Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Ubaguzi wanauleta wenyewe halafu wanaleta propaganda kuwageuzia wenzao.

Mbowe ameomba mpaka maridhiano, jamaa hakumsikiliza kwa kuwa alifikiri upinzani umekufa na watu wanampenda kuliko. Sasa naona habari ameanza kuisikilizia na ujumbe kaupata.

Tunajua kuwa lazima atashinda uchaguzi huu, whether kwa halali au kwa haramu ..... kitu cha kufanya ajirekebishe. Hivi haoni ni kwa nini yeye anashambuliwa sana na wananchi bado akiwa madarakani tofauti na watangulizi wake ...!!? Kwa kuwa nchi yetu AMANI ipo cha kukazania sasa ni HAKI .... hiki kitu jamaa hawataki kukizungumzia kabisa. Inaelekea dhuruma imeshawalewesha!!
 
"Msiponichaguria Sirinde Sireti Maji hapa'' kweli ukiwa muongo usiwe mwepesi kusahau !
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

huyu mzee kachanganyikiwa hajui hata anachoongea wakati mwingine,hivi huko gereji anakoendaka hana washauri
 
Vita ya ubaguzi ilibidi aipige kwenye chama chake cha CCM pamoja na viongozi wa CCM walio wengi
Huo ubaguzi wewe umeuona wapi au unaropoka tu mjomba eeeh njoo na hoja na fact kwamba ubaguzi ulifanyika hapa au umefanywa hapa na sio kusema ndani ya chama.
Wakati nyie wote huko mmepeana vyeo kikanda na pia hata sasa mnataka mkipata nafasi muigawe nchi kimajimbo sasa hii maana yake nini hasa.
Yani nyie jamaa bhana
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Ebu twende polepole mjomba sio unakurupuka tu.
Twende tutajie maeneo ambayo upinzani wameongoza je huko hakuna maendeleo.
Tukianza na Kawe tu ambapo yupo shoga Halima mbona miradi ya maendeleo imepwlekwa huko eeeh
 
NI KWELI
Na ili kujitenga na huu ubaguzi inabidi Magufuli akataliwe na watanzania wote 28/10/2020. Kwasbb yy ndiye muasisi na mpigania ubaguzi hapa nchini.

Ametamka zaid ya mara 100 kwamba maeneo yatakayo chagua upinzani hapeleki huduma za kijamii.

Ajiandaye kurudi Chato.
Acha uchawi mjomba hivi kama ingekuwa ubaguzo huo mnaousema hizo barabara wanapita Ccm tu huo umeme wanatumia Ccm tu??
Acha uboya mjomba fikiria.
Hivi we unajua maana ya ubaguzi ??
Akili zenu ziwe ni za kufikiri kwa mapana na sio kuropoka tu
 
Kama kunajambo limemshinda kulificha moyoni mwake nihuo ubaguzi. Inafikia hatua anasema hatagawa chakula kwa mtoto wa kambo akaacha mwanae,akiyaita majimbo ya upinzani watoto wa kambo. Tena kauli hii haizungumzi kwa bahati mbaya anamaanisha manake ameizungumza Korogwe,Mara,Same nk
Hivi wewe unaupima ubaguzi kwa namna ipi??
Maana mifano na maneno unayoongea kwa madai ni kipimo cha ubaguzi wala hayaendani na maana halisi ya ubaguzi.
Na nikuambie tu ubaguzi haupimwi kwa kutamkwa bali kwa vitendo.
Kama angelikuwa anataka huo ubaguzi au angekuwa ni mbaguzi basi nyie mngekufa njaa hapa nchini wallah tena fikiria mjomba kabla ya kutenda wewe boya.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Hivi huyu mtu mbona kama hayawani!
Leo anaongea hili kesho hili.
Hivi kuwatumbua watu wenye vyeti fake halafu alipoambiwa Makonda anavyeti fake akabadili kauli na kusema yeye anatazama kazi. Sasa wale elfu kumi na mbili wa vyeti fake aliwafanyia lini exams katika kazi zao?
 
Nimeshangaa Aliposema Hawezi Kuifanya Moshi Kuwa Jiji Sababu Ilikuwa Chini Ya Upinzani
Wakichagua Ccm Itapewa Hadhi Hiyo!!![emoji16][emoji23][emoji1787]
Kuna Mambo Yanatia Kinyaa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji52]
Kama wewe unavyotia kinyaa katika komenti yako.
Sasa nikuulize hapo Dodoma leo imekuwa jiji je hakuna upinzani wanaishi hapo eeeh, na happ Moshi je hakuna wana Ccm?! Acha upuuzi wako fikiria upuuzi unaouandika mjomba.
 
Msiponiletea silinde sileti maji
Silinde alikuwa nani mjomba si alikuwa Chadema sasa maji hayakuwepo je wananchi walikuwa wanakunywa mikojonau laaah??
Acha upuuzi mjomba.
Je Silinde ndio umemuona tu je hakuna wana Ccm wengine ambao wapo hapo kwamba hawatapata hayo maji hawa nao unawaweka kundi gani.

Yaani nyie chama cha machiba bhana.
 
Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!

Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi
Wewe utopolo kabisa
 
Muasisi wa ubaguzi ni yeye.
Atuambie nyumba za kimara mbezi zimebomolewa je za kisese mwanza alisema amepigiwa kura na wasukuma wenzake wasibomolewe sasa nani mpuuzi hapo.

Na pia teuzi zake zote sisi wasukuma ndo first class na wengine third class.
Idiot
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

 
Ye ndo bingwa wa ubaguzi,
Na nyie vipi wajomba hapo pamekaaje hahahah
IMG-20201020-WA0031.jpg
 
Mbona yeye anatubagua waliompa kura nyingi nyumba zao hazikubomolewa.

Akiambiwa jambo na mwanamke mweupe anasikiliza.
Ulishawai kumwambia akaacha kukusikiliza mzee mbona unaongea pumba na mashudu wewe mjomba
Hata Kassim Mganga aliyeimba nyimbo hapo na akamsikikiza alikuwa mwankamke mweupe hahahah.
Acha uchawi wako bhna unaongea utopolo tu hapa.
IMG-20201020-WA0006.jpg
 
Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!

Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi
Waaambie hao wapo tu na akili zao kama maboya ya baharini hahah hatari sana .
 
Amewabagua kaskazini ajawafanyia chochote amewabagua anaenda kuwaomba kura wao ni muhimu wkt wa uchaguzi tu
We ulitaka alale nao au laah.
Tambua yule ni Rais na anawasaisizi wake wanafanya kazi kila kona wakimuwakilisha yeye sasa wewe unatakaje labda mjomba.
 
Huyu ndie mbaguzi nambari one Tanzania halafu anasema nini? Lissu ndiye mwenye mamlaka ya kusema hayo sio jiwe.
We kweli huna akili yani hahahha Yani unasema Chiba ndio ana mamlaka ya kusema hayo kwamba yeye akiongea sio ubaguzi au sio.
Basi hata ww tayali ni mbaguzi nyau wewe.
 
Kwaiyo hawezi kunadi chama chake hadi awatishie wananchi kwa kauli za kibaguzi? Kiongozi mwema asiye m'baguzi hawezi kuwachimbia wananchi mikwara ya kutowapelekea maendeleo maeneo ambayo hakitachaguliwa Chama chake. Kiongozi mwema huwahudumia wananchi wake bila kubagua imani ya chama mana kila mmoja ana uhuru kuchagua anachokipenda, na yeye pia ni wajibu wake kuwapelekea maendeleo wananchi wake kwa sababu kwenye hayohayo maeneo yanayoongozwa na wapinzani kuna watu hawana vyama, hao pia wanahitaji kupelekewa maendeleo pia.
Kwanza awamu iliyopita hakuwa Rais je ulitishwa hivi unajua maana ya kutishwa wewe.
Mbona 2015 mlichagua chadema na hamkuwapa Ccm je aliwaua nyie au mliendelea na maisha yenu??
Sasa shida zikwapi mjomba wewe si uchague upinzani maisha yaendelee tuachie Ccm yetu bata we.
 
Back
Top Bottom