheshimiwa lissu ameshaomba open meeting ya mdahalo, sasa kama kweli ccm ina hoja za kujenga uwanja huo wa kimataifa kwa ajili ya kuhudumia ndege moja ya rais ambvaye baada ya miaka 5 anaiacha ikulu, haya toka mje mtufafanulie! hoja na ijibiwe kwa hoja!
Na hapa ieleweke vema, shida sio kujenga uwanja chato, bali shida ni aina ya uwanja na gharama zilizotumika ukilinganisha uwekezaji wake au return of the project (Profit Analysis).
Havikuwa vipaumbele vya watz,mbona wakoloni awakununua ndege Kama zilikuwa Ni muhimuHujie
Hujielewi we we ata kidogooo. Mwl. Nyerere aliponunua ndege kipindi hicho watanzania walikuwa wanauwezo wa kupanda wotee??
Nasikia mmiliki Ni mmoja na wa Ile ijengayo kimara roadMayanga construction kampuni ya mkuu