Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si uko kwenye payroll ya magu ili umpiganie lazima.Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert
Wewe si uko kwenye payroll ya magu ili umpiganie lazima.
Sie watanzania halisi tunaipigania nchi yetu kwa nguvu zetu zote kutoka mikononi mwa bacteria wa kijani ambao kazi yao ni kutafuna tuuuuuu!
Duh! Baada ya kazi ya faragha kati yako wewe na Magufuli, sasa ndiyo umekuja kutupa mrejesho wa uanaume wake. Hongera kwa kukuridhisha ipasavyo.John Pombe Magufuli ni mwanaume wa Karne [emoji7][emoji378][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kama fanikio lenu ni ajari mmeisha hapo madereva tumeacha tu ulevuWakuu, salaam!
Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.
Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-
(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-
Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);
(ii). Ziara za ndani:-
Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;
(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;
(iv). Ajali za barabani - zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;
Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.
Rai yangu:-
Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.
Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Msaliti wa nchi namba moja ni Magufuli, anakwiba matrilion ya Tshs, alafu anakuja kuwapiga biti Ma-CAG wasikague projects zake uchwara.Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Msaliti wa nchi namba moja ni Magufuli, anakwiba matrilion ya Tshs, alafu anakuja kuwapiga biti Ma-CAG wasikague projects zake uchwara.
Ndiyo maana, sisi Watanzania tunasema ni bora twende na kamanda Lissu, "mwamba straight from the anga"
Magufuli ni fisadi la kutupwa.Tokea Tanzania ipate uhuru hakuna Rais ambae aliwahi kupiga dili la ufisadi wa TZS 1.5 trillion.Unafikiri kuwa tumesahau ule ufisadi wa Magufuli wa TZS 1.5 trillion?!View attachment 1596115
.
(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-[/B]
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;
[
Uthibitisho wa Lissu kuwa ni fisadi upo wapi au unajifurahisha tu na porojo za hapa na pale?Ripoti ya CAG ilithibitisha kuwa Magufuli alipiga 1.5 trillion.Ni ufisadi wa karneFisadi ni lissu aliyekuwa anatetea Mabeberu yaendelee kutuibia rasmali zetu
wanawake weusi wanateseka sana kwenye huu utawala.Wakuu, salaam!
Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.
Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-
(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-
Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);
(ii). Ziara za ndani:-
Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;
(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;
(iv). Ajali za barabani - zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;
Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.
Rai yangu:-
Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.
Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Asante kwa Magufuli kupigania madini yetu sasa Watanzania tunafaidi
Lissu anatembea na laana kwa kusaliti Nchi
Uthibitisho wa Lissu kuwa ni fisadi upo wapi au unajifurahisha tu na porojo za hapa na pale?Ripoti ya CAG ilithibitisha kuwa Magufuli alipiga 1.5 trillion.Ni ufisadi wa karne
Duh! Baada ya kazi ya faragha kati yako wewe na Magufuli, sasa ndiyo umekuja kutupa mrejesho wa uanaume wake. Hongera kwa kukuridhisha ipasavyo.
1. Yale matrilion (TZS 400 trillion) zililipwa?
2. Noah zetu tulizoahidiwa zimekuja?
3. Million 50 kila kijiji zimegaiwa?
Niliyouliza hapo juu ndiyo matunda ya kupigania rasilimali zetu za madini.
Hatuna habareeee jambo letu lipo palepale tarehe 28 October kura zote ni kwa John Pombe Magufuliwanawake weusi wanateseka sana kwenye huu utawala.
WANAWAKE WEUSI wana jambo lao 28-10-2020.
Hawa ndiyo wananchi wa Tanzania ambao jiwe anawadanganya wanampigia kura angalia kinachowatokea? hakuna aliyelipwa baada ya kubomolewa nyumba, hakuna aliyeongezewa mshahara miaka mitano, 2015 hivi vitu viwili aliviongelea sana kusema atavifanya, ile kaingia tu ikulu akabadilika 100% alafu bado kuna tako linakuja linasema magufuli chaguo la sijui jini gani, aliyewaroga watanzania alafu akajinyonga mbaya sana, machizi wengi sana.
Huyu dogo nimemuona imeniuma sana, hana uwezo wowote ule wa kufanya chochote, jiwe limekaa na bashite wanakunywa wine tu, serikali ilishindwa kuwalipa watu inaowahamisha? stupid monkeys