Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

Meko amekosa mvuto kwa watanzania. Aendelee kuzurura tu. Hawazi kushinda uchaguzi huu kamwe.

Watanzania wamemuelewa sana Tundu Lissu na ndiyo tumaini lao pekee.

Huyu dhalimu wa chama cha mboga, tupa kuleeeeeee!
 
Hii ni Nachingwea, Kusini kabisa mwa Tanzania.

Meko ndiye adui wao No. 1.
 
Hata Dodoma hamna kitu zaidi ya vitishotisho tu, Ccm imebaki na vyombo vya dola tu, wengi wasichokijua hata Polepole haikubali ccm, Yupo pale kwa njaa tu.
Labda vyombo vya Euro na sio dola.Dola awajaongezewa mishahara Wana hasira nao hatari ukiwasikiliza Hawa wadogo wanataka mabadiliko,achilia Hawa mabosi zao ambao ni wanufaika.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
We uoni nyomi la bila wasanii.Safari hii mnagombea dhaifu Sana ombeni poo kwa tume mbadili mgombea mda inaruhusu bado.JK ndo anaweza okoa jahazi kupambana na Lisu.
 
UKINUNA UWE NA SABABU!.Mnaomfatilia JPM kutwa kucha ! na kusema mara oh! Sijui mgonjwa , mara mapumzikoni! .Hii hapa ratiba ya kampeni kuanzia kesho Jumatatu tar 12 hadi Jumatano tar 14, ambapp pia siku ya Jumatano atawaongoza watanzania kupokea mgao wa zaidi ya bilioni 100 kutoka Barrick Gold ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya kupitia mikataba ya madini na kutunga sheria zinazolinda madini na maliasili za Tanzania. JPM mitano tena!.
View attachment 1596861View attachment 1596862
Pamoja sana, tunahitaji uongozi wa vitendo wa JPM, kamata mitano kazi iendelee!
 
We uoni nyomi la bila wasanii.Safari hii mnagombea dhaifu Sana ombeni poo.JK ndo anaweza okoa jahazi kupambana na Lisu.
20201010_153231.jpg
hakuna msanii anayejitambua anayeweza kwenda kumsikiliza mtu mwenye matatizo ya akili
 
Meko anajihangaisha bure tu. Hawezi kuchaguliwa tena na watanzania ambao amewasababishia waishi kama wakimbizi wakati wako kwenye ardhi yao waliyozaliwa.
Unadhani watanzania ni malofa?. Hatuwezi chagua kibaraka wa mabeberu. Kwa Sera zipi mlizonazo Chaga development fund and management a.k.a saccos?. Mnataka mtuuze kwa mabeberu wenu,muuze maliasili zetu, muuze standard gauge zetu, muuze ndege zetu kwa Wakoloni wenu hapana. Magufuli ni ushindi wa kishindo.
 
Unadhani watanzania ni malofa?. Hatuwezi chagua kibaraka wa mabeberu. Kwa Sera zipi mlizonazo Chaga development fund and management a.k.a saccos?. Mnataka mtuuze kwa mabeberu wenu,muuze maliasili zetu, muuze standard gauge zetu, muuze ndege zetu kwa Wakoloni wenu hapana. Magufuli ni ushindi wa kishindo.
Hatumtaki Rais anayewatesa wastaafu, watumishi wa umma, wakulima, wafanyabiashara na hata wanafunzi wa vyuo vikuu.

Aende zake akafie mbele huko. Tundu Lissu atosha.
 
Leo alikuwepo wapi?
Sukari ilishuka sana jana baada ya kuona wasanii wanaondoka na wananchi wanaondoka na kumuacha peke yake uwanjani. Amepumzika leo na kuishia kumfokea Sana Polepole.
 
Meko anajihangaisha bure tu. Hawezi kuchaguliwa tena na watanzania ambao amewasababishia waishi kama wakimbizi wakati wako kwenye ardhi yao waliyozaliwa.
Watanzania wa wapi unawazungumzia wewe?! Ni mtanzania wa wapi hao wanaishi Kama wakimbizi? Wewe Bila Shaka haupo Tanzania...hayo ni maneno ya beberu Robert Amsterdam.
Mtanzania anaishi Kama mkimbizi?! Yaani hapa TZ?! Nyie watu kweli mmeishiwa hoja...ni weupe kabisa...halafu ni waongo Kama Lissu wenu, mzee wa faragha, na imperialist stooge au kibaraka wa mabeberu...hiyo Oktoba 28 ndipo mtajua Kama watanzania wanaishi Kama wakimbizi ...mtapata kipigo kikubwa Cha kisiasa...mamilioni ya watanzania wamejiandaa kufanya Jambo kubwa nalo ni kumwadhibu Lissu kwa kura..
 
Back
Top Bottom