Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Hiki ni kipindi changu cha mwisho kuliongoza Taifa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Hiki ni kipindi changu cha mwisho kuliongoza Taifa

MADIKTETA yote duniani huwa yakimalizana na watu pembeni, kitakachofuata ni watu wake wa karibu.
Hivi kweli rais wetu Magufuli amefikia levels za UDIKTETA?!!really?!!!

It's so overrated...

Nakumbuka Mh.Kikwete alifikia Kuitwa dikteta na baadhi ya wanasiasa ikafikia siku akasema "hivi kweli mm ni dikteta"?!!!

Akaendelea kusema "katiba yetu imenipa mamlaka makubwa ndani ya ile PRESIDENTIAL DECREE na hakika sijatumia hata power kubwa ndani ya hii katiba yetu" mwisho wa nukuu.

Tunayakuza mambo kwa kuchafuana kulikopindukia.....
 
Hivi kweli rais wetu Magufuli amefikia levels za UDIKTETA?!!really?!!!

It's so overrated...

Nakumbuka Mh.Kikwete alifikia Kuitwa dikteta na baadhi ya wanasiasa ikafikia siku akasema "hivi kweli mm ni dikteta"?!!!

Akaendelea kusema "katiba yetu imenipa mamlaka makubwa ndani ya ile PRESIDENTIAL DECREE na hakika sijatumia hata power kubwa ndani ya hii katiba yetu" mwisho wa nukuu.

Tunayakuza mambo kwa kuchafuana kulikopindukia.....
Mkuu dikteta anatakiwa awe vipi ?

Ukiachana na Term limits ( ambayo na yenyewe iko shakani ) kwenye Demokrasia Tanzania ni nini TUMEBAKIZA.

Any checks and balances ?
 
"Mimi nilishatangaza kuwa ni kipindi changu cha mwisho lakini Bunge limenilazimisha kuendelea kuongoza" alisikika jamaa mmoja akisema wakati huo
Kwani kila muswada unaopitishwa na bunge ni sahali kusainiwa na rais ili Kuwa SHERIA?!!!!

IMESHASIKIKA SAUTI KUWA "hiki ni kipindi changu cha mwisho".
 
Na sisiemu wameshaanza kuandaa mtu, sasa hivi, ila kuna vyama fulani hasa kile cha pale kinondoni ikifika miezi 3 kabla ya ichaguzi ndio wataandaa wa kwao na hapo pia watakua wanaamgali wa sisiemu yupi wa kumchukua agombee..alafu baada ya mayokeo wanatafuta mchawi.
 
Huu ujinga sijui mnautoa wapi...


Si uandamane wewe kesho ukakutane nao uonekane na wao kweli wewe jasiri
Mimi sina hata wembe, na kwakuwa MADIKTETA yanapenda damu ysnatamani kumwaga ili ninyi vibaraka mfurahie.

Damu za wazanzibar hazijawatosha ,?
 
Mkuu dikteta anatakiwa awe vipi ?

Ukiachana na Term limits ( ambayo na yenyewe iko shakani ) kwenye Demokrasia Tanzania ni nini TUMEBAKIZA.

Any checks and balances ?
Wakati huo huo, MBOWE NA CHADEMA NA UPINZANI WOTE WALIIMBA HUU WIMBO:

TANZANIA INAHITAJI RAIS DICTATOR.....
 
K
Mkuu dikteta anatakiwa awe vipi ?

Ukiachana na Term limits ( ambayo na yenyewe iko shakani ) kwenye Demokrasia Tanzania ni nini TUMEBAKIZA.

Any checks and balances ?
Kama kuwaita marais Kuwa ni madikteta basi hatobaki hata mmoja hata wazee wa demokrasia pale kwa bwana TRUMP.....

Udikteta na Mkono wa chuma unadhihirishwa na makubwa ya kihalifu yanayofanyika dhidi ya BINADAMU NA RAIA....

Yaani ya kina Hitler,Mussolini,Sadam,Gaddafi,Mobutu et al unayafananisha na Sintofahamu zetu za hapa na pale?!!
 
Wakati huo huo, MBOWE NA CHADEMA NA UPINZANI WOTE WALIIMBA HUU WIMBO:

TANZANIA INAHITAJI RAIS DICTATOR.....
....na katibu mkuu John Mnyika akasema wewe JAKAYA KIKWETE ni rais LEGELEGE kupata kutokea nchini...kwa hiyo waliomtangulia KIKWETE walikuwa ni madikteta eeee na wakataka wampate dikteta Mwingine?!!!

Nimepita hapa Ukonga FFU nimeyaona magari mia ya washawasha...
 
Subiri wale waliondaliwa kumlazimisha aongoze mpk atakapochoka episode yao ikifika ndo mutaelewa kuwa huyu mwamba ni ndumilakuwili, maendeleo hayana chama, mukichagua upande flan sileti maji!!!.
 
Kwani kila muswada unaopitishwa na bunge ni sahali kusainiwa na rais ili Kuwa SHERIA?!!!!

IMESHASIKIKA SAUTI KUWA "hiki ni kipindi changu cha mwisho".
Umesahau kuwa alishasema kuwa bunge likishapitisha muswada yeye hana muda wa kuusoma anasaini hapo hapo?
 
Tukutane barabarani kesho kudai demokrasia iliyopokwa na watawala mafedhuli.
Nyumbani kwako umpaachaje?
Au ndo bachelor alafu yatima
Au ushapata fungu lako Na tiketi yako mnaenda kuwaumiza wanyonge road.....Hiv huo muda wenzio wallet zimejaa ....alafu umeoa kweli Kama vipi nenda Na mkeo kabisa
 
Nyumbani kwako umpaachaje?
Au ndo bachelor alafu yatima
Au ushapata fungu lako Na tiketi yako mnaenda kuwaumiza wanyonge road.....Hiv huo muda wenzio wallet zimejaa ....alafu umeoa kweli Kama vipi nenda Na mkeo kabisa
Kuna wasouth Afrikan wakishirikiana na makaburu nahawakuona umuhimu wakuandamana lkn leo hii wanafurahia kuondoka kwa ubaguzi.kwahio watu kama wewe ambao wanaangalia matumbo yao hawakosekani katika jamii.
 
Dah.!
Mungu anadhihakiwa wazi wazi ...

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Back
Top Bottom