Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!

Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi

..kusema mchagueni mbunge wa chama changu, msimchague mbunge wa chama kingine, is within the rules.

..sasa mgombea anaposema mkichagua upande wa pili sitaleta miradi ya maendeleo, ni kinyume na sheria, pia ni ubaguzi.

..Kwa bahati mbaya, Magufuli amekuwa akirudiarudia kauli hiyo hata ktk ziara zake za kiserikali. Kwa mfano, kuna sehemu wananchi walimlilia maendeleo, aliposikia wamechagua upande wa pili, akawaambia wasimsumbue wajilaumu wenyewe kwa kuchagua upande wa pili.
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Hivi unafahamu ni maeneo mangapi yalikuwa na viongozi wa upinzani na wamefikiwa na maendeleo,

Kama kuna watu ni wabaguzi na wanachuki basi ni wapinzani ambao wanadiriki hata kususia miradi ya maendeleo kwa kuona ccm itapata faida na kunufaika.
 
NEC kuweni makini Chadema wamesha ona kipigo kizito ndani ya sanduku la kura wanatafuta mtu wa kumrushia Lawama, msipoangalia wanaweza susia uchaguzi dakika yoyote kutoka sasa ili Lawama ziwe juu yenu.
 
..kusema mchagueni mbunge wa chama changu, msimchague mbunge wa chama kingine, is within the rules.

..sasa mgombea anaposema mkichagua upande wa pili sitaleta miradi ya maendeleo, ni kinyume na sheria, pia ni ubaguzi.

..Kwa bahati mbaya, Magufuli amekuwa akirudiarudia kauli hiyo hata ktk ziara zake za kiserikali. Kwa mfano, kuna sehemu wananchi walimlilia maendeleo, aliposikia wamechagua upande wa pili, akawaambia wasimsumbue wajilaumu wenyewe kwa kuchagua upande wa pili.
Point of collection hajasema kuwa hatapeleka maendeleo, anachojaribu kuonyesha ni kuwa viongozi wa wapinzani huwa wanakwamisha miradi ya maendeleo ili tu lawama zirudi kwa viongozi wa chama tawala na wakati huo wala siwakazi wa eneo hilo na tabu wanapata wale wazawa ,hivyo kuchagua wapinzani ni kujichelewesha.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hats likiwa jiji wakazi wake watagaiwa hela? Ajira zitatolewa na ukaliwamaisha utapungua? Mimi siwapendi sana wanasiasa manake wanaomba huku wanatukana. Sasa hapo ndio atapewa kura ili pawe jiji?
Hiyo tayari ndo mindset yako ila na umejiwekea hivyo
Ila nikushauri ikifika tarehe 28 uichague ccm kwa maendeleo ya Taifa hili.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Point of collection hajasema kuwa hatapeleka maendeleo, anachojaribu kuonyesha ni kuwa viongozi wa wapinzani huwa wanakwamisha miradi ya maendeleo ili tu lawama zirudi kwa viongozi wa chama tawala na wakati huo wala siwakazi wa eneo hilo na tabu wanapata wale wazawa ,hivyo kuchagua wapinzani ni kujichelewesha.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app

..siyo kweli.

..hiyo kauli aliitoa akiwa Bunda.

..lakini Bunda halmashauri ni ya CCM, isipokuwa mbunge ni wa Chadema. kwa msingi huo kura za Chadema ktk halmashauri husika hazitoshi kukwamisha miradi ya maendeleo.

..kwa upande mwingine, bajeti hupitishwa na bunge. Na bungeni CCM ndio wenye wabunge wengi, hivyo Chadema hawana uwezo / kura kukwamisha kinachopendekezwa na serikali ya CCM.

..Jambo lingine ni kwamba CCM ndio wenye serikali kuu, na mamlaka ya kukusanya kodi. Kwa msingi huo, haiwezekani kuwakwamisha kwa namna yoyote ile ktk kutekeleza kile walichokiamua kuhusiana na miradi ya maendeleo.
 
Kwaiyo hawezi kunadi chama chake hadi awatishie wananchi kwa kauli za kibaguzi? Kiongozi mwema asiye m'baguzi hawezi kuwachimbia wananchi mikwara ya kutowapelekea maendeleo maeneo ambayo hakitachaguliwa Chama chake. Kiongozi mwema huwahudumia wananchi wake bila kubagua imani ya chama mana kila mmoja ana uhuru kuchagua anachokipenda, na yeye pia ni wajibu wake kuwapelekea maendeleo wananchi wake kwa sababu kwenye hayohayo maeneo yanayoongozwa na wapinzani kuna watu hawana vyama, hao pia wanahitaji kupelekewa maendeleo pia.
Hafai huyu mzee hata kidogo
 
Vita ya ubaguzi ilibidi aipige kwenye chama chake cha CCM pamoja na viongozi wa CCM walio wengi
Yani unamaanisha nini, kuna mwana CCM gani amembagua mtu na ni wa wapi? Kuna kiongozi gani wa chama amembagua mtu na ni nani aliyebaguliwa? Ukijibu uje na uthibitisho hapa tuuone.
Chagua Magufuli
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Kusema hivyo sio ubaguzi, kwani tumeona Maeneo mengi ambayo unaupinzani na kapeleka huduma za jamii, mfano mzuri Kilimanjaro ambapo upinzani umesheni ingawa sasa hivi majimbo yote CCM tunayachukuwa, kapeleka miradi.
Nani kama Magufuli, Tarehe 28 kura yangu kwa #Magufuli.
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Huu ni uongo, rudi darasani kasome vizuri maana ya ubaguzi
 
Ubaguzi unahusisha useng*** wanaoufanya sasa hivi kwa mawakala wa vyama vya upinzani?
Yaani hadi swala la mawakala tu kuapishwa nchi inazingua, hivi wapo serious kweli? ccm kama kushinda mna uhakika mtashinda kuna sababu gani ya kusumbuana? mtu unamwambia nenda kaapishwe pale, anafunga safari anaenda mnamwambia rudi ukaapishwe hukohuko ulipotoka. K**a nyie, mwaka huu lazima kitaeleweka
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.

Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.

Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.

Watanzania yatupaswa kuwa makini sana na hawa watu ambao ni wavunjifu wa amani ,wanatafut vurugu ili watimize lengo waliloagizwa kisha waondoke na kuacha watu wakitaabika .

Tusidanganyike
#ChaguaCcm Tuendelee kulinda amani ya nchi hii ilioachwa na waasisi wa Taifa hili


Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Kusema hivyo sio ubaguzi, kwani tumeona Maeneo mengi ambayo unaupinzani na kapeleka huduma za jamii, mfano mzuri Kilimanjaro ambapo upinzani umesheni ingawa sasa hivi majimbo yote CCM tunayachukuwa, kapeleka miradi.
Nani kama Magufuli, Tarehe 28 kura yangu kwa #Magufuli.

..OK.

..amepeleka Kilimanjaro.

..lakini amebagua Bunda na Kilwa alipotoa kauli za kibaguzi.

..kwa hiyo ni MBAGUZI na mwenye CHUKI.
 
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Ama kweli wahenga walipatia waliposema nyani haoni dude lake la nyuma!
 
Aende zake huko!! wakati yeye ndie mubaguzi makubwa!! atakuwa amechanganyikiwa!
Bakini na mawazo mgando hivy hivyo, hamjui kwamba anty li ni mbaguzi, alishasema hatokuja kukaa na kufikiria kuwapeleka watoto waze shule za kata tena kwa kejeli, sio hiyo tu anadharau mpaka lugha yetu ya Kiswahili, lakini pia hana huruma na wa Tanzania kwani ni mtu alokuwa akihubiri sana uchafuzi wa amani watu waandamane huku akiwa na uraia wa nchi nyengne, kwamaana sisi tuuwane yeye asepe zake.
 
Back
Top Bottom