issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Kwahiyo uwanja mkubwa kama ule uliyo haribu ma bilioni ya walipa kodi wakiwemo mama ntilie wamachinga nk unatua ndege mojatu kwa mwaka tena crismas na pasaka kwahiyo nihasara tu ujue hakuna kinachoingia na kafanya kila anaekuja kuwa rais ajenge uwanja wa ndege kwaoKWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app