Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Bora umenijibu kistaarabu pamoja na msimamo wako, Ila hii issue ya ndege Mimi itachukua muda mrefu kuniingia.
 
Mfalme alikuwa akipita barabarani,mtu mmoja akamyooshea kidole asiseme kitu,mwingine akamwambia mfalme hujafunga zipu,je kati yao nani ana makosa
 
Jamaa anapenda ndege! Hebu afanye utafiti ni watanzania wangapi Wana uwezo WA kupanda ndege ,anakera.
Hivi ni ujinga au mazoea mabaya kusema ndege hazina wapandaji,tatizo hamna akili kama taifa tunaitaji ndege na viwanja kila wilaya ili use usafiri wa kawaida tu kwa wananchi MTU achague mwenyewe ahende kwa ndege,gari,meli au treni hayo maujinga ya kuamini kuwa ndege ni anasa ukome huko huko kwa uyo alirudi kutoka Belgium kwa pikipiki.
 
Bora umenijibu kistaarabu pamoja na msimamo wako, Ila hii issue ya ndege Mimi itachukua muda mrefu kuniingia.
Msimamo wangu hakuna anaeujua maana ni siri,,jpm alijitahidi kutaka kuridhisha watu,,mnakumbuka hata IGP siro,wanajf walipendekeza tangu kipindi cha mwema?,
Ndaluchako nae,kilikuwa kilio cha wanajf,awe waziri wa elimu,
Jpm ni rais msikivu sana ukimwendea vizuri.
 
Hivi ni ujinga au mazoea mabaya kusema ndege hazina wapandaji,tatizo hamna akili kama taifa tunaitaji ndege na viwanja kila wilaya ili use usafiri wa kawaida tu kwa wananchi MTU achague mwenyewe ahende kwa ndege,gari,meli au treni hayo maujinga ya kuamini kuwa ndege ni anasa ukome huko huko kwa uyo alirudi kutoka Belgium kwa pikipiki.
Nakutafadhalisha usinikoti halafu ukanitukana.
 
Hivi ni ujinga au mazoea mabaya kusema ndege hazina wapandaji,tatizo hamna akili kama taifa tunaitaji ndege na viwanja kila wilaya ili use usafiri wa kawaida tu kwa wananchi MTU achague mwenyewe ahende kwa ndege,gari,meli au treni hayo maujinga ya kuamini kuwa ndege ni anasa ukome huko huko kwa uyo alirudi kutoka Belgium kwa pikipiki.
We umepanda ndege lini,nauli ya basi tu kwenda kwenu kijijini inakushinda,biashara ya ndege awaachie mashirika binafsi ,serikali ijenge viwanja tu
 
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Corona imekuwa scapegoat sasa, na imekuja wakati muafaka kwani tutaibebesha lawama kushindwa kwa ATCL hata kama ingeshindwa bila corona
 
Anatakiwa kujibu hoja :
  1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
  2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
  3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
  4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
  5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
  6. Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
  7. Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
  8. Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.

  1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
Tafadhali Magu jibu ama sivyo unatapanya fedha zetu hovyo---
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
Haki ya Mungu tukikosa jibu hapa utuambie kwa nini tusikukamate ufisadi----
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
Jibu tafadhali tuweze kuelekeza kampeni kwenye mambo mengine na siyo kwa mpiga vita ufisadi aliye amua kufanya ufisadi
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
Hili ulijibu wewe mpiga pushup mbabe!
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
6. Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?

Mwita Kagame akujibie hili.
7. Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
Utapanye mahela yetu hovyo halafu ukiulizwa ufoke thubutu!!! kipindi kichinjio kiko shingoni
  1. Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.
Hatujali na hatutishiki kama Mtu kauawa kwa kuhoji vyeti tu sembuse haya madudu?
Tunaihitaji vote 20 na mmiliki wa Mayanga construction aje hapa tusemezane
 
ATCL ina madeni mengi sana. Kama ndege zingeinyizwa huko lazima zingechukuliwa na wadai. Airline nyingi zina hasara. Ina maana sababu ya hasara ndio hatuhitaji ndege?
Kwani tusingekuwa na ATCL tungekosa huduma ya ndege? wakati mwingine si lazima umiliki chombo chausafiri ili uweze kutumia huduma zake
 
Hivi kuna mtu anajua babu yake huyu jamaa yupo wapi au kama bahati mbaya alifariki alizikwa wapi??
namaanisha kizazi chake cha 3-4 tuverifai uraia wake
Babu yake kazikwa kalebezo mbele kidogo ya nyehunge
 
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja

Atcl haijaanza wakati wa corona....

Muhimu MWANA KIDUMU tuonyeshe ripoti ya ukaguzi wa mashirika ya umma ikionyesha ATCL kukaguliwa. Kukagua ATCL ni sawa na kupiga nyuklia marekani, yasije onekana the darkness side ya Awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom