Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Uko sahihi aliiba kura
Angeliiba kira Mbowe angeweza kufanikisha ule mtadi wake wa kuwakata mishara wabunge wa cdm. Kilamanjaro wabunge wahanga wa huu mradi wa makao makuu cdm ni wengi. Kama wangeibiwa kura wasingekuwepo bungeni kufunga midomo na plasta. Wakati wanajua wanalipwa kwa kodi za Watanzania kwa kazi ya kufungua mdomo uwasemee.