CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
RAIA ambaye hamiliki silaha siku zote kuandamana ndio silaha yake ya kudai haki yake.Hawa vijana hawajielewi
Sijui we unawaza nini?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RAIA ambaye hamiliki silaha siku zote kuandamana ndio silaha yake ya kudai haki yake.Hawa vijana hawajielewi
Mimi sio machinga Ila Ni MKULIMAWewe kama hufanyi biashara nahujaguswa nahuyu dikteta basi utakuwa hujafikia hata hadhi yakuitwa machinga. Endelea kuneemeka namfumo kandamizi kwa sababu unakunufaisha, lkn sisi ambao tunabambikizwa kodi na serikali yahuyu jamaa kesho wote tutakuwa barabarani kuhakikisha demokrasia inashamiri ili tuweze kufanya biashara zetu katika mazingira rafiki.
Magufuli ni yesu, hajawahi kukoseaWell kumbe hajakuwa dikteta bado..Sawa nimekupata mkuu Wangu...
Haya sasa hayo mengine ya Sintofahamu za hapa na pale na kutoridhishwa na baadhi ya mambo mna haki ya kuongea na kuAIR VIEWS zenu Kama raia sawasawa na hivi unavyofanya hapa!!!
Kazi imenikosea nini wewee hadi niichape?
Mnakera.
Iko wazi hiyo hatuwezi kumuachia hivi hivi tu, tutapambana abaki
Hilo liko waziIko wazi hiyo hatuwezi kumuachia hivi hivi tu, tutapambana abaki
Ndiyo maana huko Zanzibar Jussa na kikundi chake kilichokuwa na mabomu kimekamatwa na kinashughulikiwa ili kiseme vizuri hayo mabomu waliyatoa wapi na walikuwa wanataka kuyatumia wapi. Hivyo ujumbe wa ubalozi wa Canada umeshaanza kushughulikiwa kama kawaida.
Nenda kahamasishe ukoo wako tupo busy na kazi sasa tulishafanya maamuzi tarehe 28 na unayoyaona ndio matokeo ya maamuzi yetuTukutane barabarani kesho kudai demokrasia iliyopokwa na watawala mafedhuli.
Asante Salha255, hata kipindi kina kawawa, Nyerele wanapambana kuleta Uhuru sio wote walioshiriki. Kwahio wewe kaa pembeni wengine tutapambana kwa niaba yako nakizazi chako.Mimi sio machinga Ila Ni MKULIMA
Sasa wew kaandame ukauze maji Na biashara yako peponi
R.I.P brother
Hawataki kuamini wanachokiona 😂😂Machadema tulieni,wananchi tumewafunza adabu
Haya Asante tusubiri kesho yamebaki masaa, ili hizo kazi zako uzifanye vizuri.Nenda kahamasishe ukoo wako tupo busy na kazi sasa tulishafanya maamuzi tarehe 28 na unayoyaona ndio matokeo ya maamuzi yetu
Ndiyo maana huko Zanzibar Jussa na kikundi chake kilichokuwa na mabomu kimekamatwa na kinashughulikiwa ili kiseme vizuri hayo mabomu waliyatoa wapi na walikuwa wanataka kuyatumia wapi. Hivyo ujumbe wa ubalozi wa Canada umeshaanza kushughulikiwa kama kawaida.
Huyu ni Rais wa mfano na wa aina yake, hakika kura yangu nimeipiga sehemu sahihi kabisa.Rais John Magufuli ameipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kufanikisha uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kubainisha kuwa baada ya kuibuka na ushindi ataliongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine mitano na ndio itakuwa ya mwisho.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo Jumapili Novemba Mosi, 2020 jijini Dodoma baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi na mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage.
Amewashukuru Watanzania kwa ushindi huo na kusema ana deni kubwa la kuwalipa kwa imani kubwa waliyoionyesha kumchagua tena kuliongoza Taifa hilo kwa miaka mingine mitano.
“Ninaipongeza Tume ya Uchaguzi kwa kufanikisha uchaguzi huu kwa kuwahisha matokeo. Ninawashukuru Watanzania kwa kunichagua tena…, hiki ni kipindi cha pili cha mwisho.”
“Mmetupa ushindi mkubwa sana ambao umetuachia deni kubwa sana, ninamuomba Mungu anisaidie katika kipindi hiki cha pili tuweze kukidhi haja za Watanzania,” amesema Rais Magufuli ambaye ameshinda uchaguzi kwa kura 12,516,252.
Amesema ushindi huo siyo wake peke yake wala wa chama chake bali ni wa Watanzania wote. Amesema atawatumikia wote bila kujali wanapotoka, dini au kabila.
We Mzee upo, ulipiga kura!? Kesho na wewe unaandamana!? Au unawajaza watu humu upo zako na box huko!?Kazi imenikosea nini wewee hadi niichape?
Mnakera.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮Toka lini umewahi ona dikteta akatoka madarakani kupitia sanduku