Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then upigwe kwa kiinglishiMdahalo wagombea wasachiwe wasiingie na silaha.
Kisha wawekewe uzio wasiweze kukutana kwa namna yeyote ile.
Toa sababu kamanda mwenye high Iq huku gwanda lako linanuka mavi.Low IQ.. hata kama ninkada maelezo yako yapo chini sana.. beyong low IQ
Wapinzani siokilakitu mpingeeeeTena umevurugwa haswaaaa, umesikia huyu nae leo anavyopotosha eti uwanja wa ndege wa Mpanda ni malisho ya mbuziView attachment 1569859
Watu wanataka kujua kama kuna faida itapatikana kutokea Chato. Je watu wangapi wanapanda hizo ndege kwenda na kurudi Chato? Chato kuna nini kiasi cha kuhitaji ndege? Je hakuna mikoa ya karibu na Chato yenye airport wakashirikiana? Ninachojua Chato imesikika zaidi baada ya mzee kuwa prezdaa nje ya hapo ni wakulima na wafugaji tu wamejazana kule ambao kihalisia hawana uwezo wa kupanda ✈️ndege. Bora ingejengwa huko 🚆 train!KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Mbona hamueleweki kwahyo wakoloni walikua sahihi?Havikuwa vipaumbele vya watz,mbona wakoloni awakununua ndege Kama zilikuwa Ni muhimu
Huyu jamaa anahasira sana, sipati picha alivyokuwa mwalimu, wanafunzi walipata shida sana.
I think we could strengthen domestic routes and airports. We could also work to open transportation with our neighbouring countries for tourism and other business ventures.
But letting private companies own the sky is a suicide mission.
KWAHYO HUO UWANJA HAKUNA MTANZANIA WALA NDEGE YOYOTE ITAKAYO RUKA HAPO?
INAMAANA HAKUNA WAFANYABIASHARA WENYE UWEZO AU WAGONJWA WENYE UHITAJI WA HARAKA KWA KUTUMIA UWANJA HUO??
SHIIIDA KWELI KWELIII.
muwe mnafanya tafiti,sasa hata hao wana Chato wenyewe hilo ni hitaji lao? Ili wafanyie nini hasa. Ingekuwa maji barabara hapo sawa. Geita ndiyo kabisaa,wakiambiwa huo uwanja walistahili wajengewe wao itaelewekaMimi nasubiri akienda Geita kama Lissu atauliza swali hilo!
Mkuu zipo sekta nyingi tu. Kama unaamini katika kupika data hata ukipewa data utaona unadanganywa.Hakuna taasisi ya umma isiyopika data sasa hivi ili kuhadaa umma. The same applies to TTCL CEO. Hebu nitaje sekta ambayo ina ukuaji wa dhahiri uliotokana na hizo ndege.
Mara 100 kuliko nyie,ajira zilikuwapo,huduma Bora za afya na elimuMbona hamueleweki kwahyo wakoloni walikua sahihi?
Huuu upinzani ni janga la taifa kwelikweli
Kwani mbona umeshadadia kujua faida ya uwanja wa chato, mbona viwanja vya ndege vinajengwa karibia kila mkoa na wilaya zake, jeeee unatakwimu za mapato na matumizi ya hivyo viwanja ukaona vinaendeshwa kwa faida mpaka uone uwanja wa chato unaendeshwa kwa hasara??Watu wanataka kujua kama kuna faida itapatikana kutokea Chato. Je watu wangapi wanapanda hizo ndege kwenda na kurudi Chato? Chato kuna nini kiasi cha kuhitaji ndege? Je hakuna mikoa ya karibu na Chato yenye airport wakashirikiana? Ninachojua Chato imesikika zaidi baada ya mzee kuwa prezdaa nje ya hapo ni wakulima na wafugaji tu wamejazana kule ambao kihalisia hawana uwezo wa kupanda ✈️ndege. Bora ingejengwa huko 🚆 train!
AHAAAAAA, KUMBE SHIDA YAKO NI AJIRAA??Mara 100 kuliko nyie,ajira zilikuwapo,huduma Bora za afya na elimu
Shibe ndo kila kitu,mliwasomesha namba watz zamu yenu kuisoma OctoberAHAAAAAA, KUMBE SHIDA YAKO NI AJIRAA??
SASA MBONA UNAZUNGUUUKA SAANA.
LETA MAADA YA AJIRA TUJADILI.
NITAKUELEWESHA MIMI HAPA, NDO KIONGOZI MKUU 2020.
SAWA DADA ANGUUU??
HUJASIKIA DARAJA LINALOITWA DARAJA LA MKAPA???Nyerere,Mwinyi, Mkapa na JK wote walikuwa marais wa nchi hii, mbona huko makwao hamna viwanja vya ndege, au Magufuli ndio anatokea kwenye watanzania sana?
Mjerumani amekaa miaka michache kuliko aliyokaa ccm na amefanya makubwa Sana nchi hiiAHAAAAAA, KUMBE SHIDA YAKO NI AJIRAA??
SASA MBONA UNAZUNGUUUKA SAANA.
LETA MAADA YA AJIRA TUJADILI.
NITAKUELEWESHA MIMI HAPA, NDO KIONGOZI MKUU 2020.
SAWA DADA ANGUUU??
Hakuna lolote..!! Sijaona kapanguaje hoja hiyo..!"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?