Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Hivi huyo jamaa akili yake iko sawa!? Sio yeye anayesema atawabagua wale wasiomchagua kwa kuwanyima maendeleo! Huu ukaburu wake apeleke kule nchi jirani alikotokea.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Msiponiletea wabunge wa ccm sitaleta fedha za maendeleo. Alisikika mwalimu mmoja kilabuni.
 
View attachment 1607735

Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

View attachment 1607734

Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

View attachment 1607737

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

View attachment 1607736
Kipenzi chetu watanzania, mtetezi wa wanyonge, mzalendo namba moja, kiboko ya corona🔥🔥🔥🔥
Rais wa karne🏆🇹🇿🏅
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Hakika anashangaza sana huyu mzee, Jiwe ni mbaguzi nambari moja hapa nchini!.
 
Acha upopoma!Hukusikia Tunduma aliposema wasipomchagua Silinde hata maji ambayo serikali imeshakamilisha mpango basi hatapeleka!Hukusikia Bunda alisema hakujenga barabara kwasababj walichagua mpinzani hivyo wakichagua tena mbunge wa upinzani barabara hiyo hatapeleka na atapeleka kwa watakaochagua CCM!
Acheni kutetea ujinga.

Tumezoea kuwa nyinyi ni watu wa kupiga soga,na wakupinga wew unadhani hao wananchi watafikishiwaje Maendeleo wakati viongozi wao wenyewe hawawajibiki si bungeni wala vikao vya halmashauri
 
Mimi nitapiga kura ya kizalendo kwa Taifa hili kwa kumchagua Magufuli mzalendo namba moja wa Taifa letu.
 
Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!

Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi
ANgeishia kusema msichague mpinzani... Haya ya kusema hataleta maendeleo kisa mmechagua mpinzani, ni nini sasa..!!??
 
Tumezoea kuwa nyinyi ni watu wa kupiga soga,na wakupinga wew unadhani hao wananchi watafikishiwaje Maendeleo wakati viongozi wao wenyewe hawawajibiki si bungeni wala vikao vya halmashauri
Na kodi iliyokatwa kwa aliyemchagua mpinzani..!!?
 
Kama tunataka reference ya level ya unafiki na ubaguzi wa wazi wazi Basi case study na specimen tunayo[emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1]
 
Hivi wanasiasa huwa wanatuonaje sisi Raia? Nchi hii kuna bingwa wa ubaguzi kama yeye?
 
Tumezoea kuwa nyinyi ni watu wa kupiga soga,na wakupinga wew unadhani hao wananchi watafikishiwaje Maendeleo wakati viongozi wao wenyewe hawawajibiki si bungeni wala vikao vya halmashauri
Sasa hapo wapinzani wanazuiaje miradi iliyokwishapangwa na serikali?Wala msifichefiche hapa,Magufuli ameweka wazi ni kuwa atawakomoa kwa serikali yake kutopeleka maendeleo huko watakakochagua upinzani,shwain!
 
Huyu mwezi mchanga akumbushwage kumeza dawa...!!
Shame on him!
 
View attachment 1607735

Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

View attachment 1607734

Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

View attachment 1607737

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

View attachment 1607736
Yeye ni mbaguzi no1
Yeye mzazi wa ubaguzi wa kikabila, kikanda na ameleta chuki miongoni mwa watanzania kiitikadi ya vyama.
Nilikuwa morogoro juzi, kuna wamama wa ccm waliteremka kwenye bajaji baada ya kugundua kuwa dereva ni chadema.
Hatukuyaona haya enzi za mkapa na kikwete.
Asitudanganye aondoke tu
 
Back
Top Bottom