Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Acha kuwaza kwa kutumia visiginoIvi mnapata ujasiri wakumsikiliza uyu jamaa kweli nawe kichaaa.
Yaaan wewe unaweza kugongewa mkeo na ukaona kabisa unagongewa lakini mkeo akakwanbia sijagongwa na ukakubali.
Maana akili yako sio akili nimatope
Mtu anasema tuache ubaguzi apo apo anasema msiponiletea mgombea flani sileti maji afu unachekelea tu instead ya kumtemea mate.
Kuna mahali Mh. Lissu amesema wasipoichagua CHADEMA hatapeleka maendeleo?Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!
Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi
Tatizo watu waliuwawa wengi,na ni majuzi tu,na wengine wamedhulumiwa roho zao,Kwa nini?,wengi wameachwa vizuka,tujikumbushe...kusema mchagueni mbunge wa chama changu, msimchague mbunge wa chama kingine, is within the rules.
..sasa mgombea anaposema mkichagua upande wa pili sitaleta miradi ya maendeleo, ni kinyume na sheria, pia ni ubaguzi.
..Kwa bahati mbaya, Magufuli amekuwa akirudiarudia kauli hiyo hata ktk ziara zake za kiserikali. Kwa mfano, kuna sehemu wananchi walimlilia maendeleo, aliposikia wamechagua upande wa pili, akawaambia wasimsumbue wajilaumu wenyewe kwa kuchagua upande wa pili.
Kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Huu ndio ubaguziView attachment 1607735
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
View attachment 1607734
Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
View attachment 1607737
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
View attachment 1607736
Mheshimiwa Rais unapotoa kauli kama hizi za kupinga ubaguzi vitendo vyako viakisi hizo kauli. Tumekusikia kwenye mikutano yako ya kampeni hususan ulipokuwa Bunda kwa Ester Bulaya ukiwaambia wananchi kuwa kwa miaka mitano iliyopita hukuwapelekea maendeleo kwa vile walichagua upinzani. Huu kama di ubaguzi ni nini?View attachment 1607735
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
View attachment 1607734
Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
View attachment 1607737
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
View attachment 1607736
wapumbavu ndo hukataa maswali.maswali ya kipumbavu sitaki
unaweza kuwa na takwimu ya majimbo ya wapinzani na kuonyesha kwa asilimia ngapi hao wabunge wamechangia maendeleo ya majimbo yao ikiwemo kuyatetea na kwa vitendo?Huko kwa wabunge wa ccm kusiko na maendeleo walifunga plasta sehemu gani? Acha kwa wabunge, nenda kwenye jimbo la spika ambaye ndio mkuu wa hilo bunge kibogoyo, ulete level ya maendeleo ya huko. Propaganda mfu sio kwa kizazi hiki. Wabunge wa upinzani sio kondoo wa kufuata itakacho Serikali. Ingetokea wanaweka plasta wakati mjadala wa ujenzi wa madarasa, hospital nk ungekua na hoja.
Huo uduwanzi wa kuunga mkono utashi wa rais, bakini nao ccm maana huwa mnaingia bungeni kwa kutegemea mbeleko ya madaraka yake, na hisani yake na sio kura za wananchi. Imesha hiyo.
Sidhani kama ni kweli maana ukweli unajionyeshaAnayesema tusibaguana yeye ndiyo mbaguzi nambari moja.
Rudi darasani kwanza ukajifunze maana halisi ya ubaguziHili zee likoje lakini? Haliko sawa kichwani hili! Anayeeneza chuki na ubaguzi si ni yeye? Utawaambiaje wananchi kwamba wakichagua upinzani hupeleki miradi? Siyo ubaguzi huo? Atulie hivyo hivyo tumnyoe tarehe 28 Oktoba
Nitarudi endapo tutapata nafasi ya kwenda darasani tukiwa na mamako! Hajakwambia tulikuwa darasa moja?Rudi darasani kwanza ukajifunze maana halisi ya ubaguzi
Tulia tulia dawa ikuingie taratibu, ukitikisika mshipa utavunjika.Nitarudi endapo tutapata nafasi ya kwenda darasani tukiwa na mamako! Hajakwambia tulikuwa darasa moja?
Ndio habagui. Tukio lipi ambalo ameonyesha ubaguzi? twende kwa hojaYeye habagui?
Anapokataa kupeleka maendelo kisa mbunge ni kutoka upinzaniNdio habagui. Tukio lipi ambalo ameonyesha ubaguzi? twende kwa hoja