Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa hivi anawapenda wanawake weusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA MAENDELEO YA KWELI CHAGUA MAGUFULI, MAGUFULI, MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULIIkiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
Kweli kabisa kwani watanzania wote ni NDUGU bila kujali itikadi zaoIkiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
Ni ukweli usiopingika na ulio wazi kuwa, Tanzania upinzani bado sanaaaaaa na itoshe tu kusema kuwa CCM ni chama imara na kitaendelea kuwa imara. Dk Magufuli anastahili kura za kishindo kwa maendeleo ya Taifa letuIkiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
Hakika, inabidi wafahamu maana halisi ya ubaguzi.Kusema hivyo sio ubaguzi, kwani tumeona Maeneo mengi ambayo unaupinzani na kapeleka huduma za jamii, mfano mzuri Kilimanjaro ambapo upinzani umesheni ingawa sasa hivi majimbo yote CCM tunayachukuwa, kapeleka miradi.
Nani kama Magufuli, Tarehe 28 kura yangu kwa #Magufuli.
Sio kweli. Haya ni ya kwakoPoint of collection hajasema kuwa hatapeleka maendeleo, anachojaribu kuonyesha ni kuwa viongozi wa wapinzani huwa wanakwamisha miradi ya maendeleo ili tu lawama zirudi kwa viongozi wa chama tawala na wakati huo wala siwakazi wa eneo hilo na tabu wanapata wale wazawa ,hivyo kuchagua wapinzani ni kujichelewesha.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kwani watanzania wote wameamua kusafiri na magufuli kwa Mafanikio makubwa tuliyoyaonaIkiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
Chagua MagufuliNi ukweli usiopingika na ulio wazi kuwa, Tanzania upinzani bado sanaaaaaa na itoshe tu kusema kuwa CCM ni chama imara na kitaendelea kuwa imara. Dk Magufuli anastahili kura za kishindo kwa maendeleo ya Taifa letu
Hahhaha....kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Mbowe ni Mwenyekiti kuanzia Chama kimeanza ,wengine wakionyesha wanataka hiyo nafasi wanapotezwaVita ya ubaguzi ilibidi aipige kwenye chama chake cha CCM pamoja na viongozi wa CCM walio wengi
Hahhaha....Ni wivu tu...Tanzania wafuasi wa upinzani ni kama wamedata 🤣🤣nadhani ndo wale ukimgusa mkono anasema achia kichwa changu.....nawe utakua miongoni mwaoAende zake huko!! wakati yeye ndie mubaguzi makubwa!! atakuwa amechanganyikiwa!
Kwasababu ya Ubaguzi wake Mbowe na Uroto wa madaraka alonao.Mbowe ni Mwenyekiti kuanzia Chama kimeanza ,wengine wakionyesha wanataka hiyo nafasi wanapotezwa
Acha kupika mawazo ya mtu, kama hukumuelewa inabidi useme tukueleweshe vizuri.Kwaiyo hawezi kunadi chama chake hadi awatishie wananchi kwa kauli za kibaguzi? Kiongozi mwema asiye m'baguzi hawezi kuwachimbia wananchi mikwara ya kutowapelekea maendeleo maeneo ambayo hakitachaguliwa Chama chake. Kiongozi mwema huwahudumia wananchi wake bila kubagua imani ya chama mana kila mmoja ana uhuru kuchagua anachokipenda, na yeye pia ni wajibu wake kuwapelekea maendeleo wananchi wake kwa sababu kwenye hayohayo maeneo yanayoongozwa na wapinzani kuna watu hawana vyama, hao pia wanahitaji kupelekewa maendeleo pia.
Naskia wasukuma hawana ubaguzi. wanapenda wanwake wa rangi zote siku hiziSasa hivi anawapenda wanawake weusi?
Chagua CCM, Chagua MagufuliHahhaha....Ni wivu tu...Tanzania wafuasi wa upinzani ni kama wamedata 🤣🤣nadhani ndo wale ukimgusa mkono anasema achia kichwa changu.....nawe utakua miongoni mwao
Kwani Anti-Li yeye anasemaga aje.???Kwaiyo hawezi kunadi chama chake hadi awatishie wananchi kwa kauli za kibaguzi? Kiongozi mwema asiye m'baguzi hawezi kuwachimbia wananchi mikwara ya kutowapelekea maendeleo maeneo ambayo hakitachaguliwa Chama chake. Kiongozi mwema huwahudumia wananchi wake bila kubagua imani ya chama mana kila mmoja ana uhuru kuchagua anachokipenda, na yeye pia ni wajibu wake kuwapelekea maendeleo wananchi wake kwa sababu kwenye hayohayo maeneo yanayoongozwa na wapinzani kuna watu hawana vyama, hao pia wanahitaji kupelekewa maendeleo pia.
Uongo huu, leta uthibitisho hapa..Ni mbaguzi.
..aliwabomolea nyumba zao wakazi wa majimbo yaliyochagua wabunge wa upinzani.
..kule walikochagua wabunge wa ccm akasema wasibomolewe kwasababu ni wapigakura wake.