Wavivu kama wewe hufa wakitoa Lawama Kwa wengine
Kinachowasumbua watu kama ninyi ni uvivu uliopitiliza, mmelelewa kimama mama, Kila mtawala kwako hawezi kukuridhisha Kwa sababu unadhani utaletewa ugali nyumbani mwako
Tulikuwa na Jk mkamponda, mkamwogesha matusi yote, mkataja sifa za mmtakaye, bahati mzuri, Mungu si athumani, Mkampata Kwa mjibu wa sifa mlizozitaja
Leo tena mnaona ni afadhari ya Kikwete,
Jinga Sana ninyi,
Kaza buti Maana huyu aliyepo ana miaka mitano mbele, mtakimbia watoto wenu Kwa uzembe na uvivu,
28 October, Magufuli tena, mtakimbia mijini watoto wa mama Ninyi