Ni Million 50 mkuu sio elfu 50Akizidiwa anafyatua ahadi hewa. Uchaguzi uliopita aliahidi kila kijiji elfu 50. Ziko wapi?
Kimempata kitu!Lissu alisema haya kwenye ufunguzi wa kampeni zake Mataga wakasema haiwezekani maana hata Obama Care ilishindwa Marekani, Leo kimempata nini tena huyu mkurupukaji?
Chadema waliposema elimu bure walicheka na kudhihakiLissu alisema haya kwenye ufunguzi wa kampeni zake Mataga wakasema haiwezekani maana hata Obama Care ilishindwa Marekani, Leo kimempata nini tena huyu mkurupukaji?
Hatudanganyiki. Ungetimiza baadhi ya mambo yanayowahusu wananchi wako kipindi cha kwanza tungekuwa na imani nawe, ulionesha kutotujari kwa kebehi, dharau na vitisho eti leo watudanganya waziwazi hahaha.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
Hapo sasa...mzee asiyefuata kauli zakekashindwa milioni 50 kila kijiji ataweza bima ya afya kwa kila mtu?
Vitu vya umuhimu vilikuwa sio vifaa tiba na huduma bora za kiafya, ila majengo ndio yalikuwa na umuhimu zaidi ya afya za watanzania.
Pesa inaenda kwa Boeing alete ndege mpya ilihali dunia nzima usafiri wa anga unasuasua na mashirika yanapata hasara1. Ahadi ya 50,000,000/- kila Kijiji na Mtaa:
50000000x17582 = trilioni 8.79/-
2. Ahadi ya Bima ya Afya (tuchukue yenye gharama ndogo (30,000/-) ambayo ni "Improved Community Health Fund" (iCHF)
30000x60000000 = trilioni 18/-
Je, ahadi namba 1 hapo juu imetekelezwa? Na kama haijatekelezwa kwanini?
Kama ahadi namba 1 hapo juu ambayo gharama yake ni ndogo kuliko ahadi namba 2, je, anaweza kutekeleza ahadi namba 2 kweli? Au ndio msemo usemao "Wajinga ndio waliwao"?
Ndugu watanzania, jaribuni kutumia japo kidogo kufikirisha ubongo wenu juu ya ahadi za aina hii.
Huyo jamaa hajawahi kutimiza ahadi zake ,mambo anayofanya ni kwenye miradi ni kwa ajili ya upigaji tu...Bima haina Upigaji kwahiyo hatotimiza.Kwanza NHIF warudishe huduma zote walizozifuta ambazo awali tulikuwa tunazipata kwa bima za kawaida ndipo tuelekee huko kwenye ahadi mpya
Lissu nae ana Sera au utopolo tu. Sera zake ni sumu, ni aibu hata kuzisema mbele za watu.Mwizi wa Sera za Lissu na ni Muongo asie na kumbukumbu.
Katika hili wote wawili Rais Magufuli na Mh Tundu Lissu ni waongo na wanawatapeli wapumbavu.View attachment 1607817
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
View attachment 1607816
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote mili60 waliopo Tanzania.
View attachment 1607815
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
View attachment 1607814