Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Iko kwenye ilani ya CCM msitudanganyeAksante sana TunduLissu!
Hakika Mungu ni mwema sana!
Kwani umeisoma ilani ya ccm hakuna jambo hilo?Mwizi wa Sera za Lissu na ni Muongo asie na kumbukumbu.
This candidate is a perfect definition of failure!!kashindwa milioni 50 kila kijiji ataweza bima ya afya kwa kila mtu?
Ni maandishi tu ambayo hayafuatwi na ulaghaiKwani umeisoma ilani ya ccm hakuna jambo hilo?
Hakuna uongo hapo, JPM anatekeleza ,kazi inaendelea alishaboresha CHF na watu wanapata huduma kwa elfu thelathini (30,000) kwa mwaka kwa mpango wa CHF iliyoboreshwa, wazee wanatibiwa bure. Endeleeni kudanganywa na kulishwa upepo na wanaotaka kijifunza kazi ya Urais!. Tumetekeza na kazi inaendelea. Mitano mingine kwa JPM.Uongo mwengine hata hauhitaji mtu kukuambia unaongopewa. Mwaka 2015 alisema atavifufua viwanda vilivyokufa, miaka mitano imepita kuna viwanda lukuki vimefungwa kutokana na ugumu wa uzalishaji pamoja na gharama za uendeshaji kuwa juu, leo hii anasema tena atafufua viwanda vilivyokufa.
Ikifika 2025 watasema watahakikisha wanawahakikishia wananchi wenye bima ya afya wanapatiwa huduma hospitali yoyote nchini mana kuna mahospitali nina uhakika yatakuwa hayatoi huduma kwa wanachama wa bima ya Taifa kutokana na malipo kudorora kama ilivyo sasa.
Pana tofauti kubwa Kati ya huyo chambo wa Mabeberu na JPM katika ahadi hii
Mmoja Anasema, maendeleo ya vitu hayafai, maana yake, hospital na vituo Vyote vya Afya vilivyojengwa na miundo Mbinu mingine si kitu kwake na huwenda ikabomolewabomolewa pindi atakspoingia mjengoni
Na kama miundombinu hiyo si looote, Je atawaketia bima wananchi Ili ziwasaidie nini wakati hakuna miundombinu ya Majengo ya vituo vya afya?
Lakini huyu mtu Bora;"" anahalali SASA ya kusema hivyo Kwa kuwa kila kitu kipo kuhusu sector hiyo!
JPM Twende kazi,
Hata kwenye ufisadi uliahidi kushughurikia, uzembe pia na matumizi mabovu ya fedha za serikali na umeweza!!
Halafu Mitandao mnayoizungumza hiyo ya Twitter, sjui JF haina watu weengi kama Fecbook Instagram huko ndo tundu hajawahi kufahamika huko
Usiwe mvivu wa kusoma ,utadanganywa sana. Angalia ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 (imeambatishwa). Kuhusu Mambo yote soma ibara ya 83 ukurasa 136 na kuhusu bima ya Afya soma 83 (e) "Kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini ikiwemo mifuko ya bima za afya (NHIF na CHF) ili kufikia lengo la Serikali la kuwa na bima ya afya kwa wananchi wote". Tusipoanza kusoma tutadanganywa sana,CCM ilizindua ilani yake kabla hata huyo hajateuliwa ,huyo katoa Ilani baadaya ya Kampeni. Nani kadeza hapo?! Za kuambiwa changanya na za kwako. Au ndiyo ukitaka kuwaficha kitu wa TZ weka kwenye maandishi! Tubadirike.Ilani yenu haizungumzii hilo suala hata kidogo.
Suala la Bima za Afya kwa watanzania wote ni ya Chadema na Mh. Lissu na wameisema vzr kwenye ilani ya uchaguzi.
Wewe ni muongo na mwenye kuegezea kwa wengine na hauna mpango wa kutimiza hilo.
Haufai kuwa Rais wa nchi hii.
Miaka mitano iliyoisha imekuwa michungu sana kwa taifa hili.
Tunahitaji haki kwa watanzania, uhuru kwa watanzania, na maendeleo ya watu.
Tanzania ya viwanda ni Sera ya CCM, tafadhali soma vizuri Ilana za CCM!Naona mzee ameanza kudandia hoja za Lissu. Hali ya CCM ni tete.
Lissu alianza kusema haya.
-Bima ya afya kwa wote
-Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
-kufufua viwanda vilivyouliwa na CCM
CCM na wapambe wake wakaja juu kwa kusema haiwezekani, maana hakuna pesa za kuwezesha hayo. Leo hii Magufuli anaiga na kurudia kuyasema ya Lissu.
View attachment 1607817
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
View attachment 1607816
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote mili60 waliopo Tanzania.
View attachment 1607815
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
View attachment 1607814
Wewe ndio unapaswa kuelewa.Usiwe mvivu wa kusoma ,utadanganywa sana. Angalia ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 (imeambatishwa). Kuhusu Mambo yote soma ibara ya 83 ukurasa 136 na kuhusu bima ya Afya soma 83 (e) "Kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini ikiwemo mifuko ya bima za afya (NHIF na CHF) ili kufikia lengo la Serikali la kuwa na bima ya afya kwa wananchi wote". Tusipoanza kusoma tutadanganywa sana,CCM ilizindua ilani yake kabla hata huyo hajateuliwa ,huyo katoa Ilani baadaya ya Kampeni. Nani kadeza hapo?! Za kuambiwa changanya na za kwako. Au ndiyo ukitaka kuwaficha kitu wa TZ weka kwenye maandishi! Tubadirike.
Ni kweli mimi ninapaswa kuelewa na ninajibidisha kuelewa. Hoja hapa ilikuwa jambo hili halipo kwenye ilani, mbona umelikuta! Naomba usome vyema ilani ya CCM 2020-2025 inakuhusu wewe na maisha yako!Wewe ndio unapaswa kuelewa.
Hivi kurekebisha mfumo wa Bima na kutoa Bima Bure ni vitu sawa?
Pumbavu. Mpaka Lissu atangaze Sera zake ndiyo Magufuli anakopi. Hovyooo.View attachment 1607817
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
View attachment 1607816
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote mili60 waliopo Tanzania.
View attachment 1607815
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
View attachment 1607814