Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Naona mzee ameanza kudandia hoja za Lissu. Hali ya CCM ni tete.
Lissu alianza kusema haya.
-Bima ya afya kwa wote
-Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
-kufufua viwanda vilivyouliwa na CCM
CCM na wapambe wake wakaja juu kwa kusema haiwezekani, maana hakuna pesa za kuwezesha hayo. Leo hii Magufuli anaiga na kurudia kuyasema ya Lissu.
Lissu alianza kusema haya.
-Bima ya afya kwa wote
-Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
-kufufua viwanda vilivyouliwa na CCM
CCM na wapambe wake wakaja juu kwa kusema haiwezekani, maana hakuna pesa za kuwezesha hayo. Leo hii Magufuli anaiga na kurudia kuyasema ya Lissu.