Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Silinde alikuwa nani mjomba si alikuwa Chadema sasa maji hayakuwepo je wananchi walikuwa wanakunywa mikojonau laaah??
Acha upuuzi mjomba.
Je Silinde ndio umemuona tu je hakuna wana Ccm wengine ambao wapo hapo kwamba hawatapata hayo maji hawa nao unawaweka kundi gani.

Yaani nyie chama cha machiba bhana.

..amewanyima maji wananchi wa Tunduma kwasababu jimbo linaongozwa na halmashauri na mbunge[mwakajoka] wa Cdm.

..sasa hivi Silinde anagombea jimbo la Tunduma dhidi ya Mwakajoka wa Cdm ndiyo maana Magufuli anawatishia kuwa ataendelea kuwanyima maji kama hawatamchagua Silinde.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Yeye mwenyewe ndio bonge lambagzi kwelikweli
 
..Ni mbaguzi.

..aliwabomolea nyumba zao wakazi wa majimbo yaliyochagua wabunge wa upinzani.

..kule walikochagua wabunge wa ccm akasema wasibomolewe kwasababu ni wapigakura wake.
Tuletee speecha yake mjomba.
Alafu nikwambie tu watu waliobomolewa nyumba zao wameshaanza kulipwa.
Haya ongea sasa maana mnaropoka tu bila kufanya tafiti na kufuatilia mambo wajomba.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Rais aliyesema atawapa upendeleo wanawake weupe yeye ndiye mbaguzi.

Rais anayesema chagueni wabunge wa chama chake la sivyo haleti maendeleo kwenye jimbo, yeye ndiye mbaguzi.
 
..amewanyima maji wananchi wa Tunduma kwasababu jimbo linaongozwa na halmashauri na mbunge[mwakajoka] wa Cdm.

..sasa hivi Silinde anagombea jimbo la Tunduma dhidi ya Mwakajoka wa Cdm ndiyo maana Magufuli anawatishia kuwa ataendelea kuwanyima maji kama hawatamchagua Silinde.
Akae namaji yake kwani mpaka leo wanamtegemea yeye nawenyewe wamnyime kura nahivi apiti ndokabisa
 
Kwanza bunda ja Kilwa hakuna huduma za kijamii au hakuna shule huko mjomba au hospitali zilizojengwa hahahah.
Acha uchawi wewe toka kama huna hoja njoo na fact hapa mjomba


..wananchi wa Kilwa wananunua maji madumu shilingi 1000 kupelekea wagonjwa wao waliolazwa hospitali.

..msikilize mbunge wa Kilwa Mh.Bungara akiwasilisha kilio chake kuhusu tatizo la maji bungeni.



.
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Huyo mimi nampa cheo cha Mbaguzi-in-Chief. Ubaguzi aliouleta hapa nchini ingekuwa nchi zingine Bunge lilitakiwa kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye na kumuondoa madarakani. Hata hivyo yawezekana ubaguzi ni mojawapo katika sera za CCM maanake kila anapowabagua Watanzania anapigiwa makofi na vigelegele na wana CCM.

Si hivyo tu hata humu naona wapo wana CCM wanaotetea ujinga huo wa hatari kwa umoja wetu kama taifa. Ukishachaguliwa Rais, wewe ni Rias wa wote na ndiyo sababu unaapa kuiheshimu, kuitetea na kuitii Katiba ambayo inatamka wazi wazi kwamba ubaguzi ni mwiko. Magufuli hafai kuongoza hii nchi na tarehe 28/10/2020 lazima ang'olewe.
 
..maendeleo hayaji kwasababu ya vipaumbele vibaya vya CCM na Magufuli.

..kwa mfano, tumetumia billion 500+ kununua midege toka kwa mabeberu wakati wananchi wa maeneo mengi nchini hawana maji safi na salama.

..wizara ya maji imekuwa ikipewa chini ya 20% bajeti iliyopitishwa na wabunge, kwasababu Magufuli ana vipaumbele vyake binafsi vya upigaji na ufisadi, badala ya kuzingatia vipaumbele vilivyoko kwenye bajeti.
Ntajie sekta ambayo imechangia ukuaji wa uchumi hapa nchini???
 
..amewanyima maji wananchi wa Tunduma kwasababu jimbo linaongozwa na halmashauri na mbunge[mwakajoka] wa Cdm.

..sasa hivi Silinde anagombea jimbo la Tunduma dhidi ya Mwakajoka wa Cdm ndiyo maana Magufuli anawatishia kuwa ataendelea kuwanyima maji kama hawatamchagua Silinde.
Je hilo swala lipo chini ya nani??
Kazi ya Mbunge katika jimbo ni nini mjomba??
Je mfuko wa jimbo kazi yake ni nini??
 
Point of collection hajasema kuwa hatapeleka maendeleo, anachojaribu kuonyesha ni kuwa viongozi wa wapinzani huwa wanakwamisha miradi ya maendeleo ili tu lawama zirudi kwa viongozi wa chama tawala na wakati huo wala siwakazi wa eneo hilo na tabu wanapata wale wazawa ,hivyo kuchagua wapinzani ni kujichelewesha.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Acha upopoma!Hukusikia Tunduma aliposema wasipomchagua Silinde hata maji ambayo serikali imeshakamilisha mpango basi hatapeleka!Hukusikia Bunda alisema hakujenga barabara kwasababj walichagua mpinzani hivyo wakichagua tena mbunge wa upinzani barabara hiyo hatapeleka na atapeleka kwa watakaochagua CCM!
Acheni kutetea ujinga!
 
Je hilo swala lipo chini ya nani??
Kazi ya Mbunge katika jimbo ni nini mjomba??
Je mfuko wa jimbo kazi yake ni nini??

..maswali kama haya inabidi ujifunze na kujiongeza mwenyewe kabla ya kuja kujadiliana na watu wazima hapa JF.

..unauliza mfuko wa jimbo, unajua kiasi gani kwa mwaka kiko allocated kwenye mfuko wa jimbo? Unajua gharama ya kupeleka mradi wa maji ktk jimbo?
 
Bakini na mawazo mgando hivy hivyo, hamjui kwamba anty li ni mbaguzi, alishasema hatokuja kukaa na kufikiria kuwapeleka watoto waze shule za kata tena kwa kejeli, sio hiyo tu anadharau mpaka lugha yetu ya Kiswahili, lakini pia hana huruma na wa Tanzania kwani ni mtu alokuwa akihubiri sana uchafuzi wa amani watu waandamane huku akiwa na uraia wa nchi nyengne, kwamaana sisi tuuwane yeye asepe zake.
Wewe ni juha na mwendawazimu uliyekubali kupokwa akili zako na hilo genge lenu la misukule!
Jiwe akae kando kwa ustawi wa nchi yetu!Tumemchoka na hatumtaki!
 
Hivi aliyetufikisha kwenye ukanda, ukabila chuki za waziwazi, udini, utesaji, n.k ni nani? Tujitafakari sana. Tanzania Ile ya amani, upendo, kutojali kabila, haki, amani, FURAHA, uhuru ilipotelea wapi? Sisi wenye umri mkubwa tunaumia mno maana tunajiona tuko nchi nyingine.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.


Kaokoka au kaslimu lini huyu? Keshafuta kauli zake za kuwa hapeleki maendeleo kulikochaguliwa wapinzani?

Wanawake weusi nao je atawasikiliza?
 
Chadema wanasiasa za kishamba sana, walianza uchaga na ukanda, sasa wanaleta udini kwa kushirikiana na sultan seif na zito
Kila mkutano wa kampeni viongozi wa dini wapo na wengine wameombea vyama kura. Tuanze na Mufti na Shekhe wa DSM. Moshi leo kulikuwa na Mkuu wa KKKT na wengine. Balance discussions zako
 
Back
Top Bottom