Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Acha kupandikiza chuki watanzania wanaelewa kwamba kuna sheria na taratibu kwa kila kitu
Hizo ndizo excuse ambazo vilaza hua mnarukia, haha maneno hayohayo yanasemwa na polisi wa chama cha majambazi, kila kitu kisingizio ni "kupandikiza chuki" "mabeberu" "uharibifu wa amani" tafuteni kisingizio kingine, jiwe lenu si mungu ni binadamu ka wengine tu, naona kushika kikapu cha sadaka kanisani kumewachanganya sana akili
 
Dodoma alituahidi. 2017-20.

1. Ujenzi wa uwanja mkubwa wa kisasa wa michezo kushirikiana na mfalme wa Moroco ameshindwa.

2. Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko kuzunguka Dodoma jiji. Ring road Ameshindwa.

3Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato ameshindwa.

4. Ujenzi wa Hospital ya Uhuru baada ya kukata fedha za sherehe maazimisho ya uhuru day.

5.Kiingereza kimemshinda.

Hii ni Dodoma sijui huko mikoani?

ofisi ya chama tu pale kinondoni mmeshindwa! a very basic need
 
Dodoma alituahidi. 2017-20.

1. Ujenzi wa uwanja mkubwa wa kisasa wa michezo kushirikiana na mfalme wa Moroco ameshindwa.

2. Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko kuzunguka Dodoma jiji. Ring road Ameshindwa.

3Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato ameshindwa.

4. Ujenzi wa Hospital ya Uhuru baada ya kukata fedha za sherehe maazimisho ya uhuru day.

5.Kiingereza kimemshinda.

Hii ni Dodoma sijui huko mikoani?
Hahahahhahaa Dah Akijenga Mtasemaje Mtasifia Kweli? ebu acheni unafkiTunawajua BAVICHA MAGUFULI HANABJEMA KWENU
 
Hizo ndizo excuse ambazo vilaza hua mnarukia, haha maneno hayohayo yanasemwa na polisi wa chama cha majambazi, kila kitu kisingizio ni "kupandikiza chuki" "mabeberu" "uharibifu wa amani" tafuteni kisingizio kingine, jiwe lenu si mungu ni binadamu ka wengine tu, naona kushika kikapu cha sadaka kanisani kumewachanganya sana akili
Mshukuru sana Mungu kwa kukupa huyo unayemwita jiwe kuwa rais wako vinginevyo ungeshakufa kwa CORONA, msongo wa mawazo au kwa njaa
 
Vipi mahakama ya ufisadi ilianzishwa na je unataka kusema mafisadi waliopaswa kuburuzwa kortini hawapo? You can't be serious
 
Noah zitalipwaje wakati msaliti wa Nchi alikuwa anawatetea Mabeberu ?
Mabeberu? Lol! Magufuli mwenyewe anaishi kwa hisani ya mabeberu. Anatekeleza miradi yake kwa hisani ya mabeberu.
Mabeberu ni kama maji. Usipoyanywa, utayaoga. Usipoyaoga, utayafulia nguo. Usipoyafulia nguo, utayachambia. Usipoyachambia, utayatumia shambani.
Upo hapo weye bia yao.
 
Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo

1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
Yaani hapa jukwaani kila mtu anaongelea tuta, sisi , wakati kila mtu ana nafsi moja na kura moja!
 
Ewaaaa nimeridhika kwelikweli.
Na wa Tanzania wengi walioridhika kama mimi watasema tarehe 28 October
Upo kichwa kikubwa????
Kweli kabisa, na ulivyo mweupe jiwe anakufaidi ipasavyo. Maana yeye (Magufuli) na wanawake weupe ni damu damu kwake.
Na ni vema ukalipe fadhira siku hiyo ya tarehe 28 kwa jinsi anavyokuridhisha
 
Mabeberu yanatitegemea sisi bila sisi Waafrika yatarudi kwenye ufukara

Tatizo msaliti wa Nchi anawaaminisha Mabeberu ni watu wa muhimu sana
Mabeberu? Lol! Magufuli mwenyewe anaishi kwa hisani ya mabeberu. Anatekeleza miradi yake kwa hisani ya mabeberu.
Mabeberu ni kama maji. Usipoyanywa, utayaoga. Usipoyaoga, utayafulia nguo. Usipoyafulia nguo, utayachambia. Usipoyachambia, utayatumia shambani.
Upo hapo weye bia yao.
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-

Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-

Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-

Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani
- zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-

Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Mpaka Sasa mengi hamemshinda,ni Bora ukasaidia kuainisha maeneo ambapo mapungufu yapo kwa maana ya kumsaidia. Vingine yo muda sii rafiki na maslahi thyapatayo kupitia kwake yanaenda kukoma hivi karibuni kwa kishondo kuu.
 
Mabeberu yanatitegemea sisi bila sisi Waafrika yatarudi kwenye ufukara

Tatizo msaliti wa Nchi anawaaminisha Mabeberu ni watu wa muhimu sana
OK! Ila tambua nchi hii siyo ya watu wa bia bia, wala si watu wa pombe pombe. Ni nchi ya watakatifu na wazalendo tukiongozwa na kamanda Lissu aliyefufuka kutoka wafu kuja kuwakomboa Watanzania wanaoangamizwa na kemikali za pombe na bia.
 
Msaliti wa Nchi hawezi kufufuka, huyo aliachwa ili ajutie kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
OK! Ila tambua nchi hii siyo ya watu wa bia bia, wala si watu wa pombe pombe. Ni nchi ya watakatifu na wazalendo tukiongozwa na kamanda Lissu aliyefufuka kutoka wafu kuja kuwakomboa Watanzania wanaoangamizwa na kemikali za pombe na bia.
 
Kweli kabisa, na ulivyo mweupe jiwe anakufaidi ipasavyo. Maana yeye (Magufuli) na wanawake weupe ni damu damu kwake.
Na ni vema ukalipe fadhira siku hiyo ya tarehe 28 kwa jinsi anavyokuridhisha
Sasa mbona unongea sanaaaaa au ndio wivu

Narudia kukuambia kwamba John Pombe Magufuli ni mwanaume wa Karne, kiboko ya CORONA dunia nzima, Mzee wa uchumi wa kati, BABALAO
emoji7.png
emoji378.png
emoji91.png
emoji91.png
emoji91.png
emoji91.png

TAREHE 28 TUNACHUKUA TUNAWEKA WAA😂😂
NA TAREHE 29 TUNAKULA BIRTHDAY YAKE NA YANGU TUKIWA NA USHINDI MEZANI😍 HUTAKI HAMA NCHI💥
 
Magufulification of Africa. JPM the breath of fresh air. Mungu akutunze kipenzi cha watanzania.
 
Magufulification of Africa. JPM the breath of fresh air. Mungu akutunze kipenzi cha watanzania.

Magufulification of Africa. JPM the breath of fresh air. Mungu akutunze kipenzi cha watanzania.

Comment of the day😍😍😍😍😍😍😍
 
Mwenye kukuelewa ni yule asomae kinyume.
Alijipitisha bila kupingwa pia yeye ndo muasisi founder wa kupita bila kupingwa chaguzi za mitaa ni copy and paste
 
Back
Top Bottom