Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Acha kuwaza kwa kutumia visiginoIvi mnapata ujasiri wakumsikiliza uyu jamaa kweli nawe kichaaa.
Yaaan wewe unaweza kugongewa mkeo na ukaona kabisa unagongewa lakini mkeo akakwanbia sijagongwa na ukakubali.
Maana akili yako sio akili nimatope
Mtu anasema tuache ubaguzi apo apo anasema msiponiletea mgombea flani sileti maji afu unachekelea tu instead ya kumtemea mate.