Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Yaani huyu mzee IQ yake ndogo sana! Hoja hizo huwezi kujibu kama mtoto wa darasa la 2 C! Haiwezekani! Baada ya Urais wake ndege gani itaenda kutua hapo? Tukatae tukubali uwanja ule ni white elephant ya mwaka 2026 na kuendelea!
 
Hoja ni kwamba kama ushirika linafanya vizuri kwanini ameenda kulificha kwenye vote ambayo haikaguliwi na CAG?
Biashara huenda ikipick momentum,,ni suala la mda tu,baadae italipa tu
 
Babu yake kazikwa kalebezo mbele kidogo ya nyehunge
Tunajua historia ya huyo bwana,acha uongo hayo maeneo nayafahamu vzr. Basi tuambie babu yake mzaa Nani kazikwa pale kalebezo?. Unaposema mbele ya Nyehunge unamaanisha kutokea wapi? Yale makaburi ya katoma nzela ni ya Nani? Nenda chato uliza wazee wanajua alikuja kashikwa mkono na Nani pale.
 
Mkuu ,hivi leo unapotaka kufanya Biashara ya kubwa utaenda kuwekeza Sehemu ambayo kwa hatua za awali unakuwa umesha lamba hasara !!?.

Yani una Mtaji unaenda kufungua Mall Vijijini huko na ukatarajia Faida !!?
KWANI KUNAHASARA GANI ZIMEONEKANA?

UWANJA HAUFANYI KAZI??
 
Rais anaamua kwa niaba ya wananchi,,sasa ikifika kila kitu kikitaka kununuliwa sharti tuulize wananchi mbona itakuwa michosho sana?
Kumbe na weye ni mmoja wa ma Rais? Hivi mko wangapi huko lumumba?
 
Biashara huenda ikipick momentum,,ni suala la mda tu,baadae italipa tu

Ni kwa nini ufanye Biashara ya kunufaika baadae wakati ulikuwa na option ya kuchagua njia sahihi na ukizingatia sisi ni Masikini tunaotaka kuyakimbilia maendeleo !?
 
Baba au BABU??
Katupigie picha utuletee
Picha ya kaburi? Yapo
Yaani huyu mzee IQ yake ndogo sana! Hoja hizo huwezi kujibu kama mtoto wa darasa la 2 C! Haiwezekani! Baada ya Urais wake ndege gani itaenda kutua hapo? Tukatae tukubali uwanja ule ni white elephant ya mwaka 2026 na kuendelea!

mengi tu na la bibi yake kizaa baba lipo
Tunajua historia ya huyo bwana,acha uongo hayo maeneo nayafahamu vzr. Basi tuambie babu yake mzaa Nani kazikwa pale kalebezo?. Unaposema mbele ya Nyehunge unamaanisha kutokea wapi? Yale makaburi ya katoma nzela ni ya Nani? Nenda chato uliza wazee wanajua alikuja kashikwa mkono na Nani pale.
Wewe tuhabarishe unaemjua zaidi
 
Wajitoa fahamu?
Orodhesha mwenyewe taratibu zote zinazotakiwa halafu anza kutiki mojamoja ndio utajua kwa nini anajifanya kupandisha hasira.
NYINYI CHADOMO NDO MKO BIZE KUKOSOA UJENZI WA UWANJA CHATO.
KWANI KUNASHIDA GANI??
TAJENI SHIDA ZOZOTE ZA UJENZI WA UWANJA CHATO
 
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??

Hiki siokiwanda cha kwanza cha ndege kujengwa nchini.Lakini ni cha kwanza kulalamikiwakwakuwa hakina tija.
 
Inatakiwa JIWE ndio aseme, sio nyie wa nyuma ya keyboard
Mbona pia nyie mlio nyuma ya Keyboard ndio mnaotaka mdahalo wa Lissu na Mh. Rais wetu!
Mnamsemea mtu wenu sie tukimsemea Rais wetu nongwa.
 
Mbona pia nyie mlio nyuma ya Keyboard ndio mnaotaka mdahalo wa Lissu na Mh. Rais wetu!
Mnamsemea mtu wenu sie tukimsemea Rais wetu nongwa.
Lissu ndio kambo mdahaalo, kupitia kipindi cha dkk 45 cha ITV pamoja na interview na Dotto Bulendu
 
Ni kwa nini ufanye Biashara ya kunufaika baadae wakati ulikuwa na option ya kuchagua njia sahihi na ukizingatia sisi ni Masikini tunaotaka kuyakimbilia maendeleo !?
Kuna mwaka china walijenga miji,mfano wa ile plan ya new kigamboni,wakaweka maskyscraper ya hatari,,nyumba zilimaliza miaka 10 hazina wapangaji,,wazungu wakaanza kuwacheka wachini eti wamejenga ghost cities,,
Leo hii,china imehamisha wachini karibu milioni 200 kwenye hiyo miji,waliona long term kutakuwa na tatizo la makazi,waka address ishu kabla ya tatizo
 
Hiki siokiwanda cha kwanza cha ndege kujengwa nchini.Lakini ni cha kwanza kulalamikiwakwakuwa hakina tija.
Kwa akili zenu hakina tija kwa kuwa kimejengwa anakotoka Mh Rais, kwetu kumejengwa uwanja na ndege zinatua mara 3 kwa mwaka na hamjawahi kukizungumzia,Ila hiki cha Chato ndio mnakiongelea saaana.
 
Nadhani kila mvuta kamba huivutia kwake, hivyo ubinafsi ni silka ya wanadamu wote.
faida ya kununua ndege itachukua muda mrefu kupata faida, tena na hii corona ndo kabisaa hasara inaongezeka

Huyo havuti kamba anavuta bangi
 
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli


Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...

1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Lissu kamatia hapo hapo mtu keshameza ndoano😀
 
Back
Top Bottom