Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimeanza kuelewa maana ya professorial rubbish. Kufurahisha genge.Anna Tibaijuka: Nashukuru sana mheshimiwa Rais kuniruhusu na mimi nikapumzike. Ninapopumzika, hapa tunaacha ni mahali salama. Kuna mtu mwenye mashaka na baba huyu? Kuna mtu mwenye wasiwasi? (Wananchi: Hamna).
Nyinyi wanangu wa Muleba, walio wengi hapa ni wanangu na wewe mheshimiwa Rais ukiwa mdogo wangu. Hapa Muleba, jirani yetu ni Chato, wembe ni uleule. Wazungu wanasema kama huyu Rais Magufuli ana mshikaji wake, wanasema natural allie ni Muleba Kusini, Muleba kwa ujumla.
Kwa hio kura hapa zitaendelea kuwa za heshima mheshimiwa Rais kama ilivyokuwa 2015. Hapa usiwe na shaka na mimi hapa mstaafu na dada yako, nashukuru sana.
Atachaguliwa kwa kishindo, watanzania wanajua watakacho.Wana Kagera mtakuwa mmeshusha heshima yenu kama mkimchagua mtu aliyewatukana vibaya.
Wanataka kutukanwa au?Atachaguliwa kwa kishindo, watanzania wanajua watakacho.
1800 hakukuwa na WatanzaniaChato ilikuwa mkoa wa kagera kabla ya kupelekwa Geita,hao wote ni vizazi vya wakimbizi wakihutu wa miaka ya 1800
Kaahirisha kampeni Bukoba mjini ndiyoWewe si ulisema kaahirisha? Muda sio mrefu utashangaa watu mada zako hawasomi sababu wanakuona kuwa huko reliable
Mna edit videoMoto chini, uuwi , Lissu namba nyingine aisee
Kwanini hautaki Mh Jiwe kuwaeleza wana kagera aliko peleka hela za rambirambi?Magufuli kipenzi cha watanzania, wewe na chuki zako katafute malimao mapema maana hits amini yatakayotokea Oct 28. JPM tano tena, Tanzania ya kijani.
lami Muleba- Kanyambogo...na sasa Kanyambogo- Nshamba!......Mkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.
Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Lissu atapita kusawazishaKama kawa.
Hakuna afisa wa TAKUKURU mwenye ujasiri wa kumkamata Magufuli anapotoa Rushwa ya aina yoyote ile.hii ni rushwa ya mchana kweupeeee, sijui takukuru wapo wapi?
Serikali hii ina mavyeo mengi na ndio maana nimemwambia hata Prof. Tibaijuka, ameniambia hapa, mdogo wangu nimestaafu. Mimi nakwambia hapa, Prof. hujastaafu. Hauwezi tukamuacha Profesa akakaa tu hapa wakati kuna maeneo mengi ya kwenda kufanya.[emoji848][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Wana Kagera ni watu makini sana, hawawezi chagua jiwe.Wana Kagera mtakuwa mmeshusha heshima yenu kama mkimchagua mtu aliyewatukana vibaya.