Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli yupi??huyu huyu ambae anateua wapinzani huku Wana CCM wafia chama tupo tuu??akose tuuAcha vituko wewe!
Kama Lowasa mlimdekia hadi barabara, mtu ambae Lisu ma chadema nzima walimnanga kwa miaka 8, sembuse Magu?
Hivi huu uongo wako ni kwa faida ya nani tukutane 28 ndio utajua Magufuli ni nani.Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo
1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
Toshekeni na mishahara yenu, ujenge kwenye hifadhi kwa kiburi afu na fidia ulipwe - jifunzeni kuzingatia sheriaMbona kashindwa kuongeza mishahara kwa wafanyakazi Wa umma , pia kashindwa kulipa fidia za aliowabomolea majumba mbezi ya kimara .
Sasa unasemaje hajawahi kushindwa
Aliyeshiba hamjui Mwenye njaa hata siku mojaToshekeni na mishahara yenu, ujenge kwenye hifadhi kwa kiburi afu na fidia ulipwe - jifunzeni kuzingatia sheria
No, anajua - Serikali imeendelea kutoa ajira kuchao, imeweka mazingira rafiki kwa wakulima ie pamba, kahawa, chai, korosho nkAliyeshiba hamjui Mwenye njaa hata siku moja
Hiyo nchi gani unayoongeleaNo, anajua - Serikali imeendelea kutoa ajira kuchao, imeweka mazingira rafiki kwa wakulima ie pamba, kahawa, chai, korosho nk
Bei za mazao hayo pia zimepanda mara kwa mara
Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo
1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
Sitaki kuamini kuwa TL umempa nafasi ya MunguMwenzio mtoa mada anaamini Magugu maji ndio Mungu
Kwamba million 50 kila kijiji hakusemaa?kaaaaaah wewe ni muongo adi sio vizuri data zote unazozitoa sio zakweli kabisa.ni mjinga hutumii akili kweli unataka noah 50mln kwa kila mtanzania
Duuuh Magugu maji na TL vinafanana kweli?Sitaki kuamini kuwa TL umempa nafasi ya Mungu
Duuh ,hivi Kinge kinamsumbua sana.Dodoma alituahidi. 2017-20.
1. Ujenzi wa uwanja mkubwa wa kisasa wa michezo kushirikiana na mfalme wa Moroco ameshindwa.
2. Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko kuzunguka Dodoma jiji. Ring road Ameshindwa.
3Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato ameshindwa.
4. Ujenzi wa Hospital ya Uhuru baada ya kukata fedha za sherehe maazimisho ya uhuru day.
5.Kiingereza kimemshinda.
Hii ni Dodoma sijui huko mikoani?
Lengo la wapinzani ni kuiondosha CCM bara na visiwani ili nchi iwe na watu wenye usawa kupitia katiba mpya itakayoweza kumwajibisha MTU yeyote anayefanya uhalifu. Kwa sasa nchi hii ina MTU mmoja chini ya CCM ambaye ni mkuu kuliko Mungu aliyemuumba. MTU mmoja mkuu kuliko watu wote waliompa maraka, mkuu kuliko wanaolipa kodi ili alipwe mshahara.Acha vituko wewe!
Kama Lowasa mlimdekia hadi barabara, mtu ambae Lisu ma chadema nzima walimnanga kwa miaka 8, sembuse Magu?
Wao wanalipwa mamilioni na wana Mali za kutosha kila sehemu na ardhi ekari 25000. Na Mashule ya private wamejenga wao na familia zao. Mahoteli na majumba ya kupangisha. Halafu wanasema mfanyakazi anayelipwa laki NNE avumilie tu mana wanajenga nchi watakaonufaika ni wajukuu zao . Huku wao wakiwawekea wajukuu zao akiba za fedha na Mali zisizo na kifani. Kuwadanganya watu kuwa tunafunga mikanda huku wao wakiwa wananeemeka ni Dhambi kubwa mbele za Mungu. Ndio maana Mungu anabadili mioyo ya watu kumuelekea Lisu ili wao nao wasilale kwa raha kama walivyojiona kuwa wangepata raha kutokana na Mali walizo Nazo na vyeo vyao . Sasa wanapiga magoti kuomba uhalali wa kuiba kura. Waombe msamaha kwanza na wasafishe mioyo yao inayowaza kuiba na kuharibu uchaguzi ili waendelee kukalia viti vya umma.Kila kitu nchi hii ni SGR na ndege
Mambo ya David na Goliath Mungu ana kwenda kuyatenda Tanzania 28/10/2020Mungu pekee ndiye atakayewashughulikia madhalimu wanaopanga uovu kupitia madaraka.