Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Cha ajabu ni nini hapo?

Kwani demokrasia ni kukubali kila kitu? Hivi ule mswada wa vyama vingi tungefuata demokrasia mnayoitaka ninyi ungepitishwa?

Kwa hiyo kumbe tatizo lilianzia hapa. Kwamba kwa kuwa maamuzi ya kurudisha vyama vingi yalikuwa ya wachache, kinyume na dhana ya demokrasia, basi maamuzi katika nchi yatafanywa na wachache na ndiyo waamuzi wakuu
 
Muswada haukupitishwa majority walikataa vyama vingi, hasa viongozi wa ccm, but Nyerere akaupitisha kitemi.
Nyerere alijua walichakachua matokeo, si kweli kwamba wengi hawakutaka mageuzi, Nyerere katumia busara tu, badala ya kuwambia kuwa wamechakachua matokeo akawambia si vibaya wachache wakisikilizwa, na kwa vile wanajua ukweli hawakuwa ujanja tena, vinginevyo wangeumbuliwa kuwa wamepika data.
 
Anampenda Mpango kwasababu ni mtu ambae ni wa kujipendekeza na mwoga!! He is not professional, he will only tell JIWE what he wants to hear!!! The real professionals walikuwa Ndullu and Likwelile; hao walikuwa wanampa ukweli juu ya hali ya uchumi wa nchi na yeye hakuweza kumeza ikabidi warudi kushika chaki!!!
Unajua Jiwe anajicontradict sana katika mambo anayoongea.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hata kwa wazungu hayo mademokrasia yenu hayazingatiwi kwa 100%
 
Nasikia aliagiza wakamatwe,ndo maana tunahitaji mabadiliko makubwa ya katiba ! mtu ni mgombea lakini huku katiba inamtambua kama Raisi mwenye dola duhhhhh
Hizi ni stori za kitoto
 
Chama kimeshamteua mtu anapinga Dk Mpango ili iweje? Demokrasia ndani ya CCM Ni pamoja na kuheshimu maamuzi ya vikao vya chama vya juu

Mnaojitia kimbelembele humu tuachieni mambo ya CCM wenyewe

Nyie mfano Chadema vikao halali vya kamati kuu na mkutano mkuu vinakas kuteua mgombea uraisi wa Zanzibar Lisu anafika Zanzibar anaanza kunadi Mgombea wa ACt wazalendo !!! Karuka demokrasia yote Hadi kamruka mgombea wake mwenyewe mchana kweupe
 
Lissu tutamkomesha oktoba kwenye box la kura
Dar es salaam keshajionea isivyomtaka Yuko anaruka ruka mikoani

Tanzania maeneo matatu tu yanatosha kumshikisha adabu kujijua Sio presidential material kwa kushindwa kura

Kanda ya ziwa, Dar na Zanzibar Ni dose tosha kwake

Lisu akipata kura laki nne nifukuzwe jamii Forums
 
Nilidhani akiwa Kigoma angemuongelea na Ndugu Ramadhani Ntunzwe.
 
Back
Top Bottom