Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

Meko anajihangaisha bure tu. Hawezi kuchaguliwa tena na watanzania ambao amewasababishia waishi kama wakimbizi wakati wako kwenye ardhi yao waliyozaliwa.
 
Meko anajihangaisha bure tu. Hawezi kuchaguliwa tena na watanzania ambao amewasababishia waishi kama wakimbizi wakati wako kwenye ardhi yao waliyozaliwa.
Mtanzania yupi huyo anaeishi kama mkimbizi? Hoja za namna hii ndo mnataka ziwaingize ikulu?!
 
Lini atakwenda kusini kuwapooza machungu yao. Mda ndo unayoyoma hivo lala salama
 
Meko anajihangaisha bure tu. Hawezi kuchaguliwa tena na watanzania ambao amewasababishia waishi kama wakimbizi wakati wako kwenye ardhi yao waliyozaliwa.
Unaota au umevimbewa kimpumu,swine zako
 
Maisha ya watanzania yanazidi kuwa magumu kila siku hiyo ratiba unamuwekea nani?

Hakuna mwenye hamu ya kuona ratiba ya maumivu mengine miaka mitano ijayo, atupishe mitano yatosha.

Na hilo gawio linamsaidia nini mwananchi wa kawaida zaidi ya kuwapelekea wakina Mayanga? halafu mkiulizwa mnakuwa wakali.
 
Mkuu Chadema wanajua wanaenda kufutika ndio maana wana hasira na matusi

Shauri yao,tuliwaambia mkimsimamsha msaliti wa Nchi Lissu ndio itakuwa mwisho wao ila hawakusikia
Bia yetu, hebu kaa pembeni angalia kama mtu baki uone hali halisi. Sisi tusio na chama tunapokea chochote kitakachochaguliwa na wengi ila nina swali kidogo kwako kutokana na haya maneno yako, hivi kwa ugumu ule, mapito yale, kutengwa kule na kuzibwa kule kwa miaka 5 iliyopita kama Chadema haikuweza kufutika unawaza inaweza kufutika kirahisi tu kwa kushindwa uchaguzi ujao? Huna haja kujibu, jiulize mwenyewe tu kisha unaweza kujibu au kukaa na jibu lako
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Bia yetu, hebu kaa pembeni angalia kama mtu baki uone hali halisi. Sisi tusio na chama tunapokea chochote kitakachochaguliwa na wengi ila nina swali kidogo kwako kutokana na haya maneno yako, hivi kwa ugumu ule, mapito yale, kutengwa kule na kuzibwa kule kwa miaka 5 iliyopita kama Chadema haikuweza kufutika unawaza inaweza kufutika kirahisi tu kwa kushindwa uchaguzi ujao? Huna haja kujibu, jiulize mwenyewe tu kisha unaweza kujibu au kukaa na jibu lako
 
Mtaji wa ccm ni watanzania wajinga na masikini
Naomba tusiwatukane watanznaia kuwa ni wajinga kwa kuwa tu hawatuungi mkono. Yaani kuchagua chama chako si kigezo cha welevu au ujinga. Naomba tutende haki. Wengine walisha jaribu kuwachagua wakaona bora CCM mara 100!
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Usiwasemee Watanzania wasemee CCM wenzako
 
Lini atakwenda kusini kuwapooza machungu yao. Mda ndo unayoyoma hivo lala salama
 
UKINUNA UWE NA SABABU!.Mnaomfatilia JPM kutwa kucha ! na kusema mara oh! Sijui mgonjwa , mara mapumzikoni! .Hii hapa ratiba ya kampeni kuanzia kesho Jumatatu tar 12 hadi Jumatano tar 14, ambapp pia siku ya Jumatano atawaongoza watanzania kupokea mgao wa zaidi ya bilioni 100 kutoka Barrick Gold ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya kupitia mikataba ya madini na kutunga sheria zinazolinda madini na maliasili za Tanzania. JPM mitano tena!.
View attachment 1596861View attachment 1596862
Leo alikuwepo wapi?
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Kwa kazi aliyoifanya Rais Magufuli ushindi ni 98%
CCM waliowengi tu hawamtaki ndio Watanzania wengine wampigie kura! Ni CCM wachache wapuuzi ndio wanampenda huyo mpenda misifa,mbaguzi na mbinafsi hata pesa za Watanzania yeye na wapambe wake wanadai ni zake,zake kauza ng'ombe zake Chato
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hata makaburu walifanya kuliko yeye lakini walifurushwa yeye miradi yake mingi lengo ni 10%
 
Back
Top Bottom