Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

Mwaka ambao unaosema nyerere hakujenga kiwanja kwao,je? nchi ilikuwa ina uchumi kiasi gani? Nchi ilikuwa na ndege ngapi,je barabara ziliunganisha mikoa mingapi,je idadi ya watu ilikuwa ngapi, kipato cha mtu mmoja mmoja kilikuwaje,hivyo husiturudishe zamani mifano haiendani ,sisi ni nchi ya uchumi wa kati,tumeonganisha mikoa yote kwa lami sasa tunamalizia wilaya kwa wilaya,umeme kila kijiji kila nyumba,hospitality kila wilaya,vitui vya afya kila kata, zahanati kila kijiji,viwanja vya ndege vya kimataifa kila kanda,vya kitaifa kila wilaya hayo ndio makusudio yetu tunataka ndege iwe si anasa na itumike kama bajaji tu.
Nilitumia mfano wa Nyerere kumjibu mwenzako aliyetaka kumfananisha Nyerere na huyu kapuku.
Kiufupi Nyerere hakuwa na roho ya ubinafsi kama huyu mhutu
 
Kigezo cha uwekezaji ni mahitaji. Huwezi tu kujenga tu uwanja wa ndege bila kufanya uchambuzi wa mahitaji. Kama mahitaji ya uwanja wa ndege yapo, utumike. Ndio maana nauliza, ukiachana na ndege za kumpeleka Magufuli kupumzika kijijini kwao, na viongozi kadhaa waliokuja kumtembelea huko, ni ndege gani za abiria zimepeleka watu huko?

Kwa ufupi, ukiachana na Raisi na viongozi wengine, uwanja wa Chato umehudumia abiria wangapi mpaka sasa hivi?
Kwani watu wa geita umewadhalau hawana uhitaji wa usafiri wa ndege??
 
Ndege sio kama gari na ujue tu kwamba kinachotupigisha kelele sio uwanja Bali ni ushamba tu,kwani wilayani kwenu hakuna kiwanja cha ndege ,si fanyeni mpango muweke lami,maana hapa hoja ni lami tu,hakuna kingine viwanja kila wilaya wanavyo tatizo ni lami kilomita tatu, lami inawatoa roho.
Hata Dictator Mobutu alijenga li uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake
 
Magufuli hata aseme nini lkn ukweli unabaki pale pale kuwa hana hoja yoyote ya kuutetea huo ufisadi aliyofanya kwa kujenga uwanja wa ndege Chato.

Ndio maana tunataka katiba mpya ili watu kama hawa waweze kuwajibishwa kwa huu utumiaji mbaya wa madaraka. Haiwezekani mtu kama huyu anastaafu halafu tena anaenda kula kodi za wananchi ambao muda wote akiwa madarakani ametumika kuwadhulumu mali zao.

Kihaki hastahili kabisa kupewa tena ridhaa ya kuongoza nchi hii.
 
Huyu ndio Dkt Magufuli mgombea wa Chama cha Mapinduzi na kipenzi cha Watanzania wa rika zote.
2020 ni zamu yake tena bado Watanzania tuna IMANI kubwa na yeye.
Tijitokeze kwa wingi kupiga kura kwa CCM na Dkt Magufuli amefanya mengi makubwa.
chargsg.JPG
 
Hata Dictator Mobutu alijenga li uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake mbwa we
Ule uwanja alioujenga Mobutu ulikuwa wa uma wawakongomaniii???

Ule uwanja alioujenga Mobutu ulikuwa Mali yakwake binafsi, na ndiomaana ukaitwa uwanja wa Mobutu.

Swali ni kwamba, huo uwanja wa chato ni mali ya mtu??
 
Kila mtu anahitaji usafiri wa Ndege, hata Morogoro wanahitaji, hiyo sio hoja ya kufanya uwekezaji wa Bil 40
Kwahiyo shida yenu kumbe ni wivu tuuu unaowasumbua kwa kuwa uwanja umejengwa mkoani geita.

Kwani morogoro hawana uwanja wa ndege ata mumojaa??
 
Acha nongwa za kibaguzi mkuu. Viwanja 11 vya ndege vinajenga, vinakarabatiwa na kupanuliwa nchi nzima Ndio maana nimekwambia Chato sio Burundi.

KIA upo uwanja na Arusha upo ina maana viwanja vile kuwepo ni sawa lakini uwanja wa Chato kuwepo sio sawa!!.

Acheni akili za kibaguzi, acheni dharau za kipuuzi. Ina maana watakaokuja kuzaliwa Chato miaka ijayo watakuwa hawana hadhi ya kupanda ndege.
Marais wote waliotangulia walikosea kutojenga viwanja vijijini walikozaliwa!Wajao wote waige kwa JPM,wajenge walikozaliwa ilimradi ni Tanzania!Hebu niambie,ni eneo gani nchini kinajengwa kiwanja ambapo kimazingira ni kama chato?Hivyo viwanja vinavyojengwa na kupanuliwa ni mijini kama Dodoma,Mwanza,Mbeya,Tanga nk!
 
Kwani kigezo cha kujenga uwanja wa ndege, nikusajiri kampuni ya usafirishaji Kwanzaa?
Kigezo cha kujenga kiwanja cha ndege kama cha chato Ni kujua mahitaji ya usafiri wa ndege kwanza.
Kufahamu kiasi na aina ya mizigo itakayokuwa inasafirishwa kupitia kiwanja hicho.
Kufahamu idadi ya abiria watakao safiri kupitia uwanjani hapo
Huwezi kukurupuka na kujenga liuwanja la ndege kama la Chato bila kuwa na takwimu hizo kwanza
Ndio maaana tunasema Hilo li white elephant litakuwa kama Lile alilojenga Dictator mwenzake Mobutu huko kijijini kwake
 
Kwahiyo shida yenu kumbe ni wivu tuuu unaowasumbua kwa kuwa uwanja umejengwa mkoani geita.

Kwani morogoro hawana uwanja wa ndege ata mumojaa??
Sema umejengwa kijijini chato alikozaliwa Rais!Nchini hakuna sehemu nyingine unajengwa uwanja penye hadhi kama ya chato!
Mji wa kibiashara kama Kahama,hakuna uwanja!Mpaka watu washukie mwanza halafu wasafiri masaa 5 kwenda kahama!
Huko Chato kunajengwa hospitali kubwa ya rufaa ya kuhudumia kanda,kweli?
Chato Kumejengwa bandari kubwa,sijui kuna mizigo gani wanataka kupakia na kushusha!!!!
Hata mwenye akili anaona huo ni umobutu seseko!
 
Ule uwanja alioujenga Mobutu ulikuwa wa uma wawakongomaniii???

Ule uwanja alioujenga Mobutu ulikuwa Mali yakwake binafsi, na ndiomaana ukaitwa uwanja wa Mobutu.

Swali ni kwamba, huo uwanja wa chato ni mali ya mtu??
Ule uwanja ulikuwa mali ya umma kama huu uliojengwa Chato ndio maaana sasahivi Ni kambi ya jeshi
 
Longo longo kibao.Ujenzi wa uwanja wa Chato ni matumizi mabaya ya madaraka ambayo utayakuta Afrika pekee yake.Mabara mengine huu upuuzi walishasahau tangu karne ya 20.
Tanzania ndipo sehemu pekee Rais anaweza kuchukua pesa Hazina pasipo idhini ya bunge
 
Marais wote waliotangulia walikosea kutojenga viwanja vijijini walikozaliwa!Wajao wote waige kwa JPM,wajenge walikozaliwa ilimradi ni Tanzania!Hebu niambie,ni eneo gani nchini kinajengwa kiwanja ambapo kimazingira ni kama chato?Hivyo viwanja vinavyojengwa na kupanuliwa ni mijini kama Dodoma,Mwanza,Mbeya,Tanga nk!
Mrema alipeleka mapipa ya lami Moshi, Nani ulimsikia akilalamika miaka ile?.

Msuya akaweka umeme Mwanga miaka ile, Nani ulimsikia akilalamika?.

Tanzania tukiitazama kisiasa na kibaguzi hatutafika popote.

Kumbuka kuna watoto wanaosoma bure sasa kule Chato wakija kuwa watu wazima wenye elimu watautumia uwanja ule.

Kumbuka kuna wasomi wapo udom muda huu miaka michache ijayo wataimarish utalii wa kanda ya ziwa.
Kuna maisha baada ya sisi wa leo hii kuwa tumeshazikwa, ubinafsi hautusaidii.
 
Hata Dictator Mobutu alijenga li uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake
Mabotu aliingia madarakani kwa mapinduzi,alijenga jumba la kifahari huko kijijini kwake ,aliamua kujenga uwanja jilani na jumba hilo,baada ya kupinduliwa watu walikwenda kuvunja na kuiba Mali yote na kuacha ghofu, alafu kipindi hicho hiyo nchi ilikuwa haina shirika la ndege na mpaka Leo haina shirika la ndege na na nchi hiyo imetawaliwa na kuvurugwa na wazungu has a wabelgiji na nchi zinazozunguka na INA vibaraka wengi wanaotumiwa na wazungu ili kuiba rasilimali.

Tofauti na magufuri ambaye ameingia madarakani kwa democrasia,amekuwa waziri wa ujenzi 15 years,amejenga viwanja vya ndege songea, mtwara, kigoma, rukwa, kagera, songwe, katavi, tanga na chato na anampango wa kujenga viwanja kila wilaya tanzania na kuviwekea lami kanunua ndege na ataziongeza,barabara unazoringia hizo nyingi zimejengwa kwa usimamizi wa magufuli, na anaendelea kuijenga ukitafuta MTU aliyeijenga Tanzania uwezi kumuacha magufuli yeye ni babalao.
 
Kigezo cha kujenga kiwanja cha ndege kama cha chato Ni kujua mahitaji ya usafiri wa ndege kwanza.
Kufahamu kiasi na aina ya mizigo itakayokuwa inasafirishwa kupitia kiwanja hicho.
Kufahamu idadi ya abiria watakao safiri kupitia uwanjani hapo
Huwezi kukurupuka na kujenga liuwanja la ndege kama la Chato bila kuwa na takwimu hizo kwanza
Ndio maaana tunasema Hilo li white elephant litakuwa kama Lile alilojenga Dictator mwenzake Mobutu huko kijijini kwake
Kwani umewapima wakazi wa geita hawawezi kusafiri kwa ndege??

RAIA wote ni sawaa.
 
Jamaa anapenda ndege! Hebu afanye utafiti ni watanzania wangapi Wana uwezo wa kupanda ndege ,anakera.
Ni kama unapata baba yako ni mkulima huko gambushi. Akalima kwa shida. Akapata pesa. Asilimia 90% ya pesa akanunua gari.
Ndo unavomaanisha?
 
..unaweza kuingia hasara au gharama ktk jambo la lazima.

..hakukuwa na ulazima wa sisi kubeba mzigo wa hasara na kuanzisha shirika la ndege la umma.

..watalii walikuwa wanaletwa na mashirika ya ndege ya nje bila matatizo yoyote.

..kwa usafiri wa ndani kulikuwa na mashirika ya ndege ya binafsi.

..matrilioni ya fedha tulizotumia kununua midege tungeyaelekeza kwenye sekta nyingine zenye mahitaji na zenye kuajiri watu wengi.
Tulikua na fast jet hapa ambayo ilikua very cheap and efficient kuliko hii ATCL .
 
Back
Top Bottom