Hana akili. Ni pumbavu asiye na kumbukumbu.Lissu alisema haya kwenye ufunguzi wa kampeni zake Mataga wakasema haiwezekani maana hata Obama Care ilishindwa Marekani, Leo kimempata nini tena huyu mkurupukaji?
Wanayo Sana you,ila yafaa watuambie miaka 60,wamekuwa wapi hats watuambie miaka 5 ijayo.Kumbe ilani za CDM wana tembea nazo eeu
Kwa yale yote ambayo tumeyashuhudia kwa Magufuli hakuna ubishi juu ya hilo la kukatiwa bima ya afya kea watanzania woteView attachment 1607817
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
View attachment 1607816
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote mili60 waliopo Tanzania.
View attachment 1607815
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
View attachment 1607814
Tulishasema aliyechukua akili zenu amewaachia akili za kulengea tundu la choo tuu!Pana tofauti kubwa Kati ya huyo chambo wa Mabeberu na JPM katika ahadi hii
Mmoja Anasema, maendeleo ya vitu hayafai, maana yake, hospital na vituo Vyote vya Afya vilivyojengwa na miundo Mbinu mingine si kitu kwake na huwenda ikabomolewabomolewa pindi atakspoingia mjengoni
Na kama miundombinu hiyo si looote, Je atawaketia bima wananchi Ili ziwasaidie nini wakati hakuna miundombinu ya Majengo ya vituo vya afya?
Lakini huyu mtu Bora;"" anahalali SASA ya kusema hivyo Kwa kuwa kila kitu kipo kuhusu sector hiyo!
JPM Twende kazi,
Hata kwenye ufisadi uliahidi kushughurikia, uzembe pia na matumizi mabovu ya fedha za serikali na umeweza!!
Halafu Mitandao mnayoizungumza hiyo ya Twitter, sjui JF haina watu weengi kama Fecbook Instagram huko ndo tundu hajawahi kufahamika huko
Wavivu kama wewe hufa wakitoa Lawama Kwa wengineTulishasema aliyechukua akili zenu amewaachia akili za kulengea tundu la choo tuu!
Hivi kwani JK alikuwa hajengi hosoitali,barabara nk?Kwanini malalamiko yako sasa?Baada ya vyuma kukaza sana na mzunguko kuwa mdogo mtaani,watu wamejua ni kwasababu kipaumbele cha serikali ya awamu ya 5 kilikuwa miundombinu ambayo imebeba fedha nyingi na return yake ni ya muda mrefu,Mafuru aliyekuwa mkurugenzi wa hazina alilisema vyema hili clouds tv!Akatolea mfano ni sawa na baba ambaye anawalisha watoto mihogo ili ajenge nyumba!Mafuru alitumbuliwa kwa ufafanuzi huo alioutoa!
Wapinzani hasa CDM wameona fursa na wanaitumia!Wameona maendeleo ya watu yamesahaulika ndio maana ni ujenzi tu hata ajira zimekuwa shida sana,walimu ambao walikuwa na uhakika wa ajira kwa sasa wapo mpaka wa 2015 ambao hawajaajiriwa!Kwa kuliona hilo ndio wapinzani wamekuja na sera ya kuweka uwiano ili maendeleo ya watu yanyenyuke!Hawasemi hospitali hazifai,ila wanasema kuna mahali pesa zinakwenda tofauti na mahitaji ya sasa!
Mfano unapeleka wizara ya ujenzi 228% ya bajeti iliyopitishwa na bunge huku wizara kama maji na kilimo unapeleka chini ya 40%!
Au unaenda kujenga uwanja Chato kwa fedha nyingi wakati hata uhitaji wa uwanja huo kwa wakati huu haupo,labda miaka 20 ijayo!
Hapo ni kukosa vipaumbele!
Hoja kama hizi zimeungwa mkono na wananchi wengi timamu!!
Sasa mnakaa mnaandika propaganda mfu sijui kumfurahisha nani!
Kinachowasumbua watu kama ninyi ni uvivu uliopitiliza, mmelelewa kimama mama, Kila mtawala kwako hawezi kukuridhisha Kwa sababu unadhani utaletewa ugali nyumbani mwakoTulishasema aliyechukua akili zenu amewaachia akili za kulengea tundu la choo tuu!
Hivi kwani JK alikuwa hajengi hosoitali,barabara nk?Kwanini malalamiko yako sasa?Baada ya vyuma kukaza sana na mzunguko kuwa mdogo mtaani,watu wamejua ni kwasababu kipaumbele cha serikali ya awamu ya 5 kilikuwa miundombinu ambayo imebeba fedha nyingi na return yake ni ya muda mrefu,Mafuru aliyekuwa mkurugenzi wa hazina alilisema vyema hili clouds tv!Akatolea mfano ni sawa na baba ambaye anawalisha watoto mihogo ili ajenge nyumba!Mafuru alitumbuliwa kwa ufafanuzi huo alioutoa!
Wapinzani hasa CDM wameona fursa na wanaitumia!Wameona maendeleo ya watu yamesahaulika ndio maana ni ujenzi tu hata ajira zimekuwa shida sana,walimu ambao walikuwa na uhakika wa ajira kwa sasa wapo mpaka wa 2015 ambao hawajaajiriwa!Kwa kuliona hilo ndio wapinzani wamekuja na sera ya kuweka uwiano ili maendeleo ya watu yanyenyuke!Hawasemi hospitali hazifai,ila wanasema kuna mahali pesa zinakwenda tofauti na mahitaji ya sasa!
Mfano unapeleka wizara ya ujenzi 228% ya bajeti iliyopitishwa na bunge huku wizara kama maji na kilimo unapeleka chini ya 40%!
Au unaenda kujenga uwanja Chato kwa fedha nyingi wakati hata uhitaji wa uwanja huo kwa wakati huu haupo,labda miaka 20 ijayo!
Hapo ni kukosa vipaumbele!
Hoja kama hizi zimeungwa mkono na wananchi wengi timamu!!
Sasa mnakaa mnaandika propaganda mfu sijui kumfurahisha nani!
Nimejiridhisha kuwa wewe ni msukule!Nikikwambia niko wizara gani na ninafanya kazi kama nani unaweza usiamini!Wengi wetu tulioko huku haturidhishwi na mwenendo wa boss wetu!Tunakaa kimya maana kilichomkuta Mafuru kwa kuongea ukweli kinajulikana!Wavivu kama wewe hufa wakitoa Lawama Kwa wengine
Kinachowasumbua watu kama ninyi ni uvivu uliopitiliza, mmelelewa kimama mama, Kila mtawala kwako hawezi kukuridhisha Kwa sababu unadhani utaletewa ugali nyumbani mwako
Tulikuwa na Jk mkamponda, mkamwogesha matusi yote, mkataja sifa za mmtakaye, bahati mzuri, Mungu si athumani, Mkampata Kwa mjibu wa sifa mlizozitaja
Leo tena mnaona ni afadhari ya Kikwete,
Jinga Sana ninyi,
Kaza buti Maana huyu aliyepo ana miaka mitano mbele, mtakimbia watoto wenu Kwa uzembe na uvivu,
28 October, Magufuli tena, mtakimbia mijini watoto wa mama Ninyi
Bado Una mambo ya zamani Sana mkuu na Huna ujualoNimejiridhisha kuwa wewe ni msukule!Nikikwambia niko wizara gani na ninafanya kazi kama nani unaweza usiamini!Wengi wetu tulioko huku haturidhishwi na mwenendo wa boss wetu!Tunakaa kimya maana kilichomkuta Mafuru kwa kuongea ukweli kinajulikana!
Uchaguzi huu ukipita,mimi ni kati ya wale ambao tutakaa kimya na kuendelea na maisha!Huwezi kuniona napiga kelele sijui maji,umeme,huduma za afya,sijui kodi au nini!
Naweza kuwa kwenye nafasi ya kula keki ya taifa kuliko hata wewe ambaye ni msukule tu wa lumumba!
Bisha nikupe proof ya ninachokisema!
View attachment 1607817
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.
View attachment 1607816
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote mili60 waliopo Tanzania.
View attachment 1607815
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
View attachment 1607814