Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Du! Rwanda air,Kenya air,Qatar air,egpty air,Ethiopia air hizo za sekta binafsi ,nakushauri uwe unaperuzi kupata taarifa kwa kina duniani kote mashirika muhimu umilikiwa na serikali ili kuepusha tabia za wafanyabiashara kuhujumu,mfano:hapa Tanzania tulihujumiwa kwenye umeme baada ya magu kuingia mgao hamna tena,sukari pia magu kampa bahresa ardhi ajenge kiwanda kikubwa na kingine kinajengwa na huko huko,mambo mengi ukiachia kila kitu sekta binafsi hipo siku watawahujumu ikizingatiwa kuwa makampuni hayo yote ya wazungu ni rahisi sana kutuhujumu,ndio maana uchaguzi wa mwaka huu husikii maelekezo ya wazungu kwa sababu umegharamiwa na serikali 100% ,sasa endeleeni kumuunga mkono huyo lisu anampango kila kitu kiwe kinafanywa na wazungu mtatawaliwa kwa Mara ya pili.
Heri kutawaliwa Mara ya pili kwa maisha Bora kuliko kutawaliwa na mkoloni mweusi ndani ya dhiki kuu
 
Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege

..Na wakati huo ccm ilikuwa inapinga ununuzi wa ndege.

..na wananchi waliwachagua ccm kwasababu waliona ndege siyo hitaji lao.

..sasa kwanini ccm walienda kununua madubwasha[midege] ambayo wananchi walishaonyesha kwamba hawana haja nayo?

..ukiona serikali inanua kitu ambacho wananchi hawana haja nacho ujue hapo kuna UPIGAJI.
 
Hatuna shida na ndege tuna shida na haya

  1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
  2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
  3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
  4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
  5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
  6. Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
  7. Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
  8. Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.
ukipata majibu nitag nikuje faster
 
Du! Rwanda air,Kenya air,Qatar air,egpty air,Ethiopia air hizo za sekta binafsi ,nakushauri uwe unaperuzi kupata taarifa kwa kina duniani kote mashirika muhimu umilikiwa na serikali ili kuepusha tabia za wafanyabiashara kuhujumu,mfano:hapa Tanzania tulihujumiwa kwenye umeme baada ya magu kuingia mgao hamna tena,sukari pia magu kampa bahresa ardhi ajenge kiwanda kikubwa na kingine kinajengwa na huko huko,mambo mengi ukiachia kila kitu sekta binafsi hipo siku watawahujumu ikizingatiwa kuwa makampuni hayo yote ya wazungu ni rahisi sana kutuhujumu,ndio maana uchaguzi wa mwaka huu husikii maelekezo yha wazungu kwa sababu umegharamiwa na serikali 100% ,sasa endeleeni kumuunga mkono huyo lisu anampango kila kitu kiwe kinafanywa na wazungu mtatawaliwa kwa Mara ya pili.
Nani kakwambia lissu katumwa na wazungu,hayo mashirika ulotaja yanapata ruzuku toka serikalini.ni mzigo kuyaendesha.
 
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Mnasema Tanzania haina Corona, lakini mnasema inaathiri ndege zenu, si mzirushe humuhumu ambamo hamna Corona na wateja ni wengi hadi Chato ndege ikienda inajaza abiria?
 
Anatakiwa kujibu hoja :
  1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
  2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
  3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
  4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
  5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
  6. Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
  7. Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
  8. Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.
Good point
 

Attachments

  • Screenshot_20200914-153810.png
    Screenshot_20200914-153810.png
    20.3 KB · Views: 1
..Na wakati huo ccm ilikuwa inapinga ununuzi wa ndege.

..na wananchi waliwachagua ccm kwasababu waliona ndege siyo hitaji lao.

..sasa kwanini ccm walienda kununua madubwasha[midege] ambayo wananchi walishaonyesha kwamba hawana haja nayo?

..ukiona serikali inanua kitu ambacho wananchi hawana haja nacho ujue hapo kuna UPIGAJI.
Ccm haikuwa inapinga ununuaji ndege,,sema pengine haikuwa priority...then wapinzani wimbo wa kufa ATCL ndo ukawa wimbo,,
Hii pia sio ishu,,,pale shirika litakapochemsha ndo itakuwa ishu ya kujadili
 
Sasa unataka rais akitaka kutua kwao anatua vipi?,uwanja wa ndege ni muundo mbinu tu,wala nchi haitafiriska eti sababu ya huo uwanja,,mbona viwanja vipo vingi tu,
Huu uwanja sio big ishu kivile..
So raisi Ni muhimu kuliko wananchi,thus kuendelea Ni ndoto, wenzetu Wana maendeleo sababu rais Ni mtumishi wa wananchi na sio mungu mtu.

Kama unadhibiti upotevu wa mapato kwa kuzuia mianya then unazidump fedha pasipotija Kuna tofauti gani na upotevu wa mapato.
 
Ccm haikuwa inapinga ununuaji ndege,,sema pengine haikuwa priority...then wapinzani wimbo wa kufa ATCL ndo ukawa wimbo,,
Hii pia sio ishu,,,pale shirika litakapochemsha ndo itakuwa ishu ya kujadili
Hata likichemsha upinzani ndo watatupiwa lawama
 
Anatakiwa kujibu hoja :
  1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
  2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
  3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
  4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
  5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
  6. Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
  7. Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
  8. Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.
Kimsingi wanaccm tu hawataki kusikia hii takataka ya Magufuli..... Ndio maana ya hii sombasomba
 
Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Yaani una invest $500mil kama mtaji kwny biashara then ndipo unaanza kutengeneza business Plan sio?

Maamuzi ya 'busara' sana haya.
Screenshot_2020-09-14-15-43-32-1.jpg
 
Hata akistaafu hakuna tofauti ya kwenda nao kaburin
 
View attachment 1569556

View attachment 1569600

Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...

1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Sijaona hoja yoyote aliyopanua hapo by the way
 
Mheshimiwa lakini mchezo wa siasa hauhitaji hasira! Tena Mheshimiwa lissu ameshaomba open meeting ya mdahalo, sasa kama kweli ccm ina hoja za kujenga uwanja huo wa kimataifa kwa ajili ya kuhudumia ndege moja ya rais ambvaye baada ya miaka 5 anaiacha ikulu, haya toka mje mtufafanulie! hoja na ijibiwe kwa hoja!

Na hapa ieleweke vema, shida sio kujenga uwanja chato, bali shida ni aina ya uwanja na gharama zilizotumika ukilinganisha uwekezaji wake au return of the project (Profit Analysis).
Lissu hana hadhi ya kufanya mdahalo na Mh, Rais wetu, Lissu mnamkuza mitandaoni, Hana hadhi, ropo ropo atapata wapi hadhi ya kupewa mdahalo na Mh. Rais wetu, Midahalo afanye Mitandaoni.
 
Majibu rahisi kwa maswali magumu. Anyway he tried.

Wala haja jaribu Mkuu ,tuna fahamu Mtu anapo fariki haondoki na chochote lakini atujibu tu Maatokeo (Faida) ya kujenga Uwanja wa kisasa porini pasipokuwa na Mahitaji wala Biashara ni ipi !!?

Asitufokee na asikasirike ,tunayo haki ya kumhoji Sababu Pesa yote iliyo fanikisha hayo imetoka Mifukoni mwa wavuja jasho wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom