Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli atinga Kagera, Mama Tibaijuka asema watampa kura za heshima na kusisitiza wao ni 'Natural Allies'. Magufuli amuahidi cheo

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli atinga Kagera, Mama Tibaijuka asema watampa kura za heshima na kusisitiza wao ni 'Natural Allies'. Magufuli amuahidi cheo

Atachaguliwa kwa kishindo, watanzania wanajua watakacho.
Anazungumzia kuwa wana Kagera ni watu wakini hawawezi fanya ujinga then wew unakuja kuwafananisha na watu wa kwenu au Dodoma!!
 
Serikali hii ina mavyeo mengi na ndio maana nimemwambia hata Prof. Tibaijuka, ameniambia hapa, mdogo wangu nimestaafu. Mimi nakwambia hapa, Prof. hujastaafu. Hauwezi tukamuacha Profesa akakaa tu hapa wakati kuna maeneo mengi ya kwenda kufanya.[emoji848][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Hapo ndipo anaponiacha hoi. Kila kona, ana ahidi vyeo! Kwa sasa hata push up atapiga. Atawaburudisha watu kwa kucheza, na kupiga ngoma.
We' subiri ashinde na kuapishwa, ndipo tutakapoona roho yake halisi ilivyo katili!
 
lami Muleba- Kanyambogo...na sasa Kanyambogo- Nshamba!......
Rambirambi zilijenga shule Ihungo, zahanati, vituo vya afya pamoja nai vifaa tiba au wewe ulitaka zifanye nini Kamanda?
Swali, je zilitolewa kifanya kazi hizo?
 
Nchi haiwezi ongozwa na watu hovyo namna hii, wenye roho za kimaskini ni,kukiri udhaifu kila wakati, mara sijui jalalani, wanyonge, etc, huu ni ushamba.
Yote hiyo ni kumtukuza binadamu kuliko Mungu, wakitumia matumbo kufikiri badala ya ubongo.
 
Rais Magufuli leo yupo mkoani Kagera akitokea Chato kuendelea na kampeni za kuwania Urais kwa muhula wa pili, akiwa njiani amesimama Muleba, lililokuwa jimbo la mama Anna Tibaijuka upande wa Muleba Kusini. Hii ni sehemu ya yaliyojiri huko.

===========

Anna Tibaijuka: Nashukuru sana mheshimiwa Rais kuniruhusu na mimi nikapumzike. Ninapopumzika, hapa tunaacha ni mahali salama. Kuna mtu mwenye mashaka na baba huyu? Kuna mtu mwenye wasiwasi? (Wananchi: Hamna)...
mkuu na mimi niko jalalani huku nzega njoo unitoe maana napiga chaki tu sana lakini daraja wala mshahara sioni tangu nipate ajira hii na tangu uingie madarakani
 
Rais Magufuli leo yupo mkoani Kagera akitokea Chato kuendelea na kampeni za kuwania Urais kwa muhula wa pili, akiwa njiani amesimama Muleba, lililokuwa jimbo la mama Anna Tibaijuka upande wa Muleba Kusini. Hii ni sehemu ya yaliyojiri huko...
" Serikali hii ina mavyeo mengi" - Magufuli 😳😳😳😳😳😳
 
mkuu na mimi niko jalalani huku nzega njoo unitoe maana napiga chaki tu sana lakini daraja wala mshahara sioni tangu nipate ajira hii na tangu uingie madarakani
Mkuu nikuambie tu kitu kimoja, Uumkatae siku husika siyo 'kulia lia' kwenye keyboard kumsujudu huyo 'malaika'.!
 
Rais Magufuli leo yupo mkoani Kagera akitokea Chato kuendelea na kampeni za kuwania Urais kwa muhula wa pili, akiwa njiani amesimama Muleba, lililokuwa jimbo la mama Anna Tibaijuka upande wa Muleba Kusini. Hii ni sehemu ya yaliyojiri huko...
Huyu Magufuli sasa apumzike kufanya kampeni. Wananchi hawamtaki. Kazi kusomba wanafunzi na mateja tu wahudhurie mikutano yake
 
Mkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.

Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Wewe umekazana na kauli tu mbona shule iliyobomboka huisemi Nazi yako ni kauli unadhani wanakagera wote wanaakili kama zako.
 
Kwa mtu ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 5 na amefanya mengi kama anavyojimwambafai, halafu kwenye mikutano akawa anakosa watu kiasi hiki mpk wanafunzi wa chekechea na shule za msingi wanakusanywa, hakika itamuumiza sana na kumpa msongo wa mawazo.

Hebu tazama mwenyewe hapa chini.

FB_IMG_1600163267156.jpg
FB_IMG_1600163275173.jpg
 
Tibaijuka alinchosha aliposema bilioni kumi ni pesa ya mboga
 
Kwa mtu ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 5 na amefanya mengi kama anavyojimwambafai, halafu kwenye mikutano akawa anakosa watu kiasi hiki mpk wanafunzi wa chekechea na shule za msingi wanakusanywa, hakika itamuumiza sana na kumpa msongo wa mawazo.

Hebu tazama mwenyewe hapa chini.

View attachment 1570420View attachment 1570421
Utanyooka tu! Naona unahangaika na mgombea wa CCM wa Saccos huna mpango naye!
 
Subiri wapiga Zumari waje Mkuu ,watampamba huyo na kumsifia bila ya mantiki.
 
HIV KWANINI HUWA HAWAKUSANYI WA SECONDARY HIV VITOTO VIDOGO NI KUVIUMIZA JUANI TU NA HUYO ASKARI KAMA BUNDUKI HAIPO KWENYE SAFETY KWA BAHATI MBAYA IKAFTAUKA SI MAAFA HAPO
 
Utanyooka tu! Naona unahangaika na mgombea wa CCM wa Saccos huna mpango naye!

Mkuu, poleni bana Mzee Baba yupo na Watoto tu hapo wengine wanawaza Muda wa Uji/wengine wana waza bakshishi ya viporo vyao vya jana sasa sijui Mh sana wa inchnji anakuwa anafikisha ujumbe kwa nani hapo 😋
 
Back
Top Bottom